Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Alivyokuwa akiuwa waafrika wenzake hakujua ni vizuri kujaliana.? Tuache unafiki wakati yuko hai kila Jambo baya utasikia "acha ukurunziza" Sasa kafa ndo awe mzuri?Ni vizuri kujaliana,,africa ni moja
Wanatuambia tutumie upande wa mbele wa kiwiko Cha mkono Sasa Hapo sijui wizara inasemaje.
Hayo yote ni yale ambayo yeye alinufaika kwetu, je alitufanyia kipi cha maana hata kustahili nusu mlingoti.?
Je, ni kawaida hii pia hutokea nchi zingine.?
Tuheshimiane binti
Tuna maslahi makubwa sana ya kiuchumi na Burundi. Tuweke siasa na Corona pembeniYes ni kawaida kutokea kwa nchi nyingine.
Alitufanyia nini sisi kama Tanzania nadhani tafuta Press release ya IKULU jana.
Ile barua wameandika alichotufanyia watanzania.
Msiba wa kujitakia hauna Kilio, kama umekunywa sumu sasa ya nini uombewe? By Afande Sele (enzi zile kichwani zimo).Kuna vifo vinatokea unasikitika.
Sasa Nkurunzinza tunaomboleza nini kama alizarau corona mwenyewe. Hii ni kosa la marehemu wala hatuna sababu ya kuomboleza.
Corona itawatafuna sana viongozi wa Burundi.
... 9 months later ...? 12 June 2020 to 17 March 2021! Siri zake ni kuu wala mawazo yake hayachunguziki!
Madikteta yaliyokataa uwapo wa COVID19 na baadaye yote yakafa kwa kuugua COVID19 sasa yako Jehenam yote mawili; Nkurunzinza na MagufuliKwa huzuni gani niliyonayo nimwombolezee dikteta!!? Hayo ni madikteta yanaombolezeana.
DaaahHis fellow Countryman has succumbed to COVID-19 the 'breath squeezer'. So guess who's nex and the Nation will explode in jubilation and happiness