Rais Magufuli kuzindua mradi wa umeme Mto Rufiji Julai 26, 2019

Rais Magufuli kuzindua mradi wa umeme Mto Rufiji Julai 26, 2019

Unafiki wako nahisi kuna wakati ukiwa kwenye kioo unajitazama unajishangaa.

Unaulizia uweze kuangalia, hapa unaongopa unataja ujue muda uzime.
Kusema ili uzime maana yake unaangalia TBC kumbe.

Wote tunajua TBC kila mara wanasifia serikali chini ya isiempenda.
Ongea kiswahili fasaha zwazwa wa lumumba wewe
 
Unafiki wako nahisi kuna wakati ukiwa kwenye kioo unajitazama unajishangaa.

Unaulizia uweze kuangalia, hapa unaongopa unataja ujue muda uzime.
Kusema ili uzime maana yake unaangalia TBC kumbe.

Wote tunajua TBC kila mara wanasifia serikali chini ya isiempenda.
Kwastyle hii ndo mana Ficiem OG vs ficem wakuja wameamua mwisho wa jiwe 2020
 
Kwastyle hii ndo mana Ficiem OG vs ficem wakuja wameamua mwisho wa jiwe 2020

Siku nyingine ongea usizunguke.
Unapenda kuangalia habari za Magufuli kuliko kuwaangalia ndugu zako kijijini.

Magufuli kiboko ya wanafiki.
 
Show zinaendelea mwaka wa nne mfululizo lakini confidence ni zero na sasa mpaka waganga wanatishia watu wasigombee.
 
Jana katoka kuzindua movie ya dhahabu kilo 35 zilizoibiwa 2004 zikawa zinamsubiri awe raisi, kesho tena anaenda kuzindua upumbavu mwingine, na hapo ametoka kuzindua mbuga ya wanyama. Vyote vua kuzindua vikiisha atazindua hilo jumba jeupe ili tu aandikwe kwenye magazeti na TBCCM imchukue live!

Kwanini unatukana, ni Kweli wewe ni Mtanzania? huna haja kutukana acha chuki binafsi, toa hoja matusi yanatoka wapi ? toa mchango wa mawazo yako kwa Hekima, ongozwa na ukweli kwanza.
 
Jana katoka kuzindua movie ya dhahabu kilo 35 zilizoibiwa 2004 zikawa zinamsubiri awe raisi, kesho tena anaenda kuzindua upumbavu mwingine, na hapo ametoka kuzindua mbuga ya wanyama. Vyote vua kuzindua vikiisha atazindua hilo jumba jeupe ili tu aandikwe kwenye magazeti na TBCCM imchukue live!
Unaroho mbaya sana hivi mtaacha lini kusaliti maendeleo ya nchi yenu
 
Umeme wa gesi ya Mtwara haitoshi tena?
Nakumbuka Profesa Muhongo naye alitwambia mradi wa gesi ungetoa umeme mwingi sana hata tungeweza kuuza nchi za nje.
Leo tena Stigler's gorge......au ni mimi tu ndio nakumbuka maneno ya Profesa Muhongo 😂😂
 


Waziri wa Nishati nchini Tanzania, Dk Medard Kalemani amesema Rais wa Tanzania, John Magufuli keshokutwa Ijumaa Julai 26, 2019 ataweka jiwe la msingi katika Mradi wa kufua umeme wa megawati 2115 wa Rufiji ‘Stigler's Gorge’ uliopo mikoani ya Pwani na Morogoro.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Julai 24, 2019 Morogoro, Waziri Kalemani amesema tukio hilo kubwa la kihistoria kukamilika kwake kutawezesha Taifa Kuwa na umeme wa kutosha, wa uhakika, unaotabirika na hatimaye kuwa wa gharama nafuu kwa watumiaji.

Amesema wizara inawahakikishia Watanzania kuwa utekelezaji wa mradi huo ni wa kasi, weledi na nidhamu na hiyo ni katika kuunga mkono juhudi za Serikali inayongozwa na Rais Magufuli.

Mradi huo mkubwa wa umeme utakapokamilika unatarajia kutumia kiasi cha Sh6.5 trilioni ambazo ni fedha za Serikali ya Tanzania.
SASA NIMEKUWA NA UHAKIKA NCHI ITAPIGA HATUA ZA KIMAENDELEO. SIO MARA LEO UMEME HAKUNA VINU VINAFANYIWA SERVICE NK! MUHIMU WAANGALIE WASIHUJUMU UJENZI WAKE HAWA MABWANA WASIOTAKA TUPATE HUO UMEME WA BEI NDOGO NA WA UHAKIKA.
 
Kwanini unatukana, ni Kweli wewe ni Mtanzania? huna haja kutukana acha chuki binafsi, toa hoja matusi yanatoka wapi ? toa mchango wa mawazo yako kwa Hekima, ongozwa na ukweli kwanza.
Kwa hiyo upumbavu ukizungumzwa na Dr. Bushiru sio tusi ila ukizungumzwa na mtu mwingine unakua tusi. Hivi nyinyi fisi wa Lumumba nani aliwaroga???
 
Siku nyingine ongea usizunguke.
Unapenda kuangalia habari za Magufuli kuliko kuwaangalia ndugu zako kijijini.

Magufuli kiboko ya wanafiki.
Mnafiki mmojawapo ni wewe na huyu mumeo
FB_IMG_1563820047671.jpg
 
Mnafiki mmojawapo ni wewe
Mkuu mimi naangalia na kufuatilia habari za wanasiasa wote na sifichi hisia zangu kuhusu siasa.

Sifanyi unafiki wa kupondea kitu kisha kwa siri naenda kukifuatilia au kukikubali.

Mimi sio kada au mfuasi fuata upepo. Namkubali Magufuli, nilimpa kura, nitampa kuratena akigombea, mimi si mwanachama wala shabiki wa CCM, CHADEMA n.k.
 
Back
Top Bottom