King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
Acha uongo , muogope hata mungu wenu wa CCM wa uongo mwenge Nyamrunda . Waliowapa ridhaa ni tissccm , tumeccm , polisiccm , wakurugenziccm sio wananchi hata Mhutu mwenyewe analijua hili since 2015 alipoambulia kura milioni 3 .Hajavunja katiba mzee; usitafute visababu. Yeye katoa mawazo yake kama ambavyo hata mimi nilivyotoa mawazo yangu miezi michache iliyopita kuwa Lissu hawezi kuwa rais wa nchi hii; wanaotoa ridhaa ni wananchi siyo sisi mashabiki watoa mawazo!!
bora wapiga ramli kuliko wanao enda kwa washirikina na wachawi.Kutembea na rundola wapiga ramli kwenye mavx ndio kumcha Mungu ? Labda mungu Nyamrunda wa ccm mwenge .
Acha uongo , muogope hata mungu wenu wa CCM wa uongo mwenge Nyamrunda . Waliowapa ridhaa ni tissccm , tumeccm , polisiccm , wakurugenziccm sio wananchi hata Mhutu mwenyewe analijua hili since 2015 alipoambulia kura milioni 3
Katika vitu ninavyopata ugumu kuvifanya ni pamoja na kumfuatilia mtu wa namna hiyo kujua atasema nini.Huku mnaema hamumtambuwi kama Rais, huku mchana kutwa na bila shaka usiku pia mnakesha mitandaoni kumfuatilia.
Je unamfuatiliaje mtu usiemtambua?
Mbona msimfuatilie mwamba wa kaskazini au tundu wenu.
Badala ya kujikusanya muangalie mlipokosea na muanze kujijenga upya kwa wapiga kura.
Nyinyi mnakaza misuli kukodolea TV na kumfuatilia mtu anaetimiza alichokiahidi kwa wananchi waliomchagua.
Hayo ndio yamewakosesha nafasi zote mlizopoteza kwenye uchaguzi uliopita.
Umeongea hayo maneno kwa kumaanisha?Magufuli ni mtu wa Mungu, ni mtu mwenye hofu ya Mungu, ni mtu mwenye kumtanbua Mungu, ni mtu anaye mtegema Mungu kwa kila jambo lake ndio maana anawachukia sana baadhi ya viongozi wanao endekeza na kutegemea ushirikina ili mambo yao yaende.
hata mimi siwapendi watu au mtu anaye tegemea ushirikina ili kupata kitu au kufanikiwa.
hatutaki viongozi wanao abudu ushirikina tunataka viongozi wenye hofu na Mungu hao ndio watakao tutendea haki
ni ajabu kubwa sana!! yaani ktk karne hii unakuta msomi mzima anahangaika kwa waganga na washirikina kutafuta vyeo na utajiri, haswa watanzania tumeeendekeza sana tabia za kutegemea nguvu za giza.Umeongea hayo maneno kwa kumaanisha?
Or you have uttered those words just for jokes?
Mkuu, huyo Joe Baden ndiyo nani?Hivi hata mgombea atakuwa na umri kama Museveni au Joe Baden, atakuwa amevunja ibara ipi ndani ya Katiba ya nchi?
Sasa yeye Rais Magufuli anaposema kuwa Rais ajaye ni lazima awe kijana, je anatuandalia mtu wake wa mfukoni?
Tutakapokuwa tunahisi kuwa anatuandalia mtu wake wa dizaini ya Bashite, tutakuwa tunakosea kweli?
Swali la msingi zaidi tujiulize kwa kusema hivyo ana mtu wake kishamweka akilini nwake na sasa anatutayarisha kisaikologia? Anajuaje kama raisi ajae atatoka CCM ambako ana madaraka katika uteuzi wake au ndo haya yaliyotokea mwaka huu?Tulimsikia Rais Magufuli wakati akimwapisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisema kuwa Profesa Kabudi na William Lukuvi hawawezi kuwa miongoni ya wagombea wa Urais wa CCM kwa mwaka 2025, kwa kuwa tu umri wao hauwaruhusu, kwa kuwa watakuwa na umri mkubwa, kwa kuwa ameeleza kuwa Rais ajaye atakuwa kijana na hataruhusu yeyote atakayekuwa na umri unaomzidi yeye Rais Magufuli, agombee Urais kwa mwaka huo wa 2025, je kwa kuyatamka hayo amevunja Katiba ya nchi?
Nimesoma Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzani,1977 ambayo imetaja sifa za mtu anayetakiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na inasema kama ifuatavyo katika ibara ya 39, kama ifuatavyo:-
39(1) Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, isipokuwa kama:-
(a) Ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa sheria ya Urais
(b) Ametimiza umri wa miaka arobaini
(c) Ni mwanachama na ni mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa
(d) Anazo sifa za kumwezesha kuwa mbunge au Baraza la Wawalikishi
(e) Katika kipindi cha miaka mitano kabla ya uchaguzi Mkuu, hajawahi kutiwa hatiani katika Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa kodi yoyote ya Serikali
Katika masharti hayo naliona sharti la umri wa chini kabisa wa miaka 40 (minimum age) na sijaona kipengele chochote kinachomzuia mgombea yeyote kutokana na umri wa juu (maximum age)
Sasa nimuulize Rais Magufuli amepata wapi mamlaka nje ya Katiba ya nchi ya kuwatamkia akina Profesa Kabudi na William Lukuvi kuwa watakuwa disqualified kutokana na umri wao kuwa mkubwa?
Kwa kuwa kutokana na Maelezo yake hataruhusu mtu yeyote atakayekuwa na umri wa zaidi ya miaka 65, ifikapo mwaka 2025, kugombea Urais!
Hivi sisi wananchi tunaposema kuwa yeye Rais matamshi yake ndiyo yanakuwa sheria tutakuwa tunakosea kweli?
Hivi inawezekanaje yeye Rais Magufuli atoe matamshi, ambayo anajua wazi kuwa yanavunja Katiba ya nchi?
Labda nawe nikuulize: umeanza lini kunisoma?Lakini hivi karibuni hasa baada ya huu "uchaguzi" au hata wakati wa kampeni, inaonekana umeguswa kwenye nerves hasa. Nadhani hii inatokea kwa watu wenye kujitambua kama wewe, kwa sababu huwezi kuufumbia macho ukweli. Lakini kuna wale ambao kwao liwake jua inyeshe mvua, ni vigeregere na mapambio tu.
Huyo ni msukuma mwenzetu. Sukuma Empire hoyee! Kwa mujibu wa gwajima.Magufuli huwa hapimi maneno yake.
Huwa yanamtoka tu utadhani mtoto.
Mimi nimeanza kukusoma tangu 2011 ndipo nilipo join JF. Kwa mabandiko mengi niliyofanikiwa kukusoma nimekuona katika mtazamo huo hasa kuanzia 2015. Nitajitahidi nikufuatilie kwenye mabandiko mengine tunavyoendelea kuelekea 2025.Labda nawe nikuulize: umeanza lini kunisoma?
Maana mimi wala sijabadilika.
Ngabu wa 2005/2006 wakati JF inaanzishwa ndo yule yule wa 2020.
Na ushahidi wa kimaandishi upo humu.
Wewe hujawahi kuona nikiiponda CCM kwenye mabandiko yangu ya 2006 au 2007? 2008? 2009? 2010?
Linavunja katiba kila siku hiloTulimsikia Rais Magufuli wakati akimwapisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisema kuwa Profesa Kabudi na William Lukuvi hawawezi kuwa miongoni ya wagombea wa Urais wa CCM kwa mwaka 2025, kwa kuwa tu umri wao hauwaruhusu, kwa kuwa watakuwa na umri mkubwa, kwa kuwa ameeleza kuwa Rais ajaye atakuwa kijana na hataruhusu yeyote atakayekuwa na umri unaomzidi yeye Rais Magufuli, agombee Urais kwa mwaka huo wa 2025, je kwa kuyatamka hayo amevunja Katiba ya nchi?
Nimesoma Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzani,1977 ambayo imetaja sifa za mtu anayetakiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na inasema kama ifuatavyo katika ibara ya 39, kama ifuatavyo:-
39(1) Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, isipokuwa kama:-
(a) Ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa sheria ya Urais
(b) Ametimiza umri wa miaka arobaini
(c) Ni mwanachama na ni mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa
(d) Anazo sifa za kumwezesha kuwa mbunge au Baraza la Wawalikishi
(e) Katika kipindi cha miaka mitano kabla ya uchaguzi Mkuu, hajawahi kutiwa hatiani katika Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa kodi yoyote ya Serikali
Katika masharti hayo naliona sharti la umri wa chini kabisa wa miaka 40 (minimum age) na sijaona kipengele chochote kinachomzuia mgombea yeyote kutokana na umri wa juu (maximum age)
Sasa nimuulize Rais Magufuli amepata wapi mamlaka nje ya Katiba ya nchi ya kuwatamkia akina Profesa Kabudi na William Lukuvi kuwa watakuwa disqualified kutokana na umri wao kuwa mkubwa?
Kwa kuwa kutokana na Maelezo yake hataruhusu mtu yeyote atakayekuwa na umri wa zaidi ya miaka 65, ifikapo mwaka 2025, kugombea Urais!
Hivi sisi wananchi tunaposema kuwa yeye Rais matamshi yake ndiyo yanakuwa sheria tutakuwa tunakosea kweli?
Hivi inawezekanaje yeye Rais Magufuli atoe matamshi, ambayo anajua wazi kuwa yanavunja Katiba ya nchi?
Basi huenda una matatizo haya mawili:Mimi nimeanza kukusoma tangu 2011 ndipo nilipo join JF. Kwa mabandiko mengi niliyofanikiwa kukusoma nimekuona katika mtazamo huo hasa kuanzia 2015. Nitajitahidi nikufuatilie kwenye mabandiko mengine tunavyoendelea kuelekea 2025.
Vinginevyo tuko pamoja mkuu.
Tofauti ni kwamba angalau kwa Trump kuna sauti toka ndani ya Republicans wenzake za kutokukubaliana nae. Huku kwetu hakuna hata sauti moja ndani ya chama chake iliyo na itakayothubu kusema lolote dhidi ya Mwenyekiti na Rais wa nchiKama Trump tu!