Imekuwa hivyo tena si angesema anaweka mazingira, umeme unaosema ndio huu,,Yeye alichokuwa anafanya au anachofanya ni kuweka mazingira mazuri na umeme ili wewe na Mimi tuweke hivyo viwanda, kama wewe hutaki au huwezi subiri kukuta hizo nyama chini.
Vile Mimi na wewe ambao mtaji wetu ni mdogo tutaenda kwa DJ atukopesheImekuwa hivyo tena si angesema anaweka mazingira.
Huku ukiwananga mabeberu kuwafurahisha futereless people wanyongeTanzania Kama ulaya
Nakumbuka Jaffo aliwaagiza wakuu wa mikoa kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa viwanda 200 kila mkoa!Yeye alichokuwa anafanya au anachofanya ni kuweka mazingira mazuri na umeme ili wewe na Mimi tuweke hivyo viwanda, kama wewe hutaki au huwezi subiri kukuta hizo nyama chini.
Hii imenistua sana yaani mpaka PM anafikia mahali naye anateka wagombea?Viwanda vya kutekana.
Yeye alichokuwa anafanya au anachofanya ni kuweka mazingira mazuri na umeme ili wewe na Mimi tuweke hivyo viwanda, kama wewe hutaki au huwezi subiri kukuta hizo nyama chini.
Nakumbuka Jaffo aliwaagiza wakuu wa mikoa kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa viwanda 200 kila mkoa!
Kila nikikumbuka slogan hii huwa nawatathimini watanzania nashindwa kuwaelewa kabisa, je tumerogwa?
Mbona hatuhoji kama Tanzania hii ndiyo ya Viwanda tuliyoahidiwa au tungoje nyingine.
Najua waliodanganywa 2015 ni wale wale wanaodanganywa leo 2020 kuwa anakwenda kuifanya Tanzania iwe kama Ulaya na watu wanashangilia pasipo kuhoji utekelezaji wa Tanzania ya Viwanda.
CCM na Magufuli walivyo wajanja hata kugusia Tanzania ya Viwanda hawataki tena, wanajua wakiwaamusha waliolala watalala wao.
Tuendelee kusifu na kushangilia, tunywe mtori labda nyama tutazikuta kwa chini.
🤣🤣🤣 Hizo zilikuwa sound za Kaijage!Yupo mmoja akaropoka ukiwa na blenda unatengeneza juisi na ukiwa na vyerehani vinne hicho Ni kiwanda..
Kazi kweli kweli.