Pre GE2025 Rais Magufuli angekuwepo angestaafu Oktoba mwaka huu. Je, angekubali kustaafu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
angesema hajamalizia SGR
 
Katiba ingekuwa ishasinginwa, sasa hivi tungekuwa tunatamba na miaka 7 kama kwa Tolu

Mbuge angekuwa ndio CDF, Pengine Jafo angalikuwa PM kuanzia mwaka huu…
🤔 🤔 🤔
 
Mwamba alikwisha sema mapema Hana plan ya kuongeza muhula muda wake ukifika ataawachia wengine . Mwamba hakuwa na tamaa ya madaraka na aliwai kusema urais is terrible task
🤣 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…