Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
-
- #21
Mbuge alishastaafu na amefarki.Katiba ingekuwa ishasinginwa, sasa hivi tungekuwa tunatamba na miaka 7 kama kwa Tolu
Mbuge angekuwa ndio CDF, Pengine Jafo angalikuwa PM kuanzia mwaka huuβ¦
Tungemuomba au tungemlazimisha aendelee mitano au mikumi tena π³β π !
Najiuliza hili swali mara nyingi.
Angekuwepo je wananchi wangemkubalia astaafu baada ya kumaliza mihula yake miwili?
Je, yeye mwenyewe angekuwa tayari kustaafu na kurudi Chato huku akimtazama Rais mwenzie kwenye TV?
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hata Magu kashafarikiMbuge alishastaafu na amefarki.
Ingenoga sana. Utasikia karibu CCM kumenoga.T
Tungemuomba au tungemlazimisha aendelee mitano au mikumi tena π³β π !
Mimi humfagilia mtu binafsi afanyaye mema kwa Nchi bila kujali yeye ni wa Chama gani !Ingenoga sana. Utasikia karibu CCM kumenoga.
Asingekubali kustaafu yule angefia tu madarakani kama ilivyotokea
Najiuliza hili swali mara nyingi.
Angekuwepo je wananchi wangemkubalia astaafu baada ya kumaliza mihula yake miwili?
Je, yeye mwenyewe angekuwa tayari kustaafu na kurudi Chato huku akimtazama Rais mwenzie kwenye TV?
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ingependeza sana maana mtu akikaa muda mrefu kwenye madaraka na anajua atafia pale hawezi kuwa na vitamaa tamaa vya kujilimbikizia mali π³πAsingekubali kustaafu yule angefia tu madarakani kama ilivyotokea
Kama sera ya Nyerere ya ujamaa ingefanikiwa nafikiri hata huu mfumo wa vyama vingi usingekuwepo na hata ukomo wa madaraka usingekuwepo na basi wangetokea viongozi aina ya MuseveniI
Ingependeza sana maana mtu akikaa muda mrefu kwenye madaraka na anajua atafia pale hawezi kuwa na vitamaa tamaa vya kujilimbikizia mali π³π
Hii Demokrasia ya miaka mitano Uchaguzi kisha baada ya miaka kumi anakuja Rais mwingine mimi huwa sioni nini hasa faida yake !
Kwa sababu hata matunzo yao na mafao yao na familia zao ni mzigo mzito kwa Wananchi wa kwenye Nchi zetu zinazoitwa Nchi masikini !
Kama anapatikana Kiongozi anayeongoza vizuri kwa kutumia sheria vizuri na kuifuata Katiba bora itakayo kuwa imepatikana bila upendeleo wowote hakuna sababu ya kuweka ukomo wa URAIS wa miaka 10 !
Kama anaongoza vizuri na anaziangalia vizuri mali za Nchi aachwe aendelee tu mpaka mwisho wa maisha yake huku akiwa anatayarishwa mwingine wa mfano wake π³ !
Uongozi ni kipawa haupatikani kwa mtu anayepigiwa kura tu π³
Wengine wanaweza wakapigiwa kura nyingi au kura kidogo lakini hawana vipawa na wakawa viongozi π³!
Au nasema uongo ndugu zanguniii π³π³ππ !
Wakitokea viongozi kama Museveni na kama Nchi itakuwa na maendeleo mazuri na Haki ikitamalaki kila nyanja kwani kuna Ubaya gani mtu mmoja akikaa madarakani kwa muda mrefu ???!Kama sera ya Nyerere ya ujamaa ingefanikiwa nafikiri hata huu mfumo wa vyama vingi usingekuwepo na hata ukomo wa madaraka usingekuwepo na basi wangetokea viongozi aina ya Museveni
Huyo aliyevuruga uchumi nani anataka?
Najiuliza hili swali mara nyingi.
Angekuwepo je wananchi wangemkubalia astaafu baada ya kumaliza mihula yake miwili?
Je, yeye mwenyewe angekuwa tayari kustaafu na kurudi Chato huku akimtazama Rais mwenzie kwenye TV?
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hii kuachiana awamu ni ile wale keki ya taifa , maana Kila mpangaji pale Ikulu anakuja na sera zakeWakitokea viongozi kama Museveni na kama Nchi itakuwa na maendeleo mazuri na Haki ikitamalaki kila nyanja kwani kuna Ubaya gani mtu mmoja akikaa madarakani kwa muda mrefu ???!
Je kwani kubadili badili wapangaji wa kukaa Ikulu kila baada ya miaka mitano au kumi kunaleta tija gani kwa Nchi hizi zinazoitwa masikini ???!
Tuwe wakweli tu !
Uongozi ni kipawa mwenye kipawa cha uongozi akae tu pale juu mpaka ionekane kweli sasa ameishiwa na hicho kipawa πππ !
Ni maoni yangu tu alakini !
Freedom of expression π€£π€£π