Key word "Ujerumani" not Kenya. Hapana contradict yourself bana.Tanzania's Magufuli leads fight against corruption | Africa | DW | 12.05.2016
Uhuru alisalimu amri na kunyoosha mikono juu, hawezi kupambana na rushwa, ujerumani wanasema Magufuli ndiyo ufumbuzi wa tatizo la rushwa Africa[emoji115] [emoji115]
Ondoa tongotongo hilo machoni, Ratiba kama ilivyopangwa, mkuu wa nchi ndani ya Nairobi tarehe 28 November.Magufuli hatakuja huko Kenya ng'oo.
Anajua kabisa wakenya hammpendi na haziivi na Uhuru Kenyatta.
Yote kwa yote, kitendo cha Magufuli kuja kuhudhuria Kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta kitakuwa ni usaliti dhidi ya Raula Odinga ambaye ni rafiki mkubwa wa Magufuli.
Ukiletewa source ya Kenya, unakataa unataka iwe imetoka mount Kenya, ukiletewa toka kwa mabanwa zenu wazungu mnaowalamba matako, unageuka tena, hizo ni nyege au?Key word "Ujerumani" not Kenya. Hapana contradict yourself bana.
Nonsense comments!! wakenya hawako nonsense kiasi hicho!!Wakenya wanamsubilia kumzomea kwa kuchoma na kushikwa mifugo yao na Mh Lowassa ndani sasa tuone nani ananguvu ya Umma au ubabe wa kijinga MUGABE atazomewa kuanzi boder hadi Nairobi.wamasai sio wajinga kama ccm
Swissme
Mbona amefuata watu maofisini kwa miguu kwa kuwashtukiza. Mbona hamjashangaa ila mmempongeza.Anyway siwezi bisha kwa jinsi mlivyo mivivu labda kutawaliwa kwa kushtukizwa shtukizwa ndio njia ya pekee mnayoweza kufanya kazi. Lakini kwa waliozoea kujituma, sio lazima utembelewe na viongozi ndio ufanye kazi kwa ufanisi.
Kwa Kenya ni tofauti, leo hii rais akianza kufuata fuata watu maofisini tutamshangaa na kumshtumu hadi akome.
Did you invite both the President & PM of the Jewish state?wakenya wanamsubiri nani kwa hamu? Pwahahahaha...hivi unajua ni marais wangapi watakua kwa hafla ile ama una kurupuka tu? pia watakuja marais wa dunia kama vile Netanyahu, rais wa israel na hata naskia rais wa Ujerumani amealikwa...sasa magu ndo nani bana?😀😀😀 pengine nikukosoe basi, Uncle Magu anatarajiwa Nairobi... sio kungojewa kwa hamu.anasubiriwa kama tu marais wengine walioalikwa..mambo ya hamu na ghamu utakuwa ni uongo mtupu kwani aje ama asije hamna nuksi...pengine ingekuwa ni Obama anakuja...hapo najua kungekuwa na hamu sana...Kagame, Museveni na kadhalika wanatarajiwa tu kama vile Magu...
magu kasema ataenda. hujaona chapisho la msigwa?Magufuli hatakuja huko Kenya ng'oo.
Anajua kabisa wakenya hammpendi na haziivi na Uhuru Kenyatta.
Yote kwa yote, kitendo cha Magufuli kuja kuhudhuria Kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta kitakuwa ni usaliti dhidi ya Raula Odinga ambaye ni rafiki mkubwa wa Magufuli.
Lazima aende...sujui kwanini walimchukia Nyerere?Magufuli hatakuja huko Kenya ng'oo.
Anajua kabisa wakenya hammpendi na haziivi na Uhuru Kenyatta.
Yote kwa yote, kitendo cha Magufuli kuja kuhudhuria Kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta kitakuwa ni usaliti dhidi ya Raula Odinga ambaye ni rafiki mkubwa wa Magufuli.
Mmmh... Mi nimewaza vifaranga tu
Vya Kompyuta.Mmmh... Mi nimewaza vifaranga tu
Mbona amefuata watu maofisini kwa miguu kwa kuwashtukiza. Mbona hamjashangaa ila mmempongeza.
toka nianze kuona post zako yaani wewe ni kilaza wa mwisho unawazaga upumbavu tuu kujiridhisha na nafsi yako yaani matoto ya nje ya ndoa haya yanataabu kweli kweliWakenya wanamsubilia kumzomea kwa kuchoma na kushikwa mifugo yao na Mh Lowassa ndani sasa tuone nani ananguvu ya Umma au ubabe wa kijinga MUGABE atazomewa kuanzi boder hadi Nairobi.wamasai sio wajinga kama ccm
Swissme
https://www.facebook.com/Chapa kazi mzee, hivi baada ya kula kiapo Uhuru Kunyatta trip ya kwanza kwenda kuzurura ni nchi gani?Hebu mnaisaidie labda nitakua niko nyuma kuhusu habari za kwetu na iwe nyie Watanzania ndio mnajua zaidi. Wapi imeandikwa alikwenda kwa miguu ili akashtukize. Maana ninavyofahamu na kama ilivyoelezwa kwenye vyombo vya habari Kenya ni kwamba, rais alishuka kwenye msafara baada ya kuona msongamano wa magari unazidi katikati ya jiji, hivyo akaamua kuwahi kikao kwa kutembea moja kwa moja.
Nimewaambia nyie kwamba rais wa Kenya hawezi kufanya mambo yasiyokua na tija ya kutembea na wana habari ili akashtukize watu kwenye maofisi yao, hayo hufanywa na watu wa level ya chini yake maana yeye anayo majukumu makubwa na muhimu, kuwaongoza Wakenya ni shughuli inahtaji utumiaji wa akili sio kukurupuka na kutapatapa bila kujua unakoenda au unakotoka.
Uhuru abandons motorcade, walks to Treasury for meeting - PHOTOS - Nairobi News
Mnamtamani kichinichini, the best president in Africa kwa sasa, hureeeeeee[emoji14] [emoji14] [emoji14]Hebu mnaisaidie labda nitakua niko nyuma kuhusu habari za kwetu na iwe nyie Watanzania ndio mnajua zaidi. Wapi imeandikwa alikwenda kwa miguu ili akashtukize. Maana ninavyofahamu na kama ilivyoelezwa kwenye vyombo vya habari Kenya ni kwamba, rais alishuka kwenye msafara baada ya kuona msongamano wa magari unazidi katikati ya jiji, hivyo akaamua kuwahi kikao kwa kutembea moja kwa moja.
Nimewaambia nyie kwamba rais wa Kenya hawezi kufanya mambo yasiyokua na tija ya kutembea na wana habari ili akashtukize watu kwenye maofisi yao, hayo hufanywa na watu wa level ya chini yake maana yeye anayo majukumu makubwa na muhimu, kuwaongoza Wakenya ni shughuli inahtaji utumiaji wa akili sio kukurupuka na kutapatapa bila kujua unakoenda au unakotoka.
Uhuru abandons motorcade, walks to Treasury for meeting - PHOTOS - Nairobi News
Hakuna shamba la bibi. Diplomasia. Ya kuifadhi kwenu na karibu Kwa wengine. Kenya kuna Mashamba mengi. Ya Kenyatta. Moi.kibaki. nawengine.Hapana ham yao kubwa ni kumuona mtu alieuza mifugo yao bila kujali ujirani wala diplomasia lkn pia mtu ambae atashuhudia kumuona rais asiemtaka ndie ataeapishwa. lkn mkumbusheni sizo akamsalimie TL hospitalini najua haiko kwenye ratiba ila itamjengea walau imani kwa wa TZ.
Hana haya anaweza kwendaHapana ham yao kubwa ni kumuona mtu alieuza mifugo yao bila kujali ujirani wala diplomasia lkn pia mtu ambae atashuhudia kumuona rais asiemtaka ndie ataeapishwa. lkn mkumbusheni sizo akamsalimie TL hospitalini najua haiko kwenye ratiba ila itamjengea walau imani kwa wa TZ.