johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Magufuli ameshiriki kwa njia ya mtandao maombi ya kitaifa yaliyofanyika nchini Kenya kuliombea taifa hilo Mungu aliepushie ugonjwa wa Corona.
Maombezi hayo yaliyofanyika Ikulu ya Kenya yalishirikisha viongozi wote wakuu wa nchi hiyo na Rais Magufuli alishiriki akiwa nchini Tanzania.
Chanzo: ITV habari
My take; Mungu endelea kumbariki zaidi na zaidi Rais Magufuli
Maendeleo hayana vyama!
Maombezi hayo yaliyofanyika Ikulu ya Kenya yalishirikisha viongozi wote wakuu wa nchi hiyo na Rais Magufuli alishiriki akiwa nchini Tanzania.
Chanzo: ITV habari
My take; Mungu endelea kumbariki zaidi na zaidi Rais Magufuli
Maendeleo hayana vyama!