Uchaguzi 2020 Rais Magufuli atakavyowageuka CCM, Ndugai hatarudi, nawaambia mnielewe!

Apatea ajali kutokana na starehe zake aagize misukule yake isingizie serikali afu useme hajawahi kumattack Magufuli!? Serikali inajiongoza enh? hizi mambo zinachukiza sana.
Weka ushahidi. Maneno maneno meeengiiiiiii!
 
Aisee hongera, Umeandika vizuri sana.

Ndugai anafanya kazi ya kujipendekeza, sasa bahati mbaya hajui anatakiwa kuifanya hiyo kazi kwa kiwango gani. Ndio maana tunamuona kila siku akifanya mambo ya ajabu na aibu bila wasiwasi wowote.

Ni ajabu sana mwanaume kumtumikia mwanaume mwenzio kwa kiwango anachoonesha Ndugai, hakika ataacha historia mbaya sana.

Alichomfanyia yule Mbunge wa CDM jana bungeni, hukumu iko juu yake.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nacheka tu na harakat za chadema
 
Magufuli ni kiongozi msomi na mwenye maono ya mbali sasa.

Sasa hawezi kukubali kufanya kazi na watu wafupi kiupeo sampuli ya Ndugai
 
Chadema acheni kuweweseka bwana
Mkubali kuanza upya tu mwaka huu mnatoka na sifuri

Ya Ccm waachieni wenyewe
Ni wewe unaetaka pesa za chadema zirudishwe, wewe zinakuhusu kivipi. Watu kama wewe hamfai kabisa maana hupendi mapatano unataka chuki iendelee
 
Njema kama umeona!
 
Hakuna mgombea urais anayeweza kuwatosa wabunge wa chama chake, ccm wamepitisha mambo mengi hata yasiyo na tija kutokana na wingi wao.Ni vema ukarudia utafiti wako kwanza kabla ya kuandika.
 
Hili andika halijaacha kitu kwenye siasa za nchi hii..huenda mimi nikalichagua kuwa andiko bora kuwahi kutokea toka 2019-2020.
 
Zee zima , toka lizaliwe 1977 hadi leo linabebwa kwenye mbeleko, lioga na lina lilia nyonyo hadi leo.
Chadema acheni kuweweseka bwana. Mkubali kuanza upya tu mwaka huu mnatoka na sifuri

Ya CCM waachieni wenyewe
 
Chadema acheni kuweweseka bwana. Mkubali kuanza upya tu mwaka huu mnatoka na sifuri

Ya CCM waachieni wenyewe
Kaifanyia Nini Hai Ndio Swali Atakalo Jibu.. Wenyewe wanasema Awajibu tu...
Ndugai asirudi kwenye USpika! Wewe una Phd ya nini hadi usielewe hapo?
Bashite ndo atakuwa speaker.
Jiwe amekuwa kikaragosi kabisa kwa kukubali haya yanayoendelea kweli kama alivyosema Odinga, "....nafikiri hashauriwi vizuri", ni kweli mno.
 
Job hawezi kurudi kwa sabau ya gonjwa sugu linalo msumbua na system inajua kwa ufupi Jiwe kachoka kulipia gharama za kubadilisha damu mara kwa mara SA.....chezea 'ngoma'' wewe....
 

Kama Ndugai harudi,utakuwa uamuzi wa busara mno kuwahi kufanyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…