Luharamula
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 495
- 333
Uwanja sio wa Rais wala waziri hou uwanja ni wa watanzania wote, wakiwemo hao mashabiki wa Simba na Yanga, kutafutwe adhabu mbadala na sio maneno ya kukurupuka tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijakuelewaHapo mkulu kakamapa pabaya simba na yanga huwa hawajalibiwi.
Angeamuru Mwenyekit akamatwe hapa kazi tuWakati mwinyi yupo rais wa tanzania aliwahi kuhudhuria mechi ya simba na yanga
Ile mechi haikumalizika mwenyekiti wa yanga wakat huo bw tarimba aliamuru timu yake itoke nje kabla ya mpira kwisha
Mwinyi alichukulia ni hali ya mpira tu
Magu angefanyaje...
Refa hausiani na ujinga wa watu wetuAnaetakiwa kulipa ni TFF maana wao ndio waliweka refa mbovu
Afu serikali nayo ijiulize hivyo viti kwanini vinangoka kirahisi hivo
mimi nafikiri hili swala kwa serikari wana haki ya kuingilia kwa upande mmoja au mwingine ukiangalia maamuzi yaliyo chukuliwa kwa upande mwingine ni funzo kwa hizi timu zitu kubwa.Hiyo tunaita tit for tat!! Natamani hapo aliposema "Rais alitaka adhabu iwe kali zaidi" nilitamani kuijua hiyo adhabu! Kutumia uwanja wa Taifa kwa Simba na Yanga ni ili kupata mapato mengi na kutangaza timu hizo nje ya nchi. Sidhani kama adhabu hiyo ya kuzifungia kuutumia huo uwanja ni sahihi.
Pili swala la kuzuia mapato ya timu hizo liangaliwe kwa umakini maana kuna wachezaji wengi hapo ndipo wanapoponea kwa swala la posho za hapa na pale kama kina Kichuya. Hivyo kuzuia mapato yote na hasa kwa style ya serikali ya Magufuli huenda tathimini hiyo ikachukua muda na baada ya hapo huenda wakaambulia hewa maana tutaambiwa mengi. Swala la kufanyika tathimini mpaka sasa lilitakiwa liwe limeisha. Pia mambo ya vurugu na vitu vya kwenye mipira ya miguu ni la FIFA na huwa wanakasirishwa sana pale serikali inapojiingiza moja kwa moja kama hivi.
Hapo kwenye adhabu Kali nawaza labda alipanga kuzifuta Simba na Yanga nini?
Any way adhabu kama hizi kwenye mataifa yenye misimamo mikali zilikuwa za kawaida na baada ya muda michezo kwenye mataifa hayo ikafutikia mbali!!
Watatumia uwanja gani? Wekeni njia mbadala za
kutatua matatizo kama ya kadi, kuwaelimisha mashabiki na wakifanya uharibifu basi mzuie pesa zao lakini sio kusema wote waadhibiwe kuto tumia uwanja wa taifa sabb ya wavuta bangi wachache.....
Utake usiteke hata kama mimi ndiye ningekua Sanya, jana ningeuwa Simba maana hakuna namna, huku nikijua natembelea pikipiki, watu waniahidi gari, na mbumba za kutosha. Urefa nini wananifungia kipindi cha mwaka mmoja, kwa kuzuga ila nikiwa nimekusanya maslahi ya miaka mitano, kwa sanya ni askari hategemei kuishi kwa kazi ya urefa. Kama mnategemea kilichotokea ni bahati mbaya poleni mashabiki wa Simba, wala wanaosimamia mpira mjue kuwa mengine nyie ndiyo chanzo, na mjuwe watu wanapenda mpira kuliko mnavyodhani. Mtu ataachana na mke au mumewe ila sio mapenzi ya Timu yake, angalia mipango mipango yenu isije leta dhahama.Mkuu hapo hamna cha kujikwaa wabongo wengi ni wapuuzi sana haswa linapokuja suala utunzaji mali za uma. Refa kuharibu mchezo halina uhusiano na viti. Refa atahukumiwa na wahusika baada ya mchezo. Nakumbuka siku ya ufunguzi ya ule uwanja watu waliiba koki vyooni. Sasa kama hapo utasema bahati mbaya
Yanga walivunja geti wakati wanaingia na walipuliza sawa kwenye vyumbaKwan Yanga nao walingoa viti? Kwa nini adhabu hii imeihusisha Yanga? Kutaka kufurahisha wote hata km haileti maana? Simba ndio walifanya vurugu, Yanga haihusiki! Hivyo adhabu iwahusu Simba wenyewe!
Umeongea vizuri sana mkuuDonald Trump, ulisema Africa bado tunahaja ya kutawaliwa, nilikuelewa sana. Hebu njoo utawale bongo tu, sio Tanzania nzima. Kuna tatizo sana pale
Umesahau aluvoibeba yanga dhidi ya coast union akafungiwa??Refa hausiani na ujinga wa watu wetu
Utake usiteke hata kama mimi ndiye ningekua Sanya, jana ningeuwa Simba maana hakuna namna, huku nikijua natembelea pikipiki, watu waniahidi gari, na mbumba za kutosha. Urefa nini wananifungia kipindi cha mwaka mmoja, kwa kuzuga ila nikiwa nimekusanya maslahi ya miaka mitano, kwa sanya ni askari hategemei kuishi kwa kazi ya urefa. Kama mnategemea kilichotokea ni bahati mbaya poleni mashabiki wa Simba, wala wanaosimamia mpira mjue kuwa mengine nyie ndiyo chanzo, na mjuwe watu wanapenda mpira kuliko mnavyodhani. Mtu ataachana na mke au mumewe ila sio mapenzi ya Timu yake, angalia mipango mipango yenu isije leta dhahama.