Rais Magufuli, Dkt. Antony Diallo alikuongopea kuhusu Bollen Ngetti, anatia huruma

Bashiru anasema hamfanyi kazi kwa whatsapp wala JF.

Pambana na hali yako. Sio lazima kila mtu awe DC, wengine mkalime
 
Huyo kijana inatakiwa akae gerezani kifungo cha maisha ili kuonyesha uzalendo alionao.
 
Kama hizo points hapo juu ni kweli,basi akome,halafu kwann watanzania tumekuwa watu waajaajabu yaani mtu anazushia wenzake ugonjwa ndio anapaswa kupewa cheo?
 
We ndo ngetty mwenyewe njaa inakumaliza baada ya membe si kitu si tishio tena kwani ni sawa na samaki tu nje ya ccm hawezi kuwa maarufu.
 
Umetuonyesha uhalisia wa wana habari wengi wa Tanzania kuwa wanatumika kuchafua watu kwa maslahi yao.
Mulaga Majura msiba angekuwa ni muislamu kitambo Sana angekuwa yupo jela
 
Kwa Maelezo yako, Hiki ni Chama cha Wanachama au Mtu ?
 
Kama hizo points hapo juu ni kweli,basi akome,halafu kwann watanzania tumekuwa watu waajaajabu yaani mtu anazushia wenzake ugonjwa ndio anapaswa kupewa cheo?
Unafiki na majungu ndiyo vimejaa kwa wana ccm
 
Kwa hiyo ili ukubalike CCM shariti utukane wapinzani
 
Boleni Ngeti huyu mpinzani wa CCM toka lini akawa CCM? Soma machapisho yake humu toka Magufuli aingie madarakani 2015 ndipo utamjua uhalisia wake kuwa ni Lichadema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…