Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Kazingua asee kwa kauli hii simpend had kufa mbaguz tu
kelvinlewis
Mwalimu Nyerere aliwahi kutamka wakati wa uhai wake kuwa hatukuwaita makaburu wa Afrika Kusini kwa ajili ya rangi yao nyeupe, la hasha.........

Aliendekea kusema kuwa yeyote ambaye ni mbaguzi, hata kama ni mweusi ni KABURU tuuu.......

Kwa matamshi aliyotamka Rais wetu kule Kilwa, na yeye ni KABURU pure!
 
Magufuri ni rais wa hovyo hovyo sana .. nadhani ana laana ya wazazi ..ni mbaguzi wa kikanda kikabila kisiasa na kidini ..yaani sijui kwnn m/mungu asimtwae huyu mtu ..mtesaji , mtekaji na ni muuaji ...anaongea bila staha , hv zawadi ya kuku inakufanya umdhihaki mzazi wako??? Unamtafutia mume mama yako mzazi?? Daaah weee corona kwnn unaupendeleo?? Umemchukua nkurunziza lkn kwnn umemuacha John msumbufu?? Tutolee na huyu kabla ya October ...aseeee
 
Hahaaaaaa......... 😁 😀
 
Maendeleo yanavyama. Hii ni aibu yake. Latiba ndio iliyeta vyama. Vyama haviwanyanganyi wanachama haki yao kwa serikali. Wapiga jura wanachagua mtu. Anaweza kuwa wa chama chochote cha siasa. Asiyejua haya asaidiwe elimu
 
Hafai kuwa rais kwa maneno kama haya kwa walipa kodi wake
 
Maendeleo yanavyama. Hii ni aibu yake. Latiba ndio iliyeta vyama. Vyama haviwanyanganyi wanachama haki yao kwa serikali. Wapiga jura wanachagua mtu. Anaweza kuwa wa chama chochote cha siasa. Asiyejua haya asaidiwe elimu
Ukiwa kama kiongozi wa mwisho wa nchi hupaswi kuongea maneno kama haya kwa mwananchi wako kwani hii inaonyesha jinsi gani alivokuwa na donge nao hao watu wa kilwa
 
CCM wana kazi kubwa sana mwaka huu. Hivi kwa maboko haya ya huyu mtu wao watatokea wapi mwaka huu???? Alafu upande wa pili kuwe na Tundu Antipas Lissu.

CCM jiandaeni tu kuwa Chama cha Upinzani hapo October 2020.

This guy is not fit from being a candidate mpaka kuwa raisi. Ana udhaifu na mapungufu makubwa sana ya kiuongozi
 
Ukiwa kama kiongozi wa mwisho wa nchi hupaswi kuongea maneno kama haya kwa mwananchi wako kwani hii inaonyesha jinsi gani alivokuwa na donge nao hao watu wa kilwa
Sio ulivyokuwa na donge. Inaonesha ni kwa jinsi gani ulivyo na roho mbaya tena kwa wananchi wako
 
Uyu jamaa kajipanga sana kurudi katika kumalizia miaka mitano yake sidhani kama anaweza kufeli kushinda mkuu na kama akishindwa mapema natafuta chaka LA kwenda coz watu watakula malungu mpaka waombe pooo dadeki
 
Uyu jamaa kajipanga sana kurudi katika kumalizia miaka mitano yake sidhani kama anaweza kufeli kushinda mkuu na kama akishindwa mapema natafuta chaka LA kwenda coz watu watakula malungu mpaka waombe pooo dadeki
Hawezi. Dunia imebadirika sana. Saivi ukitumia ubabe wenye dunia hawakuachi . Yamemshinda Muthalika juzi Malawi huyu atawezea wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…