Rais Magufuli anafuatiliwa Afrika yote, sio Kenya tu

Kwa akili yako fupi Mimi kuandika humu unadhani nateseka lakini huoni malalamiko mbali mbali ya Watanzania kuhusu udhalimu wa huyo dhalimu wenu. Iko siku akili yako itakaa sawa.

Unapaswa kulalamika ilimradi huvunji sheria,ila ukiwa unalalamika kwa kila jambo maana nzima ya kulalamika inapotea,zinakuwa ni siasa uchwala.

Nanyinyi ndio mnafanya watz waamini kuna watu wanalia awamu hii baada ya madeal yao kukatwa,kila jambo kwako ni baya.
 
ZWAZWA weye hivi aliyekwapua 1.5 trillions ni nani kama si huyo mwizi na fisadi.

Ungekuwa si ZWAZWA ungevisikia na kuvielewa vilio vya Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara nchini. Wakulima peke yao wamedhulumiwa zaidi ya 250 billions.

 
Ila that's breach of etiquette n diplomacy, huwezi kujitamba of wiretapping namna ile! Ingekuwa US a Watergate scandal ingejirudia. Ndo maana CAG anasema tuna Bunge dhaifu!
 
ZWAZWA weye hivi aliyekwapua 1.5 trillions ni nani kama si huyo mwizi na fisadi.

Ungekuwa si ZWAZWA ungevisikia na kuvielewa vilio vya Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara nchini. Wakulima peke yao wamedhulumiwa zaidi ya 250 billions.

Hivi unajua 1.5 tillion inafananaje ndugu!!!!usiwe unabugia kila unachowekewa mezani bana.

Wakulima wanalia miaka yote,sio utawala huu tu,huyu babu wa watu anajaribu kuweka mambo sawa,bado manaona ni mchawi anayeroga mchana,wakulima wanahitaji msaada ambao hata wapinzani wanaweza kuwapa,sio siasa za kutafuta kick kila wakati.

Leo hii mtu kama zitto au lissu,angeenda ikulu amwambie rais,mzee nimetoka kuzurula nchi za watu nimepata soko la mahindi ya wakulima,unadhani rais angemfukuza!!maana si ccm wamekaa hawajuia kazi zao,wapinzani nao ni upi msaada wao kwa wananchi??
 
Usifikiri mie ni ZWAZWA kama wewe sijui kuhusu 1.5 trillions. Wakulima hawajawahi kudhulumiwa haki yao ba awamu yoyote ile hii ndiyo awamu iliyokuja na muswaada wa dhuluma ili kukwapua zaidi ya bilioni 250 za wakulima wa korosho.

Korosho nchi hii imenunuliwa kwa miaka 56 na hakuna hata mwaka mmoja wananchi walilalamika kudhulumiwa pesa zao chungu nzima hadi huyo dhalimu wa Ikulu alipokurupuka na kudai atanunua korosho kwa siku mbili! Baada ya kuvurunda sasa wanunuzi binafsi ambao aliwafukuza kawaita tena.

Bado akili yako ndogo sana huwezi kushinda akili kubwa. Usije humu KIZWAZWA ZWAZWA utaumbuka.

 

kuna mda wa kuto tumia simu sasa tukutane mkonge hoteli tanga.simu si msiri wako maisha ya sasa
 
Bro sijawahi kuamini nawewe pamoja na kuwa mwana kiringe unateseka awamu hii.

Kweli magu magic hummer.
Bro am above that level trust me... Na kama kuna watu wanakula bata awamu hii naweza kuwa mmojawapo..... Kilinge daily kiko full

Jr[emoji769]
 

Huyo sisi tulishachoka naye. Ni kama akili yake ni mavi vile.
 
Reactions: BAK
Ila that's breach of etiquette n diplomacy, huwezi kujitamba of wiretapping namna ile! Ingekuwa US a Watergate scandal ingejirudia. Ndo maana CAG anasema tuna Bunge dhaifu!
Magufuli is so honest that sometimes he slips out secrets
 
kile kijarida kilichoandika magufuli ni raisi namba 2 afrika, addres yake ya google inaonesha ni dar-es-salaam............


ila awamu hii imetu-expose jinsi watanzania tulivyo wajinga jaman Lol........


hadi wiretapping kuna majinga yanashangilia?, really?....... kweli sisi elimu haimo vichwani!
 

Hayo ni mambo ya kawaida kwa yeyote yule kudukuliwa, itakua hujaelewa ninachokisema umekimbilia kujibu tu. Rais wa nchi yeyote ile ni mtu muhimu sana na hupewa siri ya mambo mengi ambayo mtu wa kawaida kama wewe hautawahi kuyajua, usalama wa taifa hukesha wakifuatilia mambo mengi kwenye nchi na kumpa rais mrejesho.
Hata kule Marekani, pamoja na uropokwaji na ukichaa wa Trump, lakini kuna mambo hawezi kuyasema hadharani maana yule pale ni taasisi sio mtu tu, anazo siri hadi za mambo ya nyuklia.
Rais wenu huwa na nia njema sana kwa nchi yake, ni mzalendo lakini kama nilivyowahi kusema hapo awali, sijui aidha ana washauri wabaya au hapendi kufuata ushauri au hashauriki, maana kila akipewa kipaza sauti/microphone hutiririka yote bila kuchuja, anakosa kuelewa kwamba yeye sio Magufuli tu, ila ni taasisi nzima ya urais, kinachomtoka mdomoni kinazagaa nchi yote na kimataifa.
Kuna mambo ya siri ya ndani, hufai kuyaachia hadharani kwa kandamnasi, aidha unawaita mawaziri kimya kimya na kuwaonya kuhusu mienendo yao ambayo unayo taarifa kuyahusu. Wengine unawapiga surprise, unawashtukiza na mkanda mzima wa mienendo yao, rais kama ilivyo kwa baba wa nyumbani lazima ujifunze kuwa mysterious and enigmatic, mengine hata mkeo asiyajue.
Sasa huyo wa kwenu niliona sehemu anasema hulala hata na mafaili, hehehe ila pia nimewahi kusoma sehemu akisema urais hakua amejandaa nawo, kashinikizwa tu na huwa anashangaa sana jinsi akina Kikwete walipga miaka kumi na wapo wapo tu, hiyo sio taasisi ya kukurupuka.
 
Mkuu kumbe Kichaa hakina tiba kabisa.
 
Reactions: BAK
Acha ujinga wewe waulize hao unao warembulia Sgr Yao VP? Sio unaropoka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
SGR Vepeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…