Rais Magufuli anafaa kuwa rais wa Afrika

Rais Magufuli anafaa kuwa rais wa Afrika

Haitokuja muwe kama Kenya maana nyie maskini kwenye kila kitu, nchi maskini, raia wake maskini, elimu maskini yaani vitu vyote. Mna utajiri tu wa raslimali ambazo huwa zinaliwa na Wahindi na Wachina, sio mali zenu hizo.
He/she is right, hatutaki kufikia mlipo nyie, siasa za Kenya zimejaa ukabila na ni chafu sana..
Hata viongozi wa kenya wamejaa utoto vichwani.
BTW, magufuli is the best president yet, kwa maoni yangu.
Pamoja na mapungufu take kama binadamu lakini kwa nchi ilipokuwa imefikia we needed someone like him. And we got him
Nchi za Africa zinahitaji maendeleo kwanza, halafu the so called democracy ifuatie mbele . Democrasia na umaskini haviendani kamwe.
 
Haitokuja muwe kama Kenya maana nyie maskini kwenye kila kitu, nchi maskini, raia wake maskini, elimu maskini yaani vitu vyote. Mna utajiri tu wa raslimali ambazo huwa zinaliwa na Wahindi na Wachina, sio mali zenu hizo.
Wewe unafikiri tuna akili mbovu kama zenu.
Nendeni mkamnyang'anye ardhi Lord Dalamela (sijui vizuri hata jina lake) muingereza mungu wenu ambaye anamiliki ardhi kuzidi wazawa. Halafu anaua wazalendo wakenya na kudai eti alifikiri ni nguruwe. Halafu anaachiwa huru. Inanipa hasira sana. Na ndiyo maana will never cease to say Raila for presidence come 2017.
 
Wewe unafikiri tuna akili mbovu kama zenu.
Nendeni mkamnyang'anye ardhi Lord Dalamela (sijui vizuri hata jina lake) muingereza mungu wenu ambaye anamiliki ardhi kuzidi wazawa. Halafu anaua wazalendo wakenya na kudai eti alifikiri ni nguruwe. Halafu anaachiwa huru. Inanipa hasira sana. Na ndiyo maana will never cease to say Raila for presidence come 2017.
Unafikiri Raila atawaponya hawa akina Lord Delamere ardhi zao?
 
Urais wa Afrika inataka mtu anayefuta utawala wa sheria na demokrasia.Si vinginevyo.
 
Ndg:zangu wanatanzania.............. sijawahi kuona uchaguzi wa kihistoria kama ule pengine hata Afrika nzima hakujawahi kuwepo uchaguzi wa namna ile!!

Ama kweli ukipenda sana chongo utaita kengeza. Uchaguzi uliopita pamoja na wizi na uchakachuaji takwimu zinaonyesha CCM inazidi kuporomoka.

Tangu awamu ya tano iingie madarakani vijana wengi wamepoteza ajira na wengine kufukuzwa chuoni (UDOM). Dhahama ya sukari iko pale pale
MAENDELEO GANI HAYO?
 
Kelele nyingi kumbe wakwepa kodi wakubwa.

Mabadiliko mabadiliko kumbe wao ndio wa kwanza kuwaibia wananchi!!!!!

Shame on you Chadema
 
Haitokuja muwe kama Kenya maana nyie maskini kwenye kila kitu, nchi maskini, raia wake maskini, elimu maskini yaani vitu vyote. Mna utajiri tu wa raslimali ambazo huwa zinaliwa na Wahindi na Wachina, sio mali zenu hizo.

ninyi matajiri wa nini?
 
Back
Top Bottom