Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ile Tanzania ya Viwanda uliyotuahidi ndiyo hii?

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ile Tanzania ya Viwanda uliyotuahidi ndiyo hii?

Wafanyakazi ( walimu, wajeda ,watumishi mbali mbali), waliofukuzwa kazi, mama ntilie, boda boda, wamachinga, waliokosa ajira na wanyonge wote hao wanawachora tu na wale ambao tuna tunaaminishwa kuwa viwanda zaidi ya 8 vimejengwa bado tunawachora tu Ila yaliyopo moyoni ni kwenye sanduku la kura , pale meza itakopogeuzwa juu chini.

Tuendelee kupiga kampeni ,. Mwaka huu mtapigwa chini kimya kimya.
 
View attachment 1565079

Kila nikikumbuka slogan hii huwa nawatathimini watanzania nashindwa kuwaelewa kabisa, je tumerogwa?

Mbona hatuhoji kama Tanzania hii ndiyo ya Viwanda tuliyoahidiwa au tungoje nyingine.

Najua waliodanganywa 2015 ni wale wale wanaodanganywa leo 2020 kuwa anakwenda kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya na watu wanashangilia pasipo kuhoji utekelezaji wa Tanzania ya Viwanda.

CCM na Magufuli walivyo wajanja hata kugusia Tanzania ya Viwanda hawataki tena, wanajua wakiwaamusha waliolala watalala wao.

Tuendelee kusifu na kushangilia, tunywe mtori labda nyama tutazikuta kwa chini.
NA ZILE SADAKA MNAZOTOZA KWENYEMIKUTANO YA KAMPENI KWA KUTUMIA ZILE NDOO NYEUPE, MAPATO YAKE NA MATUMIZI YAKO WAPIIIII??
 
Yaaani ccm nio chaka cha kishetani kabisa.....saaizi hayo maneno wameyakimbia kabisa hata lile neno pendwa "hapa kazi tu" wamelisusa kabisa.....
 
Nakumbuka Jaffo aliwaagiza wakuu wa mikoa kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa viwanda 200 kila mkoa!
Teh teh teh...viwanda vya kuzalisha/kutengeneza nini?...siasa hizi....
 
Wafanyakazi ( walimu, wajeda ,watumishi mbali mbali), waliofukuzwa kazi, mama ntilie, boda boda, wamachinga, waliokosa ajira na wanyonge wote hao wanawachora tu na wale ambao tuna tunaaminishwa kuwa viwanda zaidi ya 8 vimejengwa bado tunawachora tu Ila yaliyopo moyoni ni kwenye sanduku la kura , pale meza itakopogeuzwa juu chini.

Tuendelee kupiga kampeni ,. Mwaka huu mtapigwa chini kimya kimya.
Ni kweli; CCM inaweza kushindwa vibaya sana uchaguzi huu. Ila kushindwa kwao haitakuwa sababu ya kutoingoza nchi vizuri, bali itakuwa ni sababu ya kutowapa wananchi maisha ya mkato mkato. Tukishindwa kuvunja cycle hiyo ya maisha ya mkato itatuchukua muda mrefu sana kujielewa. Kenya, pamoja na mambo yao ya ukabila, wao wanajua kabisa kuwa hakuna free lunch duniani hapa. Hata kama wanafanya mambo ya njia za kimkato, huwa wako wazi kujua kuwa hizo ni haramu. Kwetu hapa unapoziharamisha unakuwa "hufai".
 
View attachment 1565079

Kila nikikumbuka slogan hii huwa nawatathimini watanzania nashindwa kuwaelewa kabisa, je tumerogwa?

Mbona hatuhoji kama Tanzania hii ndiyo ya Viwanda tuliyoahidiwa au tungoje nyingine.

Najua waliodanganywa 2015 ni wale wale wanaodanganywa leo 2020 kuwa anakwenda kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya na watu wanashangilia pasipo kuhoji utekelezaji wa Tanzania ya Viwanda.

CCM na Magufuli walivyo wajanja hata kugusia Tanzania ya Viwanda hawataki tena, wanajua wakiwaamusha waliolala watalala wao.

Tuendelee kusifu na kushangilia, tunywe mtori labda nyama tutazikuta kwa chini.
Wanazindua nini hapo? Nyumba ya makuti yenye umeme?! Ahhaaaaaaaaaaaa kweli ccm........
 
Nakumbuka Jaffo aliwaagiza wakuu wa mikoa kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa viwanda 200 kila mkoa!

ZZK aliposema nchi inaongozwa na washamba watu wakamshambulia weee, but he had a point. Hebu fikiria hii tabia ya kuagiza “kujenga jenga” ni moja kati ya tabia za kishamba na kipumbavu ndio maana haitelelezeki. Waziri anaagiza viwanda vijengwe, watekelezaji wakienda kukaa wanaanza kufikiria malighafi yatakapotoka na masoko ya bidhaa yatakapopatikana wanagundua ni wazo la hovyo linaloelea hewani ndio maana wanalipiga chini, mkija kushtuka miaka mitano imeisha hakuna kiwanda hata kimoja. Na inakuwa aibu hata kulizungumzia tena.

Infact waTz ni wabinafsi sana na ujinga ni wimbo wa kila siku, tunatakiwa kuwa taifa linalowaza kesho yetu itakuwaje, watoto wetu watakutana na mfumo huu huu wa uongo wa kiongozi akilala na mkewe usiku wakashauriana kitu basi kesho yuko kwenye media kukinadi na kukitolea matamko? Something serious must be done.

Na ndio sababu kama watanzania wangekuwa wanajielewa wangemuunga mkono TL kwasababu anahubiri mambo yatakayojikita katika SHERIA NA SERA. Jinamizi kubwa la umasikini na mambo ya hovyo nchi hii limejificha katika sheria na sera za hovyo za serikali iliyopo madarakani.
 
View attachment 1565079

Kila nikikumbuka slogan hii huwa nawatathimini watanzania nashindwa kuwaelewa kabisa, je tumerogwa?

Mbona hatuhoji kama Tanzania hii ndiyo ya Viwanda tuliyoahidiwa au tungoje nyingine.

Najua waliodanganywa 2015 ni wale wale wanaodanganywa leo 2020 kuwa anakwenda kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya na watu wanashangilia pasipo kuhoji utekelezaji wa Tanzania ya Viwanda.

CCM na Magufuli walivyo wajanja hata kugusia Tanzania ya Viwanda hawataki tena, wanajua wakiwaamusha waliolala watalala wao.

Tuendelee kusifu na kushangilia, tunywe mtori labda nyama tutazikuta kwa chini.

Hicho ni kiwanda cha kufyatulia watoto, huhitaji hekalu kama la Bakhresa
 
Ni kweli; CCM inaweza kushindwa vibaya sana uchaguzi huu. Ila kushindwa kwao haitakuwa sababu ya kutoingoza nchi vizuri, bali itakuwa ni sababu ya kutowapa wananchi maisha ya mkato mkato. Tukishindwa kuvunja cycle hiyo ya maisha ya mkato itatuchukua muda mrefu sana kujielewa. Kenya, pamoja na mambo yao ya ukabila, wao wanajua kabisa kuwa hakuna free lunch duniani hapa. Hata kama wanafanya mambo ya njia za kimkato, huwa wako wazi kujua kuwa hizo ni haramu. Kwetu hapa unapoziharamisha unakuwa "hufai".

Mambo ya mkato mkato kama yapi ndugu? Kama ya kufanya manunuzi makubwa ya ndege bila kufuata sheria na taratibu za PPRA? Au hiyo sio “haramu”?

Wewe ni mtu mzima acha kujitoa akili, unaeneza propaganda kuwa waTz wakiiondoa serikali ya CCM madarakani watakuwa wameiondoa kwa hiyo sababu ya kijinga ati wamenyimwa maisha ya mkato mkato! Hahahah shame on you!
 
Vile Mimi na wewe ambao mtaji wetu ni mdogo tutaenda kwa DJ atukopeshe
Nimeshangaa sana kuona umo humu JF toka 2007 lakini point unachangia kama watoto wa 2019!! Hadi huruma. Be serious man ! Work and see that this country needs help from committed young men and women. Why don't see that is Magufuli is fooling us?
 
Mambo ya mkato mkato kama yapi ndugu? Kama ya kufanya manunuzi makubwa ya ndege bila kufuata sheria na taratibu za PPRA? Au hiyo sio “haramu”?

Wewe ni mtu mzima acha kujitoa akili, unaeneza propaganda kuwa waTz wakiiondoa serikali ya CCM madarakani watakuwa wameiondoa kwa hiyo sababu ya kijinga ati wamenyimwa maisha ya mkato mkato! Hahahah shame on you!
Na wewe unaongea pumba kwa sababu unasikiliza ya kuambiwa tu wala hujasoma documents halisi. Nina imani hujasoma ripoti za CAG na wala hujasoma bajeti za Wizara ya Mwasiliano na Uchukuzi kwa vile uliaminishwa maneno ya Zitto ambayo yalikuwa ya kupikwa tu kwani yalikuwa hayalingani na ripoti halisi za CAG. Kuna sehemu niliweka documents hizo hapa na watu waliokuwa wanapiga kelel wakanyamaza; wewe hukuzisoma. Zitafute; zipo hapa uzisome kama kweli kuna manunuzi yoyote yaliyofanywa bila kufuata sheria za nchi.
 
Back
Top Bottom