Rais Magufuli azindua Kiwanda cha bidhaa za ngozi Kilimanjaro, aitaka mifuko ya hifadhi kuwekeza kwenye viwanda badala ya majengo

mutuku fu wenu anapenda kuabudiwa na hizi ndo IMPACTS ...28 sio mbali
Hiyo ni siku ya uchaguzi wa wabunge na madiwani uraisi watanzania washaamua mitano tena.

We uoni Lissu kaamua kukimbilia Zanzibar mziki wa bara keshauona hana chake.
 
Ni makosa makubwa kufanya haya wakati wa uchaguzi NEC mpo wapi?!
 
Nchi inatakiwa kiwanda vya aina mbali mbali tuwauzie watu products na sio raw materials ili tupate faida kubwa sawa jiwe! ila Lissu imekaa vizur inasound good.
Tobo viwanda vyote ni kwa mabeberu. Hafu wananchi wote ni ufukara kama jimboni kwake
 
Yaani bado anataka kwenda kuchimbia fedha za wastaafu kule?
Wamezoea 'kuzibeba' kila watakavyo ndio maana mafao ya wastaafu yanazidi kubinywa kila kukicha!
Bima ya afya nako wameanza kuzichota watakvyo ndio maana huduma ya madawa mengi yameondolewa na kuacha malaria tiu!

haya mambo yanatia hasira sana sana!
 
Shekhe Ponda ahoji Viwanda kufunguliwa wakati wa Kampeni amesema Ile Sera ya Viwanda vya Cherehani nne ni Ulaghai wa kiwango cha hali ya juu
 
PSSSF na NSSF wana pesa ya kufanya miradi, lakini pesa ya kumlipa mfanyakazi aliyetumikia Taifa na kchangia mifuko hiyo kwa miaka Mingi na badae kupoteza ajira na kuendelea kuteseka na familia yake, Hawana..!!

Hovyo sana....
We jamaa wewe nawe, nani kakuambia kua hawana hizo pesa, usi comment kwa kufuata Mkumbo tu halafu ukute wewe mwenyewe hata sio mwajiriwa halafu una bwabwaja, nikupe taarifa tu kwa ninavyofahamu huo ni uwekezaji kama maagizo ya Mhe. Rais ilivyotoa kuwa wawekeze zaidi katika viwanda na suala la mafao kwa wafanyakazi pindi atakapo staafu au kuachishwa kazi wote watapata mafao. Usiandike mambo kama huelewi
 
Tatizo watu hawana data hawana uelewa wanafata mikumbo ndio maana unaona wanaandika bora wameandika nao waonekane wamo
 
Upumbavu mtupu! Mifuko ya jamii inatunza fedha za wafanyakazi ili wanufaike wakistaafu na si fedha za kujenga viwanda ambavyo vinaweza kufa na hivyo kuwakosesha wastaafu haki yao.

Mwambieni Magufuli atafute wawekezaji binafsi wajenge viwanda.
Hivi wewe wa wapi, hivi unaelewa maana ya uwelezaji ww, sasa unataka pesa zikae tu bila kuzunguka, hebu uliza wenzako nini maana ya mzunguko wa fedha, na hapo hapo jiulize je pesa ulizo nazo unakaaga nazo au unatumia upate nyengine, kuwa kama mtu unaejielewa basi usiandike andike tuu, acha Mhe. Rais aendelee na Mitano ili tuwe na viwanda zaidi na maendeleo kwenda mbele. Unajua yapo sema ubishi tu.
 
Bado unanuka maziwa ya mama yako, ukikua utaelewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…