Rais Magufuli katika tamasha la Muziki wa Shukrani Kawe jijini Dsm

Rais Magufuli katika tamasha la Muziki wa Shukrani Kawe jijini Dsm

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Magufuli leo akiwa na Biblia amehubiri katika tamasha la muziki wa Injili linalofanyika Kawe jijini Dsm.

Rais Magufuli ameongea kwa njia ya mtandao na amesema watanzania tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kutuepusha na Corona na kadhalika kuliingiza taifa letu katika uchumi wa kati.

Rais Magufuli amewataka wananchi bila kujali itikadi za kisiasa kumweka Mungu mbele na kumtumaini wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.

Rais alitamani kuhudhuria live tamasha hilo lakini majukumu ya kiserikali yamemfanya ashiriki kwa njia ya mtandao.

Tamasha lilikuwa likitangazwa mubashara na kituo cha luninga cha Channel ten.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wazee wenye madaraka makubwa watayaacha madaraka muda si mrefu. Vijana tujifunze kusimamia tunayoamini, sio kutumika kuwajeruhi wengine ili wazee wetu (mabwana wakubwa wetu) wakiondoka tubaki salama.
 
sasa hivi kila akipata nafasi ni uchumi Wa kati, mmhh.. mwaka huu tutakoma kwenye majukwaa ya kampeni na liuchumi LA kati


Kutoka kuwa low Income country na kuwa lower middle income country, ni kama kutoka darasa la kwanza kuingia la pili, hakuna mabadiliko makubwa. Kenya walifikia hatua hiyo tangu 2014 na hakukuwa makelele yoyote. Nadhani sisi bado ni washamba kichwani.
 
Kutoka kuwa low Income country na kuwa lower middle income country, ni kama kutoka darasa la kwanza kuingia la pili, hakuna mabadiliko makubwa. Kenya walifikia hatua hiyo tangu 2014 na hakukuwa makelele yoyote. Nadhani sisi bado ni washamba kichwani.
Haaaa Kusoma kuandika na kuhesabu
 
Kutoka kuwa low Income country na kuwa lower middle income country, ni kama kutoka darasa la kwanza kuingia la pili, hakuna mabadiliko makubwa. Kenya walifikia hatua hiyo tangu 2014 na hakukuwa makelele yoyote. Nadhani sisi bado ni washamba kichwani.
Chezea watanzania wewe ni uzuzu tu hata ukiwauliza maana yake na kuna tija gani kwa mwananchi wa kawaida hawajui ni makelele tu
 
Kutoka kuwa low Income country na kuwa lower middle income country, ni kama kutoka darasa la kwanza kuingia la pili, hakuna mabadiliko makubwa. Kenya walifikia hatua hiyo tangu 2014 na hakukuwa makelele yoyote. Nadhani sisi bado ni washamba kichwani.
Wee! Tema mate chini.. Wakenya wameongeaa.. Yani tulikuwa hatuhemi.. Kila siku tulikuwa tunaitwa LDC.. Mungu mkubwa sasa hivi tupo nao levo moja!
 
Anakwepa msongamano anajua corona bado ipo, abiria chunga mzigo wako
 
Kutoka kuwa low Income country na kuwa lower middle income country, ni kama kutoka darasa la kwanza kuingia la pili, hakuna mabadiliko makubwa. Kenya walifikia hatua hiyo tangu 2014 na hakukuwa makelele yoyote. Nadhani sisi bado ni washamba kichwani.
Kuna wakandarasi wanadai pesa kibao huku hawajalipwa mwaka wa pili sasa serikali inashindwa kulipia pesa hamna
 
Back
Top Bottom