Rais Magufuli azindua Kiwanda cha bidhaa za ngozi Kilimanjaro, aitaka mifuko ya hifadhi kuwekeza kwenye viwanda badala ya majengo

Rais Magufuli azindua Kiwanda cha bidhaa za ngozi Kilimanjaro, aitaka mifuko ya hifadhi kuwekeza kwenye viwanda badala ya majengo

Nyie chadema mkiambiwa ni maamuma mtakataa ?

Kwahiyo Unataka fedha ikae ikisubiria mtumishi astaafu?

Kwa haya mawazo ndio maana mnatandikwa virungu
Acha ujinga hizo ni fedha za wenyewe na siyo za serikali. Wastaafu wanacheleweshea mafao yao kwa sababu za ujinga huu!
 
Kwa kuwa ndio akili zako zilipoishia nakuacha kama ulivyo

Hiyo mifuko duniani kote ndio inatumika kwa maendeleo
sasa wewe unaonekana ni giza kichwani
Acha ujinga hizo ni fedha za wenyewe na siyo za serikali. Wastaafu wanacheleweshea mafao yao kwa sababu za ujinga huu!
 
Kwa kuwa ndio akili zako zilipoishia nakuacha kama ulivyo

Hiyo mifuko duniani kote ndio inatumika kwa maendeleo
sasa wewe unaonekana ni giza kichwani
Kwa ufisadi wa serikali hii unataka wastaafu wafe? Mpaka leo serikali inasuasua kulipa madeni ya mifuko ya jamii na kuifanya ifilisike!
 
Askofu Shoo naona kaunga mkono juhudi leo kamsifia Magu kama siyo yeye ha ha haa na bado watakubali tu mziki wa jembe LA chato
 
Na wastaafu pia wapewe stahiki zao mapema! sio kuwekeza bila hata kushirikisha wadau halafu haki zetu za fao la kujitoa mnakalia pamoja na serikali ya awamu ya tano!
 
Hizo pesa zilizowekezwa huko sio mali ya serikali bali ni za wafanyakazi. Wanafaidikaje na uwekezaji huo?
 
PSSSF na NSSF wana pesa ya kufanya miradi, lakini pesa ya kumlipa mfanyakazi aliyetumikia Taifa na kchangia mifuko hiyo kwa miaka Mingi na badae kupoteza ajira na kuendelea kuteseka na familia yake, Hawana..!!

Hovyo sana....
wacha tu Mkuu...
 
Mbona azungumzii mafanikio ya mahakama ya mafisadi, uchumi wa viwanda?
 
Ni hatua nzuri ila haya sasa ndio matatizo ya kuweka unqualified governor kuongoza BoT nina uhakika Benno Ndulu asingeruhusu.

There are serious risk factors and diversification issues of concerns ndio maana taasisi za kifedha azifanyi uwekezaji wa kuendesha viwanda moja kwa moja popote duniani.

Chances are ata ukipekuwa kwenye regulations rule za BoT utakuta pension funds aziruhusiwi kufanya aina ya investment hizi.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli anazindua kiwanda cha bidhaa za ngozi kilichopo mkoani Kilimanjaro. Rais ameshafika na kwa sasa ni wimbo wa Taifa kabla ya kuanza shughuli Rasmi. Kuwa nami.

======

TAARIFA FUPI YA MRADI
Mkurugenzi PSSF:
Ujenzi wa mradi huu ni utekelezaji wa maelekezo yako uliyoyatoa tarehe 9 May 2016 uliyoyatoa wakati wa ufunguzi wa majenga ya vitega uchumi wa mifuko ya hifadhi ya jamii jijini Arusha, katika hotuba yako ulituelekeza kuwekeza zaidi katika viwanda badala ya kuwekeza tu katika majengo.

Katika kutekeleza, May 2017 mfuko kwa kushirikiana na Jeshi la magereza tulianzisha kampuni ya ubia inayojulikana Karanga leather Industries company Limited ambayo kwa kwa sasa inajulikana kama Kilimanjaro International Leather Industries yenye mtaji wa bilioni 70 inamilikiwa na mfuko wa PSSF kwa asilimia 86 na Jeshi la Magereza kwa asilimia 14. Jeshi la Magereza likiwa limechangia eneo la kiwanda lenye ekari 25 pamoja na kiwanda cha zamani.

Mfuko wa PSSF unachangia gharama za ujenzi wa majengo, ununuzi wa mashine na mitambo na gharama za uendeshaji. Ujenzi huu unasimamiwa na wataalam wa ndani kupitia taasisi za umma.

Mkandarasi wa ujenzi ni Jeshi la Magereza kwa kiasi cha bilioni 27, mashine na mitambo vimenunuliwa nchini Italy kwa gharama ya Euro milioni 23.6, takribani bilioni 60 zikijumuisha gharama za usafirishaji, ufungaji wa mashine, mafunzo na ushuru wa forodha. Mpaka kukamilika kwake unatarajiwa kugharimu bilioni 136.


MAGUFULI: Kuanzishwa kwa kiwanda hiki, mimi nina uhakika sasa baada ya mwaka mmoja, miwili tukikutana hata katika kusheherekea, nina uhakika tutakuwa tumevaa viatu vitavyokuwa vimetengenezwa hapa Kilimanjaro.

Wafungwa lazima watumike katika kuzalisha mali, ukifungwa lazima ukatumike vizuri ili ujutie makosa yako ili siku nyingine usifungwe tena na ukishatoka hapa utatoka umeshajua kuzalisha viatu akafungue kiwanda chako. Kufungwa ni sehemu ya mafunzo.

Nizipongeze pension fund zetu, PSSF na bodi yake pamoja na mkurugenzi mmeanza vizuri sana kwa sababu siku za nyuma pension fund zilikuwa zinawekeza kwenye majengo tu na kule ndiko kulikuwa na percentage nikasema masuala ya kuwekeza kwenye majengo uachwe.

Utakuta jengo limejengwa kwa mabilioni, wapangaji wapo nusu tu, faida yake ni ndogo.

Ukiwekeza kwenye viwanda faida yake ni kubwa. Kiwanda hiki kitakuwa kinatoa ajira ya watu elfu 3. Ungejenga jengo lisingetoa ajira ya watu 3,000 na hawa ni wale watakuwa wanafanya permanently hapa. Wale wengine watakaokuwa wanaleta vyakula, ngozi kwa nchi nzima unaweza ukajikuta umetengeneza ajira ya zaidi ya watu milioni 1.

==========

Mwisho Rais Magufuli amezindua kiwanda na kununua viatu kadhaa ikiwemo vya mke wa askofu, mwandishi wa habari nk
Uchaguzi huu ni wakitoto, haufuati kanuni za uchaguzi zinavyotakiwa kwa wagombea wote.
 
Ni hatua nzuri ila haya sasa ndio matatizo ya kuweka unqualified governor kuongoza BoT nina uhakika Benno Ndulu asingeruhusu.

There are serious risk factors and diversification issues of concerns ndio maana taasisi za kifedha azifanyi uwekezaji wa kuendesha viwanda moja kwa moja popote duniani.

Chances are ata ukipekuwa kwenye regulations rule za BoT utakuta pension funds aziruhusiwi kufanya aina ya investment hizi.
Inaskitisha sana

Sekta ya utalii watu wengi hawana kazi mafao yao NSSF ni kuzungushwa tu ...kumbe wamezipeleka huko na kuwaacha wanachama wa NSSF wana taabikal

LISSU jiandae kushika NCHI
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli anazindua kiwanda cha bidhaa za ngozi kilichopo mkoani Kilimanjaro. Rais ameshafika na kwa sasa ni wimbo wa Taifa kabla ya kuanza shughuli Rasmi. Kuwa nami.

======

TAARIFA FUPI YA MRADI
Mkurugenzi PSSF:
Ujenzi wa mradi huu ni utekelezaji wa maelekezo yako uliyoyatoa tarehe 9 May 2016 uliyoyatoa wakati wa ufunguzi wa majenga ya vitega uchumi wa mifuko ya hifadhi ya jamii jijini Arusha, katika hotuba yako ulituelekeza kuwekeza zaidi katika viwanda badala ya kuwekeza tu katika majengo.

Katika kutekeleza, May 2017 mfuko kwa kushirikiana na Jeshi la magereza tulianzisha kampuni ya ubia inayojulikana Karanga leather Industries company Limited ambayo kwa kwa sasa inajulikana kama Kilimanjaro International Leather Industries yenye mtaji wa bilioni 70 inamilikiwa na mfuko wa PSSF kwa asilimia 86 na Jeshi la Magereza kwa asilimia 14. Jeshi la Magereza likiwa limechangia eneo la kiwanda lenye ekari 25 pamoja na kiwanda cha zamani.

Mfuko wa PSSF unachangia gharama za ujenzi wa majengo, ununuzi wa mashine na mitambo na gharama za uendeshaji. Ujenzi huu unasimamiwa na wataalam wa ndani kupitia taasisi za umma.

Mkandarasi wa ujenzi ni Jeshi la Magereza kwa kiasi cha bilioni 27, mashine na mitambo vimenunuliwa nchini Italy kwa gharama ya Euro milioni 23.6, takribani bilioni 60 zikijumuisha gharama za usafirishaji, ufungaji wa mashine, mafunzo na ushuru wa forodha. Mpaka kukamilika kwake unatarajiwa kugharimu bilioni 136.


MAGUFULI: Kuanzishwa kwa kiwanda hiki, mimi nina uhakika sasa baada ya mwaka mmoja, miwili tukikutana hata katika kusheherekea, nina uhakika tutakuwa tumevaa viatu vitavyokuwa vimetengenezwa hapa Kilimanjaro.

Wafungwa lazima watumike katika kuzalisha mali, ukifungwa lazima ukatumike vizuri ili ujutie makosa yako ili siku nyingine usifungwe tena na ukishatoka hapa utatoka umeshajua kuzalisha viatu akafungue kiwanda chako. Kufungwa ni sehemu ya mafunzo.

Nizipongeze pension fund zetu, PSSF na bodi yake pamoja na mkurugenzi mmeanza vizuri sana kwa sababu siku za nyuma pension fund zilikuwa zinawekeza kwenye majengo tu na kule ndiko kulikuwa na percentage nikasema masuala ya kuwekeza kwenye majengo uachwe.

Utakuta jengo limejengwa kwa mabilioni, wapangaji wapo nusu tu, faida yake ni ndogo.

Ukiwekeza kwenye viwanda faida yake ni kubwa. Kiwanda hiki kitakuwa kinatoa ajira ya watu elfu 3. Ungejenga jengo lisingetoa ajira ya watu 3,000 na hawa ni wale watakuwa wanafanya permanently hapa. Wale wengine watakaokuwa wanaleta vyakula, ngozi kwa nchi nzima unaweza ukajikuta umetengeneza ajira ya zaidi ya watu milioni 1.

==========

Mwisho Rais Magufuli amezindua kiwanda na kununua viatu kadhaa ikiwemo vya mke wa askofu, mwandishi wa habari nk
Anazindua kiwanda wakati mitambo haijamalizwa kufungwa! Hiki ni kiwanda cha Magereza ni cha serikali.
 
Inaskitisha sana

Sekta ya utalii watu wengi hawana kazi mafao yao NSSF ni kuzungushwa tu ...kumbe wamezipeleka huko na kuwaacha wanachama wa NSSF wana taabikal

LISSU jiandae kushika NCHI
Huyo Lissu ndio atawapa wazungu kabisa waendeshe pension funds.

Haya ni mambo ambayo watu wanafanya tu kujipendekeza Magu is not a financier na udhani kama anajua international regulations za financial institutions.

Hawa jamaa wa pension walianza kujipendekeza mara tu Magu aliposema kuhusu Tanzania ya viwanda na wao watachangia. Kwa muda walikuwa kimya nadhani governor aliyekuwapo aliwapiga stop ili huyu mpya ndio wa kumchezea he doesn’t have a banking background.

There are specific reasons why such investment are deterred from financial institution tatizo sio Magufuli ni watu kujipendekeza.
 
Huyo Lissu ndio atawapa wazungu kabisa waendeshe pension funds.

Haya ni mambo watu wanafanya tu kujipendekeza Magu is not a financial na udhani kama anajua international regulations za financial institutions.

Hawa jamaa wa pension walianza kujipendekeza mara tu Magu aliposema kuhusu Tanzania ya viwanda na wao watachangia. Kwa muda walikuwa kimya nadhani governor aliyekuwapo aliwapiga stop ili huyu mpya ndio wa kumchezea he doesn’t have a banking background.

There are specific reasons why such investment are deterred from financial institution tatizo sio Magufuli ni watu kujipendekeza.

mutuku fu wenu anapenda kuabudiwa na hizi ndo IMPACTS ...28 sio mbali
 
Back
Top Bottom