Kwa akili yako fupi Mimi kuandika humu unadhani nateseka lakini huoni malalamiko mbali mbali ya Watanzania kuhusu udhalimu wa huyo dhalimu wenu. Iko siku akili yako itakaa sawa.
Unapaswa kulalamika ilimradi huvunji sheria,ila ukiwa unalalamika kwa kila jambo maana nzima ya kulalamika inapotea,zinakuwa ni siasa uchwala.
Nanyinyi ndio mnafanya watz waamini kuna watu wanalia awamu hii baada ya madeal yao kukatwa,kila jambo kwako ni baya.
Ila that's breach of etiquette n diplomacy, huwezi kujitamba of wiretapping namna ile! Ingekuwa US a Watergate scandal ingejirudia. Ndo maana CAG anasema tuna Bunge dhaifu!Magufuli ni mkweli yaani kabisa..Hakuna Rais duniani ambaye hafuatilii mazungumzo ya mawaziri wake, Ladba awe lofa kama uhuru kenyatta ambaye naibu wake anaitafuna serikali bila yeye kujua.
Vizuri sana mawaziri wajue hadharani tena bila kifichwa kwamba mazungumzo yao kwa kazi zao za serikali yana fuatiliwa, wasijaribu ukanjanja.
Huo ndio ukweli..kama hutaki mazungumzo yako ya fuatiliwe usiutake kazi ya uwaziri
ZWAZWA weye hivi aliyekwapua 1.5 trillions ni nani kama si huyo mwizi na fisadi.
Ungekuwa si ZWAZWA ungevisikia na kuvielewa vilio vya Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara nchini. Wakulima peke yao wamedhulumiwa zaidi ya 250 billions.
Hivi unajua 1.5 tillion inafananaje ndugu!!!!usiwe unabugia kila unachowekewa mezani bana.
Wakulima wanalia miaka yote,sio utawala huu tu,huyu babu wa watu anajaribu kuweka mambo sawa,bado manaona ni mchawi anayeroga mchana,wakulima wanahitaji msaada ambao hata wapinzani wanaweza kuwapa,sio siasa za kutafuta kick kila wakati.
Leo hii mtu kama zitto au lissu,angeenda ikulu amwambie rais,mzee nimetoka kuzurula nchi za watu nimepata soko la mahindi ya wakulima,unadhani rais angemfukuza!!maana si ccm wamekaa hawajuia kazi zao,wapinzani nao ni upi msaada wao kwa wananchi??
Watanzania wamefungua nyuzi humu wakilalamika kwanini Wakenya wanafuatilia rais Magufuli, ila nataka kuwaambia taarifa zinazotoka Tanzania za mambo anayoyasema rais wenu aisei ni za kipekee hadi inabidi afuatiliwe tu Afrika yote.
Kwa mfano nimeona tovuti ya Ghana ambapo humo kuna taarifa za Magufuli kukiri huwa anadukua simu za mawaziri wake na kuskliza wanapowasiliana, yaani hiyo kauli ni ya kipekee haijawahi kusemwa na rais yeyote hadharani maana hayo huwa mambo ya usalama wa taifa, sasa tunaposoma taarifa kama hizo kwa kweli lazima tufuatilie maana kama movie vile.
Hii hapa tovuti ya Ghana inayomjadili Tanzania’s President Spies on His Ministers and other Top Government Officials’ Phones
Is it? Weka picha.Jana kazuka nyingine ya kutaka kupiga rumba na mke wa majaliwa lakini kahofia wivu wa majaliwa 😎😎
P
Bro am above that level trust me... Na kama kuna watu wanakula bata awamu hii naweza kuwa mmojawapo..... Kilinge daily kiko fullBro sijawahi kuamini nawewe pamoja na kuwa mwana kiringe unateseka awamu hii.
Kweli magu magic hummer.
Taahira mwingine wewe! Vilio vya Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara juu ya dhuluma mbali mbali wanazofanyiwa na huyo dhalimu ZWAZWA wewe huzioni! Nchi kuwa na MAZWAZWA kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa kutwa kucha kupigia makofi udhalimu.
Magufuli is so honest that sometimes he slips out secretsIla that's breach of etiquette n diplomacy, huwezi kujitamba of wiretapping namna ile! Ingekuwa US a Watergate scandal ingejirudia. Ndo maana CAG anasema tuna Bunge dhaifu!
Hata Marekani CIA wanamdukua hadi Rais wao, ni kawaida idara za ujasusi zinazozingatia maslahi mapana ya nchi kutomwamini yeyote, labda kibaya ni kuweka wazi, ingawa inaweza kuwa mbinu ya kuwaweka wenye dhamana kwenye mstari na kuogopa kujali matumbo yao na familia zao. Mfano Naibu waziri wa mambo ya ndani alipotaka kuingiza vijana wake kwenye ajira ya polisi kwa kutumia cheo chake, bila udukuzi isingejulikana, je hilo likiruhusiwa unategewa watoto wa maskini na wakulima watapata ajira huko?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe Kichaa hakina tiba kabisa.Jirani ndiyo matatizo ya kumkabidhi Nchi kichaa eti aiongoze!!!! Jiwe na kuongoza nchi wapi na wapi!!! Watanzania tunaojitambua hatukutegemea kuiona nchi yetu hapa ilipofikia kuzungumziwa vibaya kwenye nchi nyingi na wengi tulidhani Kikwete was worse kumbe tulikosea sana.
Mtu msamehe bure majirani zetu wa kenya, maana huyu jamaa ni msiba hata kwetu sisi watanzania. Aibu kweli
Inafikia hatua hata tukisafiri kwenda baadhi ya nchi za nje, tunakutana na marafiki zetu wanatucheka na kutukejeli kwa vituko vyake. Inatuumiza sana wakati mwingine, sio siri.
Noma sana wakuu.
kweli aisee...... nchi yetu imekuwa ze comedy, na Masanja Mkandamizaji wetu ni maarufu kweli kweli Africa na duniani kote hadi Beijing!
Hahahaha wakenya mtaumia sana, Magufuli anawalaza macho. Magufuli katika kipindi chake cha uongozi wa miaka mitatu sasa, amechaguliwa kuwa "the best president wa Africa miaka miwili mfululizo, na mwaka huu amekua namba mbili akitanguliwa na rais mstaafu wa Botswana.
Ukitaka kujua kwamba Magufuli ni very important president hapa Africa, ni hili gazeti la Ghana kuandika anachozungumza Magufuli, wanafuatilia kila abachofanya, hakuna rais anayrfuatiliwa hapa Africa kama Magufuli.
Hayo mazungumzo aliyosema abafuatilia, watanzania wote tumekua tukifuatilia posts za mawaziri mbalimbali katika Instagram zao, wengi tukiwashutumu kwa majibizano wanayofanya katika mitandao ya kijamii, iweje rais asifuatilie malombano hayo ili ajue kinachoendelea?.
Wakenyabajisikia wivu kwasababu Magufuli anafanya kazi yake ipasavyo, abawajuwa mawaziri na watendaji wake mwanzo mwisho, kila anayefanya vizuri anamjua na anayefanya vibaya anajulikana na anaondolewa. Hongera Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa. umemtukana mama yako lakini!
Huo ni uboya jikaze mzeee, yaani makofi yangekuhususawa. umemtukana mama yako lakini!