Hili halitashangiliwa maana waathirika siyo wananchi bali wauza bidhaa mbalimbali.Kuna taarifa za chini ya kapeti kuwa Raisi ameshauriwa na inaonekana ameshaurika kuwa aongeze muda wa matumizi ya mifuko ya plastiki kwa miezi sita.
Hii "imeonekana" kama kete muhimu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu haswa kwa Chama Chake - CCM.
Kinachosubriwa ni tamko lake atakaporejea kutoka Namibia leo.
Kama itakuwa kweli basi hii ni ile inayoitwa kitaalaam kama THESIS , ANTITHESIS , SYNTHESIS.
HahaaNimeshanunua Vespa yenye kikapu mbele.
Hivi hivyo vipikipiki Bei gani vinauzwa(minimum Price)Nimeshanunua Vespa yenye kikapu mbele.
We vipi bwana ndege JOHN? badala ya kumshangilia rais wa wanyonge unaulizs bei ya pikipiki?Hivi hivyo vipikipiki Bei gani vinauzwa(minimum Price)
Kuna taarifa za chini ya kapeti kuwa Rais ameshauriwa na inaonekana ameshaurika kuwa aongeze muda wa matumizi ya mifuko ya plastiki kwa miezi sita.
Hii "imeonekana" kama kete muhimu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu haswa kwa Chama Chake - CCM.
Kinachosubriwa ni tamko lake atakaporejea kutoka Namibia leo.
Kama itakuwa kweli basi hii ni ile inayoitwa kitaalaam kama THESIS , ANTITHESIS , SYNTHESIS.
Kwani maamuzi ya KIKOKOTOO yalifanyika uwanja wa Mwembe Yanga?Hatutaki asiongeze hata dakika moja. Siyo kila maamuzi ya wenzake ni kutengua. Maamuzi mengine kama haya ni msingi. Kwanza kauli ya kuamua imetolewa bungeni hivyo hawezi kuiingilia maamuzi ya bunge hata kama ni dhaifu kiasi gani atakuwa anamdhalilisha zaidi PM
Utashangaa ata Makamba akampongeza KWA maamuzi hayo ya kuwajali wanyonge(watumiaji mifuko)Ndo atakuwa jiwe fully akifanya huo undezi Makamba ajiuzulu
Mbona harudi leo, kwani kaanza ziara ya siku mbili zimbabweKuna taarifa za chini ya kapeti kuwa Rais ameshauriwa na inaonekana ameshaurika kuwa aongeze muda wa matumizi ya mifuko ya plastiki kwa miezi sita.
Hii "imeonekana" kama kete muhimu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu haswa kwa Chama Chake - CCM.
Kinachosubriwa ni tamko lake atakaporejea kutoka Namibia leo.
Kama itakuwa kweli basi hii ni ile inayoitwa kitaalaam kama THESIS , ANTITHESIS , SYNTHESIS.
Hili halitashangiliwa maana waathirika siyo wananchi bali wauza bidhaa mbalimbali.