Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Navyoijua hii serikali inavyopenda ujiko
Kama kweli COVID19 Inaisha Na wagonjwa wanapona basi wangekuwa wanatoa data mara tatu kwa siku
They are silent because something is dark
 
....

Huruhusiwi kwenda sokoni, na saa nyingine unaruhusiwa kutoka kidogo tu, halafu usiku usitoke kana kwamba Corona inatembea usiku ....​
 
Kifo ni kifo tu!! Kwa nini hao wanne waliokufa na corona (kama ni kweli maana humu uongo mwingi sana) unawashadadia sana. Kuna watu wengi zaidi wamekufa kwa magonjwa mengine kama malaria, Cancer, TB nk mbona hao huwazungumzii? Hao sio watu? Hao hawakuumi?? Hapo tu ndipo panaposhangaza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukatazwi kujilockdown hata kujilockup na familia yako wengine riziki zetu zipo miguuni kwetu either uchague ukae ndani ufe njaa au nje ukichukua taadhari ya kuzuia mikono isiguse uso au puani.
 
Hotuba ya Mh. Rais hadi wazungu wanakaa kusikiliza anaongea nini...

Huko walipo wanajiuliza ilikuaje Mh. Rais akawa muafrika maana uwezo wake wa akili ni mkubwa mno...

Yale yote waliyokuwa wakimbeza sasa ndio wanaona ni kweli, ikiwemo suala lockdown kwa hali hii ya corona ni kupoteza muda pia suala la fumigation sasa WHO wamekubaliana na Mh. Rais...

Hakika, sisi Watanzania tumepata bahati sana kuwa na Raisi kama Mh. Magufuli...
 
Visa vinazidi kuongezeka Morogoro ,Arusha na DAR ni hatari........Hawa wapiga zumari wa meko tusiwasikilize wanatetea ugali wao.
Amealika watu wanaotaka kuhakikisha ukweli wa taarifa yake waje wajionee wenyewe!! Na amesema ndugu ndio watakuwa wanazika, kwa hiyo hakuna kificho!!
Anayepinga kwa mfano idadi ya wagonjwa waliobaki hospitali mbalimbali si aende huko hospitalini akajionee mwenyewe! Aende Amanda, mlonganzila nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hii vita ya maneno lkn kenya itasambaa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…