Rais Magufuli: Miaka 20 ijayo sidhani kama kuna watu tutakuwa hai

Rais Magufuli: Miaka 20 ijayo sidhani kama kuna watu tutakuwa hai

PRJ2012

Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
30
Reaction score
25
Alichosema Rais wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo katika maadhimisho ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mkoani Lindi.

"Miaka 20 iliyopita baba wa taifa alikuwa hai lakini sasa ametangulia mbele za haki. Miaka 20 ijayo sidhani kama kuna watu tutakuwa hai. Tufanye mambo ambayo kila mmoja wetu atakumbukwa kama tunavyomkumbuka baba wa taifa leo".
 
Issue sio kukumbukwa tu unakumbukwa kwa lipi? maana hata kwa kuua watu unaweza kukumbukwa
Alichosema Rais wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo katika maadhimisho ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mkoani Lindi.

"Miaka 20 iliyopita baba wa taifa alikuwa hai lakini sasa ametangulia mbele za haki. Miaka 20 ijayo sidhani kama kuna watu tutakuwa hai. Tufanye mambo ambayo kila mmoja wetu atakumbukwa kama tunavyomkumbuka baba wa taifa leo".
 
Hahaha siku hizi ndio nimeanza kuamini kwamba kumbe "Ujinga ni kipaji".
Nitaanzisha STUPID GOT TALENT
 
Alichosema Rais wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo katika maadhimisho ya miaka 20 ya kifo cha baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mkoani Lindi.

"Miaka 20 iliyopita baba wa taifa alikuwa hai lakini sasa ametangulia mbele za haki. Miaka 20 ijayo sidhani kama kuna watu tutakuwa hai. Tufanye mambo ambayo kila mmoja wetu atakumbukwa kama tunavyomkumbuka baba wa taifa leo".
Ndege zitakuwa kwennye magogo na ile airport ya chato tutakua tunakaushia mihogo.
 
Back
Top Bottom