Uchaguzi 2020 Rais Magufuli atakavyowageuka CCM, Ndugai hatarudi, nawaambia mnielewe!

 
Hapana kuna gwiji wa kujikomba yeye umefika mbali na kusema JPM ni Yesu wa leo.

Huyu nafikiri jina litaishia kamati ya siasa ya CCM ngazi ya kata!!
 
Duh...!.
Inawezekana hoja hii ni ya kweli na ikaja kutimia
Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Akson ndie Spika ajae! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

P.
 
Hapana kuna gwiji wa kujikomba yeye umefika mbali na kusema JPM ni Yesu wa leo.

Huyu nafikiri jina litaishia kamati ya siasa ya CCM ngazi ya kata!!
Na anajikomba kweli. Anatumia MwiguMolle style!
 
Kumtabiri Magufuli ni sawa na kutabiri hali ya hewa, haitabiriki
 
Unaweza kuwa na hoja nzuri lakini ka.hukujifunza lile somo la kiswahili la fupisha habari hii kwenye mistari 5 hoja yako itamezwa na matope.
Ni kweli na asante kwa kulionyesha hilo. Kuna watu wanapokuwa na mada wanaandika gazeti zima ambalo ukilichambua unaona kama vile habari ya maana ingeandikwa katika paragraph moja fupi tu. Hata muda wanaoutumia kuitayarisha ni muda mrefu sana kuliko thamani ya post yenyewe; wanaandika maneno badala ya kuandika information
 
Na Na ndio maana anawatumia wapinzani hata kwenye serikali yake na kuwaacha mataga low iq pembeni umesema kweli JPM ili asafishe nyota yake na ya chama chake ajitenge mbali Sana na ndugai. Ndugai anachukiwa mno sio kawaida na soon mtasikia amepigwa ban hata kwenda baadhi ya nchi.
 
Apatea ajali kutokana na starehe zake aagize misukule yake isingizie serikali afu useme hajawahi kumattack Magufuli!? Serikali inajiongoza enh? hizi mambo zinachukiza sana.
Toka mbowe amepatwa na matatizo umewahi kumsikia akisema chochote?
 
Hili lingekuwa pigo takatifu imagine jitu Kama silinde hulichagui kwenye ubunge CCM Wala UDC na upinzani kashanyea kambi hili lingekuwa funzo kwa traitors.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…