Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisiemu imejaa watu wajinga snHao ndiyo vijana wa ccm ,wao wapo tayari kumdhalilisha binadamu mwenzao ili mradi wapate ridhiki yao ikiwepo kuteuliwa
Mulaga Majura msiba angekuwa ni muislamu kitambo Sana angekuwa yupo jelaUmetuonyesha uhalisia wa wana habari wengi wa Tanzania kuwa wanatumika kuchafua watu kwa maslahi yao.
Mkuu mbona unauliza ndevu kwa Osama?Kwa Maelezo yako, Hiki ni Chama cha Wanachama au Mtu ?
Huo ndiyo mtaji wanao jivuniaSisiemu imejaa watu wajinga sn
Unafiki na majungu ndiyo vimejaa kwa wana ccmKama hizo points hapo juu ni kweli,basi akome,halafu kwann watanzania tumekuwa watu waajaajabu yaani mtu anazushia wenzake ugonjwa ndio anapaswa kupewa cheo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Boleni Ngeti huyu mpinzani wa CCM toka lini akawa CCM? Soma machapisho yake humu toka Magufuli aingie madarakani 2015 ndipo utamjua uhalisia wake kuwa ni Lichadema
[emoji23][emoji23][emoji23]Itapendeza ukimkatia rufaa hukumu yake, ili uendelee kufaidi maslahi kupitia yeye.