Rais Magufuli asikitishwa na vurugu za mechi ya Simba na Yanga,Sasa zazuiwa kutumia Uwanja wa Taifa

Hii timu ikiwezekana ifutwe maana inaonekana kuwa sio raia wa Tanzana kwani sijawawi kuona upuuzi kama huu bongo. Mona wenzo hawavunja viti? ilitokea tena wakati TP MAZEMBE walipokuja wakanunua jezi zao wakaingia na kufanya fujo kama hizi !!!!!!!!!!!!!!!!!!!ifutwe tuu sasa maana hatuna jinsi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Askari mbona aliangushwa kizembe vile
 

Tarimba Abbas Tarimba tungemvua Uraia tena na ule ushombe shombe hahahah
 
Bora umewapasha wanatetea ujinga, uharibufu wote huu bado mtu ana thubutu kuutetea!? Tena kwa hoja na mifano isiyo na mashiko hovyo sana
 
Viti ni vizima tusikuze mambo sehemu za kufungia bolts ni laini sana ukivuta tu kiti kinaachana na bolt lakini vile viti ni vizima tu
Kwa nini ving'olewe? Kwa nini wavitoe sehemu yake na kuvitupa hii tabia lazima itafutiwe tiba adhabu hiyo halitoshi kabisa mkuu,
 
Refa aliingia uwanjani kuchezesha mpira akiwa tayari na maelekezo ya ile mechi ,na yeye ndiyo chanzo cha yote yale hatua stahiki zichukuliwe dhidi yake.
 
Ya refali saanya asipewe adhabu peke pamoja na wale wasaidizi wake wana takiwa wapate adhabu
 
Mi naiponda serkal kwa kutengeneza viti visivyo imara. Ova
Ningeungana na wewe kuiponda serikali kama viti vile vingekuwa kwa ajili ya nyani maana yule ni hayawani chochote angeweza kufanya sio kwa binadam mwenye akili timamu afanye upuuzi huo uiponde serikali hapana mkuu
 

Hata Mimi Inanitia Hasira sana Kwa Miafrika Kutaka Maendeleo Lakini Sio Wote Wengine Ni Kama Manyani, Kila Kitu Kizuri Wataharibu. Mfano Nilipokuwa Nikisoma Azania Miaka ya 1989-92 Tulikuwa na Shida Kubwa sana ya Vyoo na Maji. Basi watu wa Denmark kwa Kutumia Shirika Lao la Danida, Wakatujengea Vyoo vizuri na Mabomba ya Maji Masinki, Na Kuweka Shule Mapaa Mapya, Na Kupaka Rangi, Lakini Mwezi haukuisha Utakuta Mishetani isiyojali Imejaza Kokoto na Mawe kwenye Vyoo, Imevunja Koki za Mabomba ya Maji. Imechora Grafidi Kutani, Na Kupasua Vioo Kwa Mawe. Iibakia Nusu hivi Nije Shuleni Na "Kisu Nichome" Hii Mimbwa Nilivyokerwa!

Rais Hapa Hasira yake Naungana Naye na Namwelewa sana, sana, Ila asiwe na Reaction ya Kama Mimi Nilipotaka kuja na Kisu shuleni! Simba na Yanga sidhani wanaweza Kuwakontrol Mashabiki wao, au sidhani Kama wao ndio wanawatuma Kufanya Huu Ushenzi. Mimi Nilidhani, asiruhusu Hasira yake ailekeze Vibaya. Ila from Now On, Waweke adhabu Kali, Na Ikitokea Mtu akifanya Ushenzi wa aina Hii, Iwe ni Kunya katika Vituo vya Mabasi, Iwe Ni kuvunja Viti vya Stadium au Kuharibu shule. Kama Ni mtu Mzima, aende Jela Miaka 20 Bila Huruma, sio rahisi Kukamata wote lakini kama 10 wakikamatwa Ready hand na Kufungwa watatoa somo Nchi Nzima.
Na kama Ni mwanafunzi wa Form 1 na Kuendelea na anavandalize (haribu) Shule. Huyu Ni Kumfukuza na asikanyage shule yoyote Milele, Wengine watapata somo.

Ila Mimi Nampinga Rais Kwa Udictator wa Kisiasa Lakini Kwa Hili Namkubali kwa 1000,000%.
 
Imeelezwa Kuwa Jana Rais Magufuli ameghadhibika sana na Kufoka, Kutokana na Uharibifu Uliofanywa Uwanja wa Taifa na Mashabiki wa Simba na Yanga.

Inanitia Hasira sana Kwa Miafrika Kutaka Maendeleo Lakini Sio Wote Wengine Ni Kama Manyani, Kila Kitu Kizuri Wataharibu. Mfano Nilipokuwa Nikisoma Azania Miaka ya 1989-92 Tulikuwa na Shida Kubwa sana ya Vyoo na Maji. Basi watu wa Denmark kwa Kutumia Shirika Lao la Danida, Wakatujengea Vyoo vizuri na Mabomba ya Maji Masinki, Na Kuweka Shule Mapaa Mapya, Na Kupaka Rangi, Lakini Mwezi haukuisha Utakuta Mishetani isiyojali Imejaza Kokoto na Mawe kwenye Vyoo, Imevunja Koki za Mabomba ya Maji. Imechora Grafidi Kutani, Na Kupasua Vioo Kwa Mawe. Iibakia Nusu hivi Nije Shuleni Na "Kisu Nichome" Hii Mimbwa Nilivyokerwa!

Rais Hapa Hasira yake Naungana Naye na Namwelewa sana, sana, Ila asiwe na Reaction ya Kama Mimi Nilipotaka kuja na Kisu shuleni! Simba na Yanga sidhani wanaweza Kuwakontrol Mashabiki wao, au sidhani Kama wao ndio wanawatuma Kufanya Huu Ushenzi. Mimi Nilidhani, asiruhusu Hasira yake ailekeze Vibaya. Ila from Now On, Waweke adhabu Kali, Na Ikitokea Mtu akifanya Ushenzi wa aina Hii, Iwe ni Kunya katika Vituo vya Mabasi, Iwe Ni kuvunja Viti vya Stadium au Kuharibu shule. Kama Ni mtu Mzima, aende Jela Miaka 20 Bila Huruma, sio rahisi Kukamata wote lakini kama 10 wakikamatwa Ready hand na Kufungwa watatoa somo Nchi Nzima.
Na kama Ni mwanafunzi wa Form 1 na Kuendelea na anavandalize (haribu) Shule. Huyu Ni Kumfukuza na asikanyage shule yoyote Milele, Wengine watapata somo.

Mimi Nampinga Rais Kwa Udictator wa Kisiasa Lakini Kwa Hili Namkubali kwa 1000,000%. Magufuli Hajui Tu watu hatumchukii, Na akiamua Kuweka Nchi ya haki, Na Kuruhusu Uhuru wa Kidemokrasia, 1)Hata shidwa 2020, 2) Atakumbukwa Miaka 2000 Ijayo 3) Atafanikiwa sana na hata wapinzani watamheshimu na Kumsaidia.

Hana haja ya Kuvumilia Ujinga, Anatakiwa Ajenge Nchi Fair, Na Watanzani wajisikie Uhuru. Upepo Utabadilika! Nguvu sio Kuwavuta watu Mh. Rais! Nguvu Ni Kuwafanya watu Kuvutiwa na Wewe na Kukufuata Kila Uendako. Nguvu sio Kuogopesha Watu Mh Rais, Nguvu Ni Kuwafanya watu wakupende, Wakuheshimu Mpaka Waingiwe Hofu ya Kukukosea. Nguvu sio Kuwalazimisha watu Kufanya Uyafanyayo Mh. Rais Nguvu Ni Kuwafanya watu wayapende Uyafanyayo Na Kwa Msukumo Binafsi wakuunge Mkono! Mr. President Do What is Right, Utafanikiwa. It is very hard when you have such Great power to do right to those who sometimes wish you Ill and demagogue against you! But Great people don't opt the easy way out!
 
Kwa hili la kuchezea miundombinu.....

Hata Mimi siwezi kuwaunga mkono wauni .......

Lazima watu tupende kulinda vitu vyetu tulivyovijenga kwa galama......

Huu ni upuuzi hakuna mtu makini anaueweza kuuvumilia......
 
Nilisikia uingereza ufaransa na ubelgij wanapoishi waafrika wengi wanachemsha maji ya kunywa.

Cleanliness is next to Godliness. Siyo tu kuabudu hadharan usifiwe mcha mungu
 
washabiki wa simba ni sawa na ma ccm huwa hayatumii akiri hata kufikiria.

swissme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…