Rais Magufuli kufanya ziara ya siku 5 Zanzibar, kuzindua jengo la TISS Zanzibar

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Kuhudhuria sherehe za Muungano mi jambo jema lakini kuzindua jengo la TISS si angemwachia Mhe. Rais wa Zenji? Eniwei kwa kuwaTV zitakuwa live sio mbaya!
Ishu za usalama wa taifa ni ishu za kitaifa(union matters) so rais wa Zanzibar sio mahala pake

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ziara ya kikazi Zanzibar ni sawa, ila yeye kuhudhuria sherehe ya Mapinduzi si sawa, utaratibu wa maadhimisho ya sherehe ya mapinduzi ni wa kiboya unamdogosha na kumzalilisha Raisi wa Muungano - ambaye ndiye Raisi wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu
 
Bora tu siku hiyo ya Jumapili Mh. Raisi angeitumia kusali, kuliko kuhudhuria sherehe yenye taratibu za kuzalilishana
 
Subiri mshinde mrais nyie chadema mtazindua kimya kimya


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitake radhi chief, mm sijawahi kujihusisha na masuala yyt ya siasa hasa ya chama kabisa tangu nimezaliwa. Labda kama hukunielewa tu...mimi nilikuwa nafanya kitu kama mshangao na wala sio kama nimecritisize statement. UMENIKWAZA SANA.
 
Hatimaye Wasiojulikana wamejisogeza Zanzibar...Wazanzibara jiandaeni kuanza kupotezwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…