Rais Magufuli awachana Kilwa kwa kumchagua mpinzani Bwege. Awataka kutofanya makosa tena uchaguzi ujao

Anhaaa sawa. Utamuacha Mungu,
Tusipoteze mda mkuu, upo sahihi.
 
Hii nchi rais ni kama mfalme
Yani kashaanza kampeni
Anatumia resource za serikali kupiga kampeni za chama!
Kwa hiyo yeye anaweza kumfukuza mwanachama yoyote wa ccm!
Chama kimetekwa na mtu mmoja!!
 
Avifute vyama vyote abakishe CCM peke yake na kusiwe na haja ya uchaguzi wakimaliza kura zao za maoni iwe ndiyo mwisho tutaokoa hela nyingi kuachana na chaguzi feki hizi.
 
😂😂😂😂😂 kuna mmoja humu aliandika anaamini kabisa COVID-19 itafanya yake kabla ya October 28 ikitokea hivyo akiamua kuwa Sheikh Yahya atatengeneza sana.
Hii covid iliyopita Burundi wakati wa uchaguzi?
 
Reactions: BAK
Huyu jamaa kila siku anahubiri maendeleo hayana vyama ,sasa hapa anahubiri nini ? Basi waache kuchukua kodi kwenye majimbo yote ya upinzani na rasilimali zote majimbo ya upinzani mfano mbuga za wanyama ,milima ie Kilimanjaro watuachie hela za watalii tuzipokee kwenye majimbo yetu .Maendeleo yana vyama inavyoonekana
 
Elimu Kwa wapiga kura wa kilwa tayari JPM ameshazoa kura za kutosha October. Hiyo ndio sayansi ya siasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…