Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ile Tanzania ya Viwanda uliyotuahidi ndiyo hii?

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ile Tanzania ya Viwanda uliyotuahidi ndiyo hii?

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
C746C329-A2E4-4213-9BAF-3433BCC26933.jpeg


Kila nikikumbuka slogan hii huwa nawatathimini watanzania nashindwa kuwaelewa kabisa, je tumerogwa?

Mbona hatuhoji kama Tanzania hii ndiyo ya Viwanda tuliyoahidiwa au tungoje nyingine.

Najua waliodanganywa 2015 ni wale wale wanaodanganywa leo 2020 kuwa anakwenda kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya na watu wanashangilia pasipo kuhoji utekelezaji wa Tanzania ya Viwanda.

CCM na Magufuli walivyo wajanja hata kugusia Tanzania ya Viwanda hawataki tena, wanajua wakiwaamusha waliolala watalala wao.

Tuendelee kusifu na kushangilia, tunywe mtori labda nyama tutazikuta kwa chini.
 
Mzee baba amehamishia goli kwenye kuiba agenda za wapinzani. Bima ya afya, fao la kujitoa, ajira kwa graduates n.k yanaandikaga ilani utafikri yako usingizini. Ukisoma li ilani ka CCM ni kama report ya utekelezaji wa miradi! Wanazumgumzia zaidi walichokifanya siyo watakachofanya 2020-2025!
 
Yeye alichokuwa anafanya au anachofanya ni kuweka mazingira mazuri na umeme ili wewe na Mimi tuweke hivyo viwanda, kama wewe hutaki au huwezi subiri kukuta hizo nyama chini.

Mgombea huyo anajisifia umeme umewekwa vijijini... Hajui kwamba tukinunua umeme REA wanakata Chao..

Huo umeme wa REa, hiyo ilikuwepo tokea JK yupo madarakani na ilikuwa kwa mkopo wa WB..
 
Kila nikikumbuka slogan hii huwa nawatathimini watanzania nashindwa kuwaelewa kabisa, je tumerogwa?

Mbona hatuhoji kama Tanzania hii ndiyo ya Viwanda tuliyoahidiwa au tungoje nyingine.

Najua waliodanganywa 2015 ni wale wale wanaodanganywa leo 2020 kuwa anakwenda kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya na watu wanashangilia pasipo kuhoji utekelezaji wa Tanzania ya Viwanda.

CCM na Magufuli walivyo wajanja hata kugusia Tanzania ya Viwanda hawataki tena, wanajua wakiwaamusha waliolala watalala wao.

Tuendelee kusifu na kushangilia, tunywe mtori labda nyama tutazikuta kwa chini.

Nasubiri kauli ya TL khs Hilo...
Jkt + veta inawezekana.
 
Back
Top Bottom