Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
She blundered big time, pure and simple!This is a harsh punishment for her. Pigo kwa young ladies who were looking up to her.
Lady leaders, be humble and dont stop learning to lead, communicate as a leaders, learn surroundings and situations, seek opinion and advise. Ask for help.
My self I am not a leader but I've never stopped to learn leading children and house helpers.Contradiction nhaa!
Acha roho mbaya mkuu. Unataka numuimbee maradhi? Ili ufurahi? Kisha iweje? Acha unaaacha ama punguza kula ugali maana umekufanya kuwa mjinga sana, anza kula vyakula vya ngano, maini na mfanano wake.
maneno yako, umri na akili haviendani
She blundered big time, pure and simple!
Nyie watu mkoje? Hivi hili swali si lilitetewa bungeni? Yaani sijui hamna akili ama huwa mnajitoa akili. Irene kwani alikuwa anapanga mwenyewe bila ya kupitisha kwa wenye mamlaka ya kutunga kanuni?
Kikokotoo hutengenezwa na Waziri mwenye dhamana, mkurugenzi wa SSRA hahusiki!
Wewe unampenda Irene, Mimi naona Jenista ndo chuma!Masikini Irene isaka dah napenda yule Dada kwakweli aje nimliwaze
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora hata alikuwa akicheka-cheka maana angenuna tusingejua tofali ni lipi na jiwe ni lipi,.Huyu Dada mi nilikua namshangaa anajichekeshachekesha pale mbele wakati masaa yake yalikua yanahesabika
Sent using Jamii Forums mobile app
But yet amekokotolewa.... [emoji12] [emoji12] [emoji12]View attachment 979858
Binti Msomi!
Probably she did not gauge the social impact of her decisions and the underlying political sentiments.I know and was disappointed to see addressing employees outcry as 'kelele, kelele'. I was 🤬🤬.
However, I didnt expect her to be fired. Anyway, we all learn from mistakes.
Sheria haijazungumzia kikokotoo hicho kilicholeta taharuki. Nyie vijana wa mtaa wa ufipa mnayo matatizo ya uelewe. Mnakurupuka sana
Hiyo lugha haina staha mkuuTena huyoo malaya akafie mbali na laana za wafanyakazi, yaani alikuwa anang’ang’ania kunyang’anya mafao ya wafanyakazi as if ni pesa zake binafsi, binafsi nimemchukia kupitiliza sasa amfate mkwere wakafanye mapenzi vizuri, mafao yetu akae nayo mbali, kwa kweli kwenye hili namfagila jiweee ila 2020 simchagui...
Mkuu upo? Naona umeamua kujipa kalikizo kidogo!!
Mkuu tukumbushe na sisi huko mbali unakokukumbuka
Sheria haijazungumzia kikokotoo hicho kilicholeta taharuki. Nyie vijana wa mtaa wa ufipa mnayo matatizo ya uelewe. Mnakurupuka sana
Sent using Jamii Forums mobile app