Rais Magufuli anzisha television ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa sababu kuu tatu au nne muhimu zifuatazo ..

Rais Magufuli anzisha television ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa sababu kuu tatu au nne muhimu zifuatazo ..

Moja.itakuwa inaonyesha hotuba mbalimbali za marais waliotangulia na viongozi wengine.
2.Maisha binafsi ya viongozi baada ya kustaafu.
3.Mambo mbalimbali yaliyofanywa na viongozi ktk kuleta maendeleo.
4.Nyimbo zake zitakuwa za Chama na zile za kizalendo.
5.Ziara mbalimbali za viongozi walizo/wanazofanya nje.
6.Kuonyesha ziara za viongozi mbalimbali toka nje.
7.tamthilia zake zitakuwa mpya Tanzania ni zile toka magazeti ya Sani, kama Zena na Betina,Obi,visa vya akina baba ubaya toka Gazeti LA Bongo na Kongo ktk njia ya katuni.
Nb:;Mh.rais Dr.John Joseph Pombe Magufuli,nakuomba ktk TV hiyo uniteuwe niwe mkurugenzi nionyeshe mfano wa kuenzi viongozi kupitia TV.asante.inbox jamii forum kwa atayependa.
Kwani Channel Ten ni mali ya nani ?
 
Acha kukariri UPUMBAVU sio unafugia nywele tu hilo bichwa.
Watanzania mmekuwa wengi mpaka hamfahamiani !!
Not the first time, nor will this be the last time that incumbent ccm candidate Magufuli in Tanzania clearly states that he will not allow development funds to be provided to constituencies where they elect opposition members of Parliament.

#ChangeTanzania
 
Moja.itakuwa inaonyesha hotuba mbalimbali za marais waliotangulia na viongozi wengine.
2.Maisha binafsi ya viongozi baada ya kustaafu.
3.Mambo mbalimbali yaliyofanywa na viongozi ktk kuleta maendeleo.
4.Nyimbo zake zitakuwa za Chama na zile za kizalendo.
5.Ziara mbalimbali za viongozi walizo/wanazofanya nje.
6.Kuonyesha ziara za viongozi mbalimbali toka nje.
7.tamthilia zake zitakuwa mpya Tanzania ni zile toka magazeti ya Sani, kama Zena na Betina,Obi,visa vya akina baba ubaya toka Gazeti LA Bongo na Kongo ktk njia ya katuni.
Nb:;Mh.rais Dr.John Joseph Pombe Magufuli,nakuomba ktk TV hiyo uniteuwe niwe mkurugenzi nionyeshe mfano wa kuenzi viongozi kupitia TV.asante.inbox jamii forum kwa atayependa.
Tv za chama wanazo, redio za chama wanazo na magazeti pia wanayo.
Labda ungeshahuri waweke nembo na rangi, maana ndio kilicho baki tu.
 
Tv za chama wanazo, redio za chama wanazo na magazeti pia wanayo.
Labda ungeshahuri waweke nembo na rangi, maana ndio kilicho baki tu.
Lakini ni kama nilisikia Chanel ten imenunuliwa na serikali siyo chama,kwa magazeti sawa nalijua Uhuru magazine nililinunua Dodoma
 
Moja.itakuwa inaonyesha hotuba mbalimbali za marais waliotangulia na viongozi wengine.
2.Maisha binafsi ya viongozi baada ya kustaafu.
3.Mambo mbalimbali yaliyofanywa na viongozi ktk kuleta maendeleo.
4.Nyimbo zake zitakuwa za Chama na zile za kizalendo.
5.Ziara mbalimbali za viongozi walizo/wanazofanya nje.
6.Kuonyesha ziara za viongozi mbalimbali toka nje.
-Pia napendekeza nembo ya TV iwe dole gumba au jembe na nyundo
7.tamthilia zake zitakuwa mpya Tanzania ni zile toka magazeti ya Sani, kama Zena na Betina,Obi,visa vya akina baba ubaya toka Gazeti LA Bongo na Kingo ktk njia ya katuni.
Nb:;Mh.rais Dr.John Joseph Pombe Magufuli,nakuomba ktk TV hiyo uniteuwe niwe mkurugenzi nionyeshe mfano wa kuenzi viongozi kupitia TV.asante.inbox jamii forum kwa atayependa.

Mkuu ni Bange / Bangi hizi hizi za Tanzania unazovuta au ni 'Kitu' chetu kile cha Malawi?
 
Jamaa nakufananisha na mtu aliaye nyikani maneno mengi kumbe unataka kibarua.ila nisikupuuze unaweza kushangaa ghafla umeitwa magogoni
 
Mkuu u
Utangulizi;kuna Mali za Serikali na
Mali za chama,Chanel ten na TBC
In Mali ya serikali.
1.itakuwa inaonyesha hotuba mbalimbali za marais waliotangulia na viongozi wengine.
2.Maisha binafsi ya viongozi baada ya kustaafu.
3.Mambo mbalimbali yaliyofanywa na viongozi ktk kuleta maendeleo.
4.Nyimbo zake zitakuwa za Chama na zile za kizalendo.
5.Ziara mbalimbali za viongozi walizo/wanazofanya nje.
6.Kuonyesha ziara za viongozi mbalimbali toka nje.
-Pia napendekeza nembo ya TV iwe dole gumba au jembe na nyundo
7.tamthilia zake zitakuwa mpya Tanzania ni zile toka magazeti ya Sani, kama Zena na Betina,Obi,visa vya akina baba ubaya toka Gazeti LA Bongo na Kingo ktk njia ya katuni.
Nb:;Mh.rais Dr.John Joseph Pombe Magufuli,nakuomba ktk TV hiyo uniteuwe niwe mkurugenzi nionyeshe mfano wa kuenzi viongozi kupitia TV.asante.inbox jamii forum kwa atayependa.
Channel 10 ni mali ya CCM hujui ?
 
Tunataka TV na radio yenye nembo ya chama,hizo zingine ni Mali ya serikali chama chochote kikiingia kinatumia japo siombei ila ikiwa na nembo ya nyundo na jembe hiyo ndiyo TV na redio ya chama
Kijana una umri gani?
 
TV zote zao, Wasanii wa kwao, malori ya kubebea watu Yao tena unataka waongeze TV ?fungulia TBC muda wote Yuko mubashara utamwona pasipo Shaka.
 
Utangulizi;kuna Mali za Serikali na
Mali za chama,Chanel ten na TBC
In Mali ya serikali.
1.itakuwa inaonyesha hotuba mbalimbali za marais waliotangulia na viongozi wengine.
2.Maisha binafsi ya viongozi baada ya kustaafu.
3.Mambo mbalimbali yaliyofanywa na viongozi ktk kuleta maendeleo.
4.Nyimbo zake zitakuwa za Chama na zile za kizalendo.
5.Ziara mbalimbali za viongozi walizo/wanazofanya nje.
6.Kuonyesha ziara za viongozi mbalimbali toka nje.
-Pia napendekeza nembo ya TV iwe dole gumba au jembe na nyundo
7.tamthilia zake zitakuwa mpya Tanzania ni zile toka magazeti ya Sani, kama Zena na Betina,Obi,visa vya akina baba ubaya toka Gazeti LA Bongo na Kingo ktk njia ya katuni.
Nb:;Mh.rais Dr.John Joseph Pombe Magufuli,nakuomba ktk TV hiyo uniteuwe niwe mkurugenzi nionyeshe mfano wa kuenzi viongozi kupitia TV.asante.inbox jamii forum kwa atayependa.
Ccm ndio inamiliki Chanel 10
Hata hilo hulijui?
 
Back
Top Bottom