Rais Magufuli: DC na DED wa Dodoma Muoe

"Je umeoa? Basi, usitake kuachana na mkeo. Wewe hukuoa? Basi, usitake kuoa. Lakini ikiwa utaoa hutakuwa umetenda dhambi; na msichana akiolewa hatakuwa ametenda dhambi. Hao watakaooana watapatwa na matatizo ya dunia hii, lakini mimi ningependa hayo yasiwapate nyinyi"
(1 Wakorintho 7: 27-28)
 
Wasikurupuke kuoa
Ndoaa Zina mmbo mengi

Ova
 
Kuingilia maisha ya watu Huku. Makao mkuu ndio nini, wako hapo kwa uwezo wao wa kazi.

Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
 
Ayaaaaa hawajaoa?
Noumer na nusu kabisa hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…