yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kumbuka ni kama miaka 10 sasa tangu huduma hii ipotee na ukiona inarudi lazima ushukuru Mungu kwa maono haya hata kwa kukamilika kwa 80% bado 20% kuanza kazi. vijana wamepata kazi za kufanya na ndo wangekuwa mtaani kukaba watu.Wananchi hawataki kusikia TRC imekamilika 80% au SGR 41% mwaka sasa, wanataka kuona Rais wao mpendwa anasafiri kwa SGR kwenda Mwanza siku ya ufunguzi au Masai toka Arusha anasafiri kwenda Dar kwa treni. Blaa blaa tumechoka kusikia in nyingi mno Awamu hii.
MGR Tanga-Arusha imekamilika 80%Wananchi hawataki kusikia TRC imekamilika 80% au SGR 41% mwaka sasa, wanataka kuona Rais wao mpendwa anasafiri kwa SGR kwenda Mwanza siku ya ufunguzi au Masai toka Arusha anasafiri kwenda Dar kwa treni. Blaa blaa tumechoka kusikia in nyingi mno Awamu hii.
Kwani Moshi kuna nini? Hofu ya nini mku?Tafadhali isipite Moshi, itoke Tanga wapitishe maporini hadi Chuga!
Mkuu hawajengi mpya ni ile ile ya zamani kwa hiyo lazima ipite Moshi. Muda si mrefu mwezi huu mtawaona vijana wakikarabati mitaa ya majengo hapo na kote inakopita.Tafadhali isipite Moshi, itoke Tanga wapitishe maporini hadi Chuga!
Haina shida mkuu tutakua tunapeana updates.Brother Samwel uwe unatupa update kila mara kwenye hili jukwaa.Kwa kweli hongera TRC kurudisha njia ya kaskazini watu walikuwa wanapata tabu hasa wakati wa December kwa kugongwa nauli kubwa.
Itapita Moshi kweli mana nauli za 50k zinaumizq sanaKwani Moshi kuna nini? Hofu ya nini mku?
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au ana private carMkuu hawajengi mpya ni ile ile ya zamani kwa hiyo lazima ipite Moshi. Muda si mrefu mwezi huu mtawaona vijana wakikarabati mitaa ya majengo hapo na kote inakopita.
Nadhan utakua umejenga juu ya reli jiandae kubomoa.
Haina shida mkuu tutakua tunapeana updates.
Kwa sasa waliojenga jirani na reli au juu ya reli wameshapatiwa notice tangu mwaka jana kwa hiyo inasubiriwa kubomoa pindi mradi utakapokaribia.
Kwa Arusha kuna maeneo ya Ungalimited na Chekereni watu walivamia.
Mambo yanaenda vizuri tujiandae kuipokea A-town.
Hao si ndiyo mnaowapiga vita nchi nzima kama waisrael walivyotaka kuteketezwa duniani kote na bwana HitlerWachagga Mungu atupe nini tena....... Ahsante Rais Magufuli!
Akina nani?!Hao si ndiyo mnaowapiga vita nchi nzima kama waisrael walivyotaka kuteketezwa duniani kote na bwana Hitler
Akina nani?!
Mwezi wa kufanya TAMBIKO sema usiumeume manenohii itatusaidia saana wakati wa mwezi wa kuhiji, na hasa hasa ikiwa inasimama vituo vikubwa vikubwa kupunguza masaa ya safari