Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu Mohamed Shein anasema atajenga Daraja kutoka Unguja hadi Dar
Mimi nikajiuliza je litakuwa daraja la Minazi?
Hii sio kweli. Ccm inabebwa na dola, mengi wanayofanya sio kwa manufaa ya wananchi ambao wamechoka nao.CCM
inaweza kupoteza dola iwapo viongozi wake watajisahau na kuongoza kwa
mazoea bila kukidhi mahitaji na matarajio ya
wananchi.