Rais Magufuli: Huduma za NIDA ziwe kila Wilaya au NIDA watoe hela ya 'guest' kwa Wananchi. Ukiona bei ya mahindi iko juu, kalime yako

Huko NIDA Kuna shida, inavyonekana wanaogopa kumwambia mzee magu ukweli!
Wao Wana Kufa na Tai shingoni

Ova
 
Vijana wakipata pesa hawatakuwa WANYONGE tena, Serikali ya huyu jamaa na wenzake akina Polepole inataka Wananchi waendelee kuwa wanyonge ili iwatumie kwa manufaa yake mbali mbali. Tazama mfano wa GENGE LA LUMUMBA (Vijana wa buku saba saba), wamachinga, mamalishe na wengineo, utapata picha ya Wananchi wanaohitajika na hii serikali ya CCM.
 
U ruined ur life... Usiwalaumu watu kwa failure zako kwenye maisha. Pitia upya sababu za maisha yako kuvurugika unaweza kutwa ni bad decisions na kutocheza kadi zako vyema
Mkuu, wewe kama una DANGA linakutunza usimkejeli mwenzio. Unajuaje madhila aliyopatiwa? Je, kama ni kati ya wanaodai pesa zao za korosho? Hiyo itakuwa ni "failure" yake tu?
 
Korosho alitetea wakulima against walanguzi.
Mahindi anawatetea wakulima bei iwe juu.

Endelea kupinga upate more likes
DG wa Nida bila shaka Sasa hivi yupo mbioni kwenda moro

Nguo za kubadilisha kesho atanunua huko huko

Mahindi bei ijipange automatically lakin Korosho bei inapangwa na Amiri jeshi
 
Its a message nenda kaone shida na utafute solution...
Kwa kukaa Dar hakuweza kuona wala kuwaza

Tuongeze nguvu kupinga kila kauli za JPM
Mkurugenzi akienda morogoro itasaidia nini? Magufuli sometimes kichwa kikipata Moto hawezi kufikiria!!!
Au Mkurugenzi anatembea navyo Kwenye begi?
 
Ungeshauri amwambie nani?
Bado una add may be zisizo msingi ili uhalalishe ujinga wako
 
Ungeshauri amwambie nani?
Bado una add may be zisizo msingi ili uhalalishe ujinga wako
 
hivyo ungeshauri asiende Moro kuona changamoto na kutafuta solution?

JPM ameliona tatizo alipofika Moro.
Kuna ubaya gani kumuita muhusika aone uhalisia?

Kuwaongoza wajinga ni rahisi sana. Wanapinga hoja nyepesi wanaacha mambo ya msingi.
 
Korosho ni kutetea wakulima dhidi ya wahindi
Mahindi anaongelea bei ibaki juu wakulima wafaidike.

Win win kwa wakulima wa mahindi na korosho.

Korosho ni hoja mfu... tafuteni vya muhimu zaidi
 
Anachoangalia JPM ni kumlinda mkulima.
Korosho na pamba soko liko mikononi mwa wahindi.

Mahindi soko kubwa ni wananchi wenyewe.

Yuko kumjali mkulima zaidi.
 
Soko la korosho limeharibiwa wapi?
Mkulima atalipwa bei ya juu korosho
Viwanda 14 vya kubangulia korosho vya Nyerere vinafufuliwa.

Hii agenda imepoteza mvuto kwa wapinzani.
Besides mnatetea wahindi ndio wafaidika wa korosho...
Hhahaah baada ya kuharibu soko la korosho, Bangi sorry tumbaku, Mahindi etc ndio anakuja na huu msemo saa hizi?? Hongera sana san aserikali ya awamu ya Tano
 
kulinda mkulima dhidi ya wahindi...
Mahindi analinda mkulima kupata bei ya juu zaidi.

Mnachojadili ni taarabu ya kupanga bei vs kutopanga bei.

Ila kwa kumlinda mkulima serikali inaweza kufanya price intervention anytime..
Mbona Bei ya korosho anapanga bei?
 
Hakuna serikali inaweza kubadili akili ya vijana... Badilikeni wenyewe....

Kwa sisi wazee tuliona hayo kwenye Geza Ulole na Kigugumo .. vijana waliswagwa huko haikufanikiwa sana.

Usililie Bombadia koz tutaongeza nyingine nyingi soon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…