kesssyelias
JF-Expert Member
- Jul 13, 2017
- 280
- 316
Yaan[emoji3][emoji3][emoji3]
Ajipange upyaNani kakudanganya kuwa wasio oa ndio wateja wa machangu?
Hahahaaa tafuta uongo mpya mkuu [emoji16]
Kabisaa[emoji3][emoji3][emoji3]Huko maofisini leo watakuwa wapole Sana yaani.......
Naona Kila mfanyakazi atakuwa akiwaona atakuwa anacheka kimoyo moyo......
.
.
Ngoja tuwahi..
Ayaaaaa hawajaoa?Dodoma ndio kila kitu, kwahiyo wewe Mkurugenzi (Kunambi), ni Mkurugenzi wa Jiji la Makao Makuu hata kama ni mdogo, ila utafute Mwanamke uoe, kwani hawapo Wanawake wanaotaka kuolewa na Mkugenzi jamani!?, nimekutangazia uanze kutafuta ndoa, DED unajipikia wakati Wagogo wapo wengi”-JPM
“Mkuu wa Wilaya Dodoma pia (Katambi) nae hajaoa kama DED (Kunambi), lazima tusemane hapahapa, na wewe uoe, huwezi kukaa na Viongozi wakubwa wa Makao Makuu hawana Wake, wakati Wasichana wapo wanapita hapa wengine wapo UDOM, CBE, Mipango wewe huoni tu!?”-JPM
“DC Dodoma na DED Dodoma mnataka muambiweje (ndio muoe), maana nyinyi sio Mapadri, sasa macho yenu hayaoni!?, wewe Nchimbi una Mke eeh? haya waambie hawa waoe..nilikuwa nachomekea tu kwamba tupo kwenye Makao Makuu ila tunaongozwa na Vijana ambao hawajaoa”-JPM
Ayaaaaa hawajaoa?
Noumer na nusu kabisa hiyo
Wakipata amri kutoka juuu wanaoaBaba katoa maelekezo[emoji16]
Watakua wana vimada hawa pengine hadi watoto wa nje wanaoHivi hawa vijana hawana wazazi au wajomba au mashangazi wa kuweza kuwashauri? Au ni watoto wa single parents?
Una baba?Kama wamehasiwa atawalazimisha tu waoe?
I think JPM is not right wajameni [emoji23]
Ajipange upya
SidhaniWatakua wana vimada hawa pengine hadi watoto wa nje wanao