Rais Magufuli kuipokea treni ya abiria Arusha mwezi wa 9-2019,ufufuaji wa reli ya Tanga sasa ni 80%..

Rais Magufuli kuipokea treni ya abiria Arusha mwezi wa 9-2019,ufufuaji wa reli ya Tanga sasa ni 80%..

Afadhali Mbowe atapata usafiri wa kufanya logistic ya mazao yake baada ya saccos ya chadomo kuingia mchanga.
 
Wenye malori inabidi wayauze Congo na kwingineko.

Pamoja na kazi hii nzuri; je tumeandaa mizigo? Mfano wakati wa Nyerere Sehemu kubwa ya Moshi na Arusha kulikuwa ni mashamba ya katani na kahawa hiyo ndiyo mojawapo ya mizigo iliyobebwa na treni. Mashamba ya katani sehemu kubwa yamekuwa makazi ya watu (ukiacha SAME). Mashamba mengi ya Kahawa kama kule Karatu, Moshono, Arusha DC na Arumeru yote yamekufa. Sekta ya ujenzi nayo kama imesimama maana kazi kubwa ya hii treni ni kubeba cement. Makaa ya mawe nayo ni mzigo bahati mbaya ukiacha A-Z na Sunflag hakuna kiwanda kingine kinachotumia makaa ya mawe.
 
Brother Samwel uwe unatupa update kila mara kwenye hili jukwaa.Kwa kweli hongera TRC kurudisha njia ya kaskazini watu walikuwa wanapata tabu hasa wakati wa December kwa kugongwa nauli kubwa.
Mwisho wa kubamizwa Dec sasa waja
 
Lakini kumbuka ni kama miaka 10 sasa tangu huduma hii ipotee na ukiona inarudi lazima ushukuru Mungu kwa maono haya hata kwa kukamilika kwa 80% bado 20% kuanza kazi. vijana wamepata kazi za kufanya na ndo wangekuwa mtaani kukaba watu.
Kupotea kunatokana na uzembe wao CCM, kuipokea ni kujitoa aibu tu.
 
Brother Samwel uwe unatupa update kila mara kwenye hili jukwaa.Kwa kweli hongera TRC kurudisha njia ya kaskazini watu walikuwa wanapata tabu hasa wakati wa December kwa kugongwa nauli kubwa.

Hebu kidogo tuelewane.

Reli inayozungumziwa hapa ni Tanga kwenda Arusha...au?
Nilivyoelewa, ingawa hukueleza, una maana ya reli toka Dar- Korogwe - Arusha?
Sikujua kuwa kuna 'kugongana' sana kati ya Tanga na Arusha - huenda ni kweli! Ikikupendeza, nipe somo.
 
Hebu kidogo tuelewane.

Reli inayozungumziwa hapa ni Tanga kwenda Arusha...au?
Nilivyoelewa, ingawa hukueleza, una maana ya reli toka Dar- Korogwe - Arusha?
Sikujua kuwa kuna 'kugongana' sana kati ya Tanga na Arusha - huenda ni kweli! Ikikupendeza, nipe somo.
Kipande kibovu kilikuwa kuanzia Korogwe kwenda Moshi na Arusha na ndio kinakarabatiwa.Korogwe to Tanga na Tanga mpaka Ruvu kipo vizuri na kinatumika kusafirisha mizigo nadhani mafuta na Cement kuelekea kuelekea kanda ya ziwa na kigoma.
Sasa wanarekebisha hiyo njia kuanzia Korogwe mpaka Arusha ili kusafirisha mizigo na abiria pia.
 
Lakini kumbuka ni kama miaka 10 sasa tangu huduma hii ipotee na ukiona inarudi lazima ushukuru Mungu kwa maono haya hata kwa kukamilika kwa 80% bado 20% kuanza kazi. vijana wamepata kazi za kufanya na ndo wangekuwa mtaani kukaba watu.
miaka 17 sio 10
 
Hebu kidogo tuelewane.

Reli inayozungumziwa hapa ni Tanga kwenda Arusha...au?
Nilivyoelewa, ingawa hukueleza, una maana ya reli toka Dar- Korogwe - Arusha?
Sikujua kuwa kuna 'kugongana' sana kati ya Tanga na Arusha - huenda ni kweli! Ikikupendeza, nipe somo.
Tanga ni Mkoa na Korogwe ni Wilaya iko Tanga ukiambiwa reli ya Tanga Arusha maana yake inapitia korogwe sidhani kama kuna reli inayokuja arusha ambayo haipiti korogwe
 
Tanga ni Mkoa na Korogwe ni Wilaya iko Tanga ukiambiwa reli ya Tanga Arusha maana yake inapitia korogwe sidhani kama kuna reli inayokuja arusha ambayo haipiti korogwe
Hapana, wewe hukunielewa. Tanga pia ni Mji...
Kuna , au kulikuwa na reli inatoka Tanga mjini ikipitia Korogwe na kuelekea Arusha.

Pili, kuna reli inayotoka Dar ikipitia Ruvu na kupandisha kwenda kukutana na hiyo inayotoka Tanga Mjini na kuelekea Arusha.

Swali langu lilihusu ni ipi inayokarabatiwa. Itokayo Tanga - Korogwe -- au inayotoka Dar-Ruvu-Korogwe----
 
Back
Top Bottom