Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Serikali kununua mahindi huwa ni favor muhimu kwa wakulima ama kutokana na mahitaji ya serikali?
Ujamaa ulishatumaliza.......
Hakushindwa kununua bali ameamua kutonunua ili kutotoa hiyo unnecessary favor kwa gharama za serikali na kutumia hizo pesa zinajenga mahospitali.
Ujamaa ulishatumaliza.......
Hakushindwa kununua bali ameamua kutonunua ili kutotoa hiyo unnecessary favor kwa gharama za serikali na kutumia hizo pesa zinajenga mahospitali.
Hamna lolote kashindwa kustabilise bei ya unga kutokana na yeye kushindwa kununua mahindi na kuweka strategic reserve, huyu bwana ni actor of note, hakuna mkulima anafaidika na hili, mahindi yote yako kwenye kangomba ya mahindi anachemka tuu