Rais Magufuli leo anaongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri baada ya uchaguzi mkuu wa 2020.
Tukio liko mubashara TBC, Channel ten na ITV
Updates;
Viongozi wote wameshaketi ukumbini akiwemo makamu wa Rais mama Samia, Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi na Waziri mkuu mh Majaliwa.