Rais Magufuli kama kweli wewe ni mzalendo, kwanini hupeleki mikataba Bungeni?

Rais Magufuli kama kweli wewe ni mzalendo, kwanini hupeleki mikataba Bungeni?

Hili la usiri wa mikataba ni moja ya jambo ambalo wapinzani wamekuwa wakilipigia kelele kwa muda mrefu lakini mpaka sasa halijatekelezwa na hata hii serikali ya Magufuli nayo iko kimya katika hili.

Tusipofanyia kazi vyanzo vya matatizo yetu kwa ku-deal na matatizo tu badala ya chanzo cha matatizo, basi tujiandae kwa muendelezo huu wa wizi na ufisadi na sitashangaa siku JPM nae akitoka madarakani mrithi wake akaja kuunda Tume kuchunguza baadhi ya mambo yaliyofanyika wakati wa utawala wake.

Tunaomba sasa muswaada upelekwa Bungeni utakaotaka mikataba yote ikiwemo na ya manunuzi ipite Bungeni.[/QUOTE

Tatizo ni pale tunapojaribu kutibu dalili za ugonjwa badala ya chanzo cha ugonjwa. Huo ugonjwa hauponi ng'o bali inakuwa kama mtu unapoteza resources bure. Ukiyakamua majipu yanayosababishwa na staphylococci walio ndani ya mwili bila kumpa dawa ya kuwaua staphylococci ujue unafanya kazi bure
 
Tatizo ni pale tunapojaribu kutibu dalili za ugonjwa badala ya chanzo cha ugonjwa. Huo ugonjwa hauponi ng'o bali inakuwa kama mtu unapoteza resources bure. Ukiyakamua majipu yanayosababishwa na staphylococci walio ndani ya mwili bila kumpa dawa ya kuwaua staphylococci ujue unafanya kazi bure
 
Kivuko kibovu nani alihusika?

Nani wa kumnyooshea mwenzake kidole huko?
Acha wafu wawazike wafu wao. Kila jiwe litaguswa na kugeuzwa. Watatumbuana wenyewe kwa wenyewe. Acha movie iendelee......
 
1. Serikali ilisema inataka kuhakikisha makinikia yote yanasafishwa nchini ili tusiibiwe, jiulize Leo baada ya makubaliano haya, imekuwaje makinikia sasa ni ruhusa kwenda nje ya nchi Kama ilivyokuwa mwanzoni. Inamaanisha nn hii kwako wewe Mtanzania? Kama huna akili nzuri hata utaendelea kuona hakuna haja ya kusafishia ndani ya nchi, vinginevyo utaona kuna aina fulani ya pesa zitakazonufaisha watu wachache na sio watanzania...

2. Kama unakumbuka vzur,baada ya kukamata makinikia,serikali ilisema na kupitisha sheria tatu bungeni (maboresho ya mining act) kuwa mikataba yote ya madini yajadiliwe na kupitishwa na bunge,hii ilitufanya tujue kweli mikataba itakuwa ya uwazi,ila unajua kilichotokea juzi? Mkataba huu wa madini umepitishwa wapi? Kwa hakika sio bungeni.. Hapa ndio tujiulize tunakumbuka yale tuliyokubaliana au sie tuna fuata upepo tu..
Kulikuwa na fine ya bilioni za kimarekani 190 ($190bn) ambazo sawa na pesa za kitanzania (190 bn ziwe Mara 2307) yaani bilioni 190 ya kwanza mpk zifike 2307(elfu mbili mia tatu na saba),hapo utajua ni kiasi gani hiko,Sasa tujiulize baada ya kampuni ambayo tunaidai kufa na kuzaliwa ingine,hizi pesa tunazodai tutalipwa na Nan? Hapo hapo ujue kampuni iliyozaliwa ni yetu pia hata km ni kwa asilimia ndogo,nan atakae dai pesa kutoka mfukoni mwake ili aweke mfuko mwingine?

Je pesa hizi zilipaswa kulipwa kabla ya makubaliano? Ni nan amepokea? Mbona wengi hatujui?

Tuje kwenye makubaliano hayo ya twiga.

Sehemu pekee itakayoipatia faida nchi ni katika mrabaha na share yetu ya 16%, lakin tunafahamu kwenye share hapa faida inapatikana kwenye gawio(devidents) au kwa kuuza hisa za mwanahisa..

16% ipo kwenye divident wakati makampuni mengi makubwa ya uchimbaji madini hayatoi dividents. Faida kubwa kwa wanahisa wa makampuni ya madini ni kutokana na mauzo ya shares wakati zinapokuwa zimepanda. Kwa mfano tangazo hili tu la kusema Barrick imefikia maafikiano mazuri na serikali ya Tanzania, hisa za Barrick zitapanda, na baadhi ya wanahisa watauza hisa zao na kutengeneza faida. Kwa bahati mbaya serikali haitaziuza hisa zake kipindi chote, na hivyo kutokufaidi faida itokanayo ya kuongezeka thamani kwa hisa zake.

Jambo la pili, hata kama watatoa gawio, itakuwa ni baada ya muda mrefu maana kwenye migodi uwekezaji huwa ni mkubwa na haukomi. Bahati mbaya gawio ni mpaka baada ya Barrick kurudisha pesa yake aliyowekeza. Atarudisha lini wakati uwekezaji unaendelea? Ndiyo swali la kujiuliza
Kwa upande mwingine wa barick sasa tuangalie inafaidika vipi

Barrick katika hili wamefanikiwa sana kuliko hata mazingira ya mwanzo. Sasa wataweza kuipata hata miradi ambayo zamani wasingeipata. Maana ndani ya Barrick, sasa ipo serikali.

Kule kusakamwa kuwa mara Barrick wametiririsha maji ya sumu, mara Barrick wanawaonea wafanyakazi wazalendo, mara Barrick ni majizi na mabeberu - yote hayo sasa wameyashinda. Yamefikia mwisho. Hii sasa ni kampuni yetu. Kampuni ya Taifa letu inayobeba nembo ya Taifa, TWIGA. Mwenye kutaka kuihujumu kampuni hii kwa namna yoyote ile, anaihujumu kampuni ya serikali, atakuwa analihujumu Taifa. Na anayelihujumu Taifa amekosa uzalendo.
 
Hakuna hata mkataba mmoja uliopitishwa na wabunge wa upinzani, mikataba yote ilipitishwa na CCM. Na katika hio hio mikataba yote ya Kutunyonya Tanzania, hao wanaopiga kelele na wao walikua miongoni mwa waliounga mkono kupitishwa hio mikataba (Kwa Certificate Of Urgency/Hati Ya Dharura) bungeni kipindi ni wabunge (Wengine Walikua Mawaziri).

Cha ajabu wao wanapiga kelele "MIKATABA YA UNYONYAJI" sasa hivi.

Swali;

KWANINI HAWAKUPIGA KELELE KIPINDI KILE WAO NI WABUNGE (Wabunge Wa CCM Kindakindaki)???

NA KWANINI WALIUNGA MKONO HIO MIKATABA KUPITISHWA BUNGENI WAKATI WABUNGE WA UPINZANI WALIIPINGA???
 
Only regime change could change things around here. Inchi hadi idara ya usalama ni makada wa CCM unategemea mabadiliko ! Forget
 
Hakuna hata mkataba mmoja uliopitishwa na wabunge wa upinzani, mikataba yote ilipitishwa na CCM. Na katika hio hio mikataba yote ya Kutunyonya Tanzania, hao wanaopiga kelele na wao walikua miongoni mwa waliounga mkono kupitishwa hio mikataba (Kwa Certificate Of Urgency/Hati Ya Dharura) bungeni kipindi ni wabunge (Wengine Walikua Mawaziri).

Cha ajabu wao wanapiga kelele "MIKATABA YA UNYONYAJI" sasa hivi.

Swali;

KWANINI HAWAKUPIGA KELELE KIPINDI KILE WAO NI WABUNGE (Wabunge Wa CCM Kindakindaki)???

NA KWANINI WALIUNGA MKONO HIO MIKATABA KUPITISHWA BUNGENI WAKATI WABUNGE WA UPINZANI WALIIPINGA???
Kaka mikataba huwa haisainiwi bungeni. Kwa sheria hizi mpya za madini itakuwa na uwazi hivyo itakuwa inapelekwa kujadiliwa na na wabunge wajiridhishe kama kuna manufaa au la.
Kuona mkataba unasainiwa ikulu sio kwamba walibypass bunge.
Alafu kwa ufupi sasa hivi hayo makinikia yakinunuliwa na kwenda kusafishwa huko nje hata Tanzania inapata mgao.Zamani tulikuwa hatupati kitu. Walikuwa wanasema wanaenda kusafisha copper tu .Serikali ya awamu ya tano ikawastukia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Likiisha hili la mchanga wa dhahabu sijui litafuata tukio gani lingine.
Na hapo ndipo pesa uliolipwa na Acacia ilipousha!
Si kila mkataba lazima upelekwe bungeni,ila kama wabunge kupitia kamati ya kisekta watataka kuuona wanaweza kuomba nakala
 
1. Serikali ilisema inataka kuhakikisha makinikia yote yanasafishwa nchini ili tusiibiwe, jiulize Leo baada ya makubaliano haya, imekuwaje makinikia sasa ni ruhusa kwenda nje ya nchi Kama ilivyokuwa mwanzoni. Inamaanisha nn hii kwako wewe Mtanzania? Kama huna akili nzuri hata utaendelea kuona hakuna haja ya kusafishia ndani ya nchi, vinginevyo utaona kuna aina fulani ya pesa zitakazonufaisha watu wachache na sio watanzania...

2. Kama unakumbuka vzur,baada ya kukamata makinikia,serikali ilisema na kupitisha sheria tatu bungeni (maboresho ya mining act) kuwa mikataba yote ya madini yajadiliwe na kupitishwa na bunge,hii ilitufanya tujue kweli mikataba itakuwa ya uwazi,ila unajua kilichotokea juzi? Mkataba huu wa madini umepitishwa wapi? Kwa hakika sio bungeni.. Hapa ndio tujiulize tunakumbuka yale tuliyokubaliana au sie tuna fuata upepo tu..
Kulikuwa na fine ya bilioni za kimarekani 190 ($190bn) ambazo sawa na pesa za kitanzania (190 bn ziwe Mara 2307) yaani bilioni 190 ya kwanza mpk zifike 2307(elfu mbili mia tatu na saba),hapo utajua ni kiasi gani hiko,Sasa tujiulize baada ya kampuni ambayo tunaidai kufa na kuzaliwa ingine,hizi pesa tunazodai tutalipwa na Nan? Hapo hapo ujue kampuni iliyozaliwa ni yetu pia hata km ni kwa asilimia ndogo,nan atakae dai pesa kutoka mfukoni mwake ili aweke mfuko mwingine?

Je pesa hizi zilipaswa kulipwa kabla ya makubaliano? Ni nan amepokea? Mbona wengi hatujui?

Tuje kwenye makubaliano hayo ya twiga.

Sehemu pekee itakayoipatia faida nchi ni katika mrabaha na share yetu ya 16%, lakin tunafahamu kwenye share hapa faida inapatikana kwenye gawio(devidents) au kwa kuuza hisa za mwanahisa..

16% ipo kwenye divident wakati makampuni mengi makubwa ya uchimbaji madini hayatoi dividents. Faida kubwa kwa wanahisa wa makampuni ya madini ni kutokana na mauzo ya shares wakati zinapokuwa zimepanda. Kwa mfano tangazo hili tu la kusema Barrick imefikia maafikiano mazuri na serikali ya Tanzania, hisa za Barrick zitapanda, na baadhi ya wanahisa watauza hisa zao na kutengeneza faida. Kwa bahati mbaya serikali haitaziuza hisa zake kipindi chote, na hivyo kutokufaidi faida itokanayo ya kuongezeka thamani kwa hisa zake.

Jambo la pili, hata kama watatoa gawio, itakuwa ni baada ya muda mrefu maana kwenye migodi uwekezaji huwa ni mkubwa na haukomi. Bahati mbaya gawio ni mpaka baada ya Barrick kurudisha pesa yake aliyowekeza. Atarudisha lini wakati uwekezaji unaendelea? Ndiyo swali la kujiuliza
Kwa upande mwingine wa barick sasa tuangalie inafaidika vipi

Barrick katika hili wamefanikiwa sana kuliko hata mazingira ya mwanzo. Sasa wataweza kuipata hata miradi ambayo zamani wasingeipata. Maana ndani ya Barrick, sasa ipo serikali.

Kule kusakamwa kuwa mara Barrick wametiririsha maji ya sumu, mara Barrick wanawaonea wafanyakazi wazalendo, mara Barrick ni majizi na mabeberu - yote hayo sasa wameyashinda. Yamefikia mwisho. Hii sasa ni kampuni yetu. Kampuni ya Taifa letu inayobeba nembo ya Taifa, TWIGA. Mwenye kutaka kuihujumu kampuni hii kwa namna yoyote ile, anaihujumu kampuni ya serikali, atakuwa analihujumu Taifa. Na anayelihujumu Taifa amekosa uzalendo.
Unajua km tungekomaa watulipe ile fine yetu hii twiga ingekuwa wa Tanzania asilimia zote,zile pesa zinatosha kabisa kununua mitambo na kujengea maofisi na kuanzisha ushimbaji na kuanzisha smelter yetu na kufanya kila kitu hadi mishahara ya wafanyakazi,bado change ingebakia.. unajua dollar za kimarekani milioni mia moja tisini sio mchezo.. sijui kwann hatukutaka tulipwe pesa zetu ili tushimbe madini wenyewe,km wao walivyokuwa wanazuia ndege zetu na sie tungezuia kitu chao ambacho kingewalazimu kutulipa pesa zetu,mwakani kwenye mwezi wa pili mgodi unafanya kazi tukiwa na twiga yetu asilimia zote zawatanzania,alafu nasikia hisa za kampuni hii haziwekwi kwenye soko la hisa la dar es salam,sijui kwanin,au nimesikia maneno ya uongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom