misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Barmkhresa ndio nani mkuu? SamahaniKuna hote ngapi za Barmkhresa znz?. Hotel Verde inazinduliwa mara mbili??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barmkhresa ndio nani mkuu? SamahaniKuna hote ngapi za Barmkhresa znz?. Hotel Verde inazinduliwa mara mbili??
Barmkhresa ndio nani mkuu? Samahani
Teh teh tehHuyo ni mdogo wake Shein.
dodge
Anatafuta KICK baada ya kuchokwaHivi haya majengo ya wazee wa mifumo yanazinduliwaga pia? Mi nilijua inakuwa kimya kimya tu...daaah!
Hakuna ubaya wwte kupenda sifaHiyo hotel mbona ishafanya kazi mwaka sasa. Ila jamaa anapenda sifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Message sent and derivered!Stress ziko ccm lumumba, huku Brussels tunakula bata tu.
Anakuwa kama nani?Akishakanyaga tu Zanzibar anakuwa kama diwani, kama huamini subiri hiyo tarehe 12 utaona nani rais na amiri jeshi mkuu wa eneo lile, ni rahisi mno kumtambua make sherehe haianzi kama yeye hajafika, atakuwa mwisho kuingia, atakagua gwaride, atapigiwa mizinga,nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakufa na stress hilo ni Chama kubwa lao siyo saccos ya Chadema!
Sawa mkuu!!Chama kikubwa au chama mabavu? Ukiona chama kinajisifia ni kikubwa lakini kinashangilia kutangazwa washindi bila kushindana, basi ujue hicho sio chama, bali ni kipimo halisi cha ujinga wa mtu mweusi.
Hayo majengo ya TISS zamani yalikuwa Siri Sasa hivi yanaanikwa tu Kama karanga hadharani kila mtu ayajue
Something is wrong somewhere
Nafikiri kuna kitu hujui. Ofisi kuu za TISS zote huwa zinajulikana ila ofisi za kiintelenjesia na operesheni ndizo huwa zinafichwa. Sasa hiyo inayojengwa ni ofisi kuu kwa upande wa Zanzibar inafichwa ili iweje wakati anayetumia ofisi hiyo anajulikana!! Mkielimika mtajajua tu!Hayo majengo ya TISS zamani yalikuwa Siri Sasa hivi yanaanikwa tu Kama karanga hadharani kila mtu ayajue
Something is wrong somewhere
Hayo majengo ya TISS zamani yalikuwa Siri Sasa hivi yanaanikwa tu Kama karanga hadharani kila mtu ayajue
Something is wrong somewhere
Nafikiri kuna kitu hujui. Ofisi kuu za TISS zote huwa zinajulikana ila ofisi za kiintelenjesia na operesheni ndizo huwa zinafichwa. Sasa hiyo inayojengwa ni ofisi kuu kwa upande wa Zanzibar inafichwa ili iweje wakati anayetumia ofisi hiyo anajulikana!! Mkielimika mtajajua tu!
Chama kinacho foji sahihi ya mtu aliyeko Marekani kuwa yupo ukumbini Dar ili akidi itimie. Na wanaoshiriki ushenzi huo wapo pia Waziri Ndungulile na Waitara pia yupo mwenyekiti wa Bunge Zungu.Chama kikubwa au chama mabavu? Ukiona chama kinajisifia ni kikubwa lakini kinashangilia kutangazwa washindi bila kushindana, basi ujue hicho sio chama, bali ni kipimo halisi cha ujinga wa mtu mweusi.
Bado mtaona mpaka utumbo ulivyo mkiuchungulia sana mk..du.Hayo majengo ya TISS zamani yalikuwa Siri Sasa hivi yanaanikwa tu Kama karanga hadharani kila mtu ayajue
Something is wrong somewhere
Kujulikana kwa watu what for? Ofisi ya TISS sio public office ya kutoa huduma kwa public.Kuwa watu wote waijue ili iweje?Nafikiri kuna kitu hujui. Ofisi kuu za TISS zote huwa zinajulikana ila ofisi za kiintelenjesia na operesheni ndizo huwa zinafichwa. Sasa hiyo inayojengwa ni ofisi kuu kwa upande wa Zanzibar inafichwa ili iweje wakati anayetumia ofisi hiyo anajulikana!! Mkielimika mtajajua tu!