Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Mkuu sifa kuu ya kuwa Ccm ni ubaguzi "ndani na nje ya chama" Kwanini huwa kuna kauli "huyu anatumiwa... huyu si mwenzetu... huyu mdini... WADHANI YANAKUJA PASIPO SABABU?
Jimboni kwa mwigulu Nchemba kuna dhiki na shida zote hakuna maendeleo hata nukta 2 tu lakini huyo mwingulu Nchemba alitoa Amri akiwa mbunge eti Tanzania iache kutangaza takwimu za corona akazawadiwa uwaziri na Amri yake kutekelezwa sasa Tanzania imebakia kutengwa na majirani na Serikali ya CCM kulipa visasi kisa corona, Athari za kulipa visasi kutengwa kisa corona ni kubwa lakini cha ajabu CCM hushangalia ligi za kijinga jinga kama hizo
 
Mbunge anaitwa Bwege ,hajafanya chochote mpk leo.mnataka Rais afanyeje ?
Akasimamie wahandisi kujenga stendi
Hapa Eclat sikuelewagi
Kuwa na jina zuri siyo maendeleo kuitwa bwege kisha CCM mnazuia kukwamisha maendeleo kwa makusudi kuna uhusiano gani na jina? acha ujinga huo ubaguzi wa kishamba sana, walipa kodi wa rufiji wanataka maendeleo kwa lazima kwani ni pesa zao siyo pesa binafsi toka mfukoni mwa CCM, Maendeleo siyo Hisani za CCM
 
Kuwa na jina zuri siyo maendeleo kuitwa bwege kisha CCM mnazuia kukwamisha maendeleo kwa makusudi kuna uhusiano gani na jina? acha ujinga huo ubaguzi wa kishamba sana, walipa kodi wa rufiji wanataka maendeleo kwa lazima kwani ni pesa zao siyo pesa binafsi toka mfukoni mwa CCM, Maendeleo siyo Hisani za CCM
Umaskini, maradhi na ujinga vinatumiwa na ccm kama mtaji wa kisiasa ndio maana hawataki kuviondoa vijiadui hivyo.
Maendeleo sio hisani ni wajibu wa Serikali... ukiuza toa risiti... ukinunua omba risiti...
LIPA KODI KWA MAENDELEO YA TAIFA!!!
 
Yeye amekua Mbunge wa Chato miaka zaidi ya 10 na stend ilimshinda kujenga adi leo akiwa Rais ndo analazimisha kuijenga kwa upendeleo tena.
Jamaa anarohoo mbaya adi ndugu zake wa karibu kabisa wanawashangaa waTanzania kwa kumchagua kuongoza nchi hii.
Jamaa ana rohoo mbaya haijawahi kutokea; nyie yawezekana mnamsikia tu.
Ndugu zake wasiwashangae watanzania hawakumchagua na yeye analijua Hilo ,wawashangae ccm ndio walimchagua na kumbambikiza kwa watanzania na sasa limeanza kuwamaliza mmojammoja Kama huyu was juzi.
 
Back
Top Bottom