mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Hivi kudogosha maana yake ni nini mkuu?Ziara ya kikazi Zanzibar ni sawa, ila yeye kuhudhuria sherehe ya Mapinduzi si sawa, utaratibu wa maadhimisho ya sherehe ya mapinduzi ni wa kiboya unamdogosha na kumzalilisha Raisi wa Muungano - ambaye ndiye Raisi wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu
dodge