Rais Magufuli Kiongozi shupavu asiyeteteleka na mwenye maamuzi magumu Barani Africa

Rais Magufuli Kiongozi shupavu asiyeteteleka na mwenye maamuzi magumu Barani Africa

Alex Fredrick

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
697
Reaction score
1,358
Shida kubwa iliyopo Bara la Africa ni kutokuwa na Viongozi jasiri ambao hawawezi kufanya maamuzi pindi wanapotakiwa kufanya hivyo.

Kibaya zaidi Imf na world bank ndio wamekuwa wakitoa ushauri wa kiuchumi kwa nchi zetu na hata kama ushauri hauna tija kwa Taifa husika.

Tanzania toka tumechagua Mh Rais Dr John Magufuli naweza kusema kwa kipindi hichi cha miaka minne tumeweza kwakweli

Ukiangalia mradi mkubwa kama Stiegles pale Rufiji ambao ni ndio mkombozi kwa uchumi wa viwanda,siku zote wakubwa wamekuwa wakiupinga kwa hoja mfu.

Lakini Rais wetu kasema tutajenga na hata kama wafadhili hawatatoa pesa,kweli sasa mradi umeanza na pindi ukikamilika tutapata megawati 2015 ambao utatutosha na hata kuuza nchi majirani.

Africa inaitaji Kiongozi jasili sampuli ya Rais Magufuli ili maendeleo yaweze kupatikana kwa haraka.#JPM KIOO TUELEKEACHO

AlexFredrick
Dar es salaam



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiye kiongozi pekee kuporomosha uchumi kwa kasi ya radi kwa kipindi kifupi mno, hakuna nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi wa serikali ambao hawazidi laki 5 , hakuna ajira mpya kwa miaka 4 sasa huku graduate wakizidi kujazana !

Hakika huyu ndiye kiongozi shujaa barani Africa
 
Shida kubwa iliyopo Bara la Africa ni kutokuwa na Viongozi jasiri ambao hawawezi kufanya maamuzi pindi wanapotakiwa kufanya hivyo.

Kibaya zaidi Imf na world bank ndio wamekuwa wakitoa ushauri wa kiuchumi kwa nchi zetu na hata kama ushauri hauna tija kwa Taifa husika.

Tanzania toka tumechagua Mh Rais Dr John Magufuli naweza kusema kwa kipindi hichi cha miaka minne tumeweza kwakweli

Ukiangalia mradi mkubwa kama Stiegles pale Rufiji ambao ni ndio mkombozi kwa uchumi wa viwanda,siku zote wakubwa wamekuwa wakiupinga kwa hoja mfu.

Lakini Rais wetu kasema tutajenga na hata kama wafadhili hawatatoa pesa,kweli sasa mradi umeanza na pindi ukikamilika tutapata megawati 2015 ambao utatutosha na hata kuuza nchi majirani.

Africa inaitaji Kiongozi jasili sampuli ya Rais Magufuli ili maendeleo yaweze kupatikana kwa haraka.#JPM KIOO TUELEKEACHO

AlexFredrick
Dar es salaam



Sent using Jamii Forums mobile app
ni kiongozi pekee anayejitangazia kwamba anawapigania wanyonge lakini
ANAPORA MAZAO YAO BILA KUWALIPA MF KOROSHO
ANAWAKATIA VIPANDE/VITAMBULISHO/KODI ZA KICHWAAA WAMACHINGA.
ANAKATAA KUPANDISHA NYONGEZA ZA MISHAHARA
 
Huyu nikiongozi bora sana sana..
Amefanya watu wake waanzekutumia akili kubadilisha/kuboresha maisha yao...

Wale wavivu na walalamikaji/ lazy minded, wao waendelee nakulalama na kuchochea umaskini wao..
 
Ni wa kwanza kufanya hili na kumpatia popularity duniani, kwa nje ya dunia sina uhakika.

1098011


 
Shida kubwa iliyopo Bara la Africa ni kutokuwa na Viongozi jasiri ambao hawawezi kufanya maamuzi pindi wanapotakiwa kufanya hivyo.

Kibaya zaidi Imf na world bank ndio wamekuwa wakitoa ushauri wa kiuchumi kwa nchi zetu na hata kama ushauri hauna tija kwa Taifa husika.

Tanzania toka tumechagua Mh Rais Dr John Magufuli naweza kusema kwa kipindi hichi cha miaka minne tumeweza kwakweli

Ukiangalia mradi mkubwa kama Stiegles pale Rufiji ambao ni ndio mkombozi kwa uchumi wa viwanda,siku zote wakubwa wamekuwa wakiupinga kwa hoja mfu.

Lakini Rais wetu kasema tutajenga na hata kama wafadhili hawatatoa pesa,kweli sasa mradi umeanza na pindi ukikamilika tutapata megawati 2015 ambao utatutosha na hata kuuza nchi majirani.

Africa inaitaji Kiongozi jasili sampuli ya Rais Magufuli ili maendeleo yaweze kupatikana kwa haraka.#JPM KIOO TUELEKEACHO

AlexFredrick
Dar es salaam



Sent using Jamii Forums mobile app
hata Mugabe, Gaddafi, Iddi Amini, nk walipewa sifa kama hizi pia.
 
Shida kubwa iliyopo Bara la Africa ni kutokuwa na Viongozi jasiri ambao hawawezi kufanya maamuzi pindi wanapotakiwa kufanya hivyo.

Kibaya zaidi Imf na world bank ndio wamekuwa wakitoa ushauri wa kiuchumi kwa nchi zetu na hata kama ushauri hauna tija kwa Taifa husika.

Tanzania toka tumechagua Mh Rais Dr John Magufuli naweza kusema kwa kipindi hichi cha miaka minne tumeweza kwakweli

Ukiangalia mradi mkubwa kama Stiegles pale Rufiji ambao ni ndio mkombozi kwa uchumi wa viwanda,siku zote wakubwa wamekuwa wakiupinga kwa hoja mfu.

Lakini Rais wetu kasema tutajenga na hata kama wafadhili hawatatoa pesa,kweli sasa mradi umeanza na pindi ukikamilika tutapata megawati 2015 ambao utatutosha na hata kuuza nchi majirani.

Africa inaitaji Kiongozi jasili sampuli ya Rais Magufuli ili maendeleo yaweze kupatikana kwa haraka.#JPM KIOO TUELEKEACHO

AlexFredrick
Dar es salaam



Sent using Jamii Forums mobile app

Nakubaliana nawe mkuu.

Ukiangalia hawa IMF na WB wapo toka enzi na enzi lakini sera zao zimeshindwa kuleta maendeleo Afrika na Tanzania ikiwemo.

Sasa bila kuwa na viongozi wanaojitambua kuwaambia hapana hawa mabeberu wanaojidai kutupangia nini wanachowaza ili tuendelee hatuwezi fika popote kiuchumi na kijamii
 
Shida kubwa iliyopo Bara la Africa ni kutokuwa na Viongozi jasiri ambao hawawezi kufanya maamuzi pindi wanapotakiwa kufanya hivyo.

Kibaya zaidi Imf na world bank ndio wamekuwa wakitoa ushauri wa kiuchumi kwa nchi zetu na hata kama ushauri hauna tija kwa Taifa husika.

Tanzania toka tumechagua Mh Rais Dr John Magufuli naweza kusema kwa kipindi hichi cha miaka minne tumeweza kwakweli

Ukiangalia mradi mkubwa kama Stiegles pale Rufiji ambao ni ndio mkombozi kwa uchumi wa viwanda,siku zote wakubwa wamekuwa wakiupinga kwa hoja mfu.

Lakini Rais wetu kasema tutajenga na hata kama wafadhili hawatatoa pesa,kweli sasa mradi umeanza na pindi ukikamilika tutapata megawati 2015 ambao utatutosha na hata kuuza nchi majirani.

Africa inaitaji Kiongozi jasili sampuli ya Rais Magufuli ili maendeleo yaweze kupatikana kwa haraka.#JPM KIOO TUELEKEACHO

AlexFredrick
Dar es salaam



Sent using Jamii Forums mobile app
NITAMCHAGUA TENA 2020
 
African need strong institutions ..... achana na mawazo ya one man show kutufikisha nchi ya ahadi
 
Back
Top Bottom