technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Wewe endelea kujifungia mwenye korido za lumumba narudia Tena hakuna mchaga mpumbavu Kama weweKumbe ukiwa mchaga lazima uwe chadema ? Ccm mbele kwa mbele mwaka huyu lazima turudishe majimbo yote kwa maendeleo aliyofanya Jpm, tunaanza na same mashariki tunamalizia Hai
Ndio utakuwa mwisho wa utawala wa kiimla wa JiweJiwe mm simjui, atakatwa na kanunu na sivinginevo
Wataje majizi aliowathibiti ukianzia na Kangi Lugola, na usisahau 1.5 trilion iliyopigwa na mkula.kaweza kuthibiti
Hujamsikia assadi alikiri pale ikulu kua hakuna hela iliyoibiwaWataje majizi aliowathibiti ukianzia na Kangi Lugola, na usisahau 1.5 trilion iliyopigwa na mkula.
Tulia kijana tunadi maendeleo aliyoyafanya jpmNdio utakuwa mwisho wa utawala wa kiimla wa Jiwe
Mbona mm hakuna sehemu niliyomtaja lisu , lisu ninani kwani ? Sisi tupo na Jpm.
Maendeleo yamefanyika kwakiasi kikubwa sana ww unasema amani imevurugika tulia kijanaHii awamu ndio imevuruga amani ya nchi
Ziko wapi 1.5 trilion Yu wapi Ben saanane, Alfonce Mawazo, Azory, Korosho zetu vipi.Kwanini kaka
Acheni uzushi wenu tumsapoti Jpm Hamna namnaZiko wapi 1.5 trilion Yu wapi Ben saanane, Alfonce Mawazo, Azory, Korosho zetu vipi.
Kwa nini shangazi na mama zetu wapigwe kwa kudai jasho la Korosho zao.
Matusi kutoka kwa viongozi wakiongozwa na kiongozi mkuu hadi wakuu wa wilaya, mara vilaza, Mara sikuleta tetemeko etc etc.
Ubaguzi nao sijasahau, Mwanza wanaruhisiwa kujenga hadi mdomoni mwa chemchem, lkn kwingineko Tanganyika hii noo big NO..
to hell ccm...to hell na iungue Moto wa ibilisi.
endeleaHujamsikia assadi alikiri pale ikulu kua hakuna hela iliyoibiwa
Na hii ndiyo starting point ya msingi.Tujue Ben saanane yupo wapi?Kanguye,Waliomuua Alphonse Mawazo.Tuanze kuawasaka kwanza walimpiga Tundu Lissu kwenye majengo ya viongozi dodoma. Pamoja waliamrisha walinzi waondolewe eneo kwa siku hiyo.
View attachment 1538178
Mlipo mlisha sumu mwana ccm mwenzenu Mangula dereva wake hakuwepo? Na je walio mlisha sumu mmesha wakamata? Au mnasubiria afe halafu afufuke aje kutoa ushirikiano na polisi? Ninyi mataga ni maaaamaaeee kweli kweli.Naona mmechanganyikiwa, kwanini hatoi ushirikiano na police ?
Hahahaha kwahiyo tukisema mlilipwa na lowasa Ni sahihi , hapo umethibitisha kwamba mnataka kuuza nchi kwa mabeberu ili mpate chenuMimi ni mchaga pure mchaga ukimlipa na kunwambia fanya chochote kwa muda Fulani atafanya na usidhangae wale vijana wakaipigua kura chadema pale walikuwa kazini baada ya kulipwa na sabaya.
wanao haribu amani yetu ni ccm na genge lao kwa kushirikiana na policcm,tume ya kuteuwa inayo jiita tume ya uchaguzi. mwakahuu Magufuli na genge lake linalo jiita ccm wajiandaa kupandishwa kizimbani watueleze Azory Gwanda, Bene sanane wako wapi. pia watuambie wasio julikana wanatumwa na nani. mimi na washauri wanaccm msikubali kutumiwa na genge la Magufuli linalo jiita ccm mpya. hiyo ccm mpya sio ile ccm aliyoanzishwa na nyerere. hii ccm mpya ni ya kina makonda sabaya, Happy , bashiru , polepole na Magufuli mwenyewe wengine wote mnatumiwa bila kujuwa na mtakuja kujuta siku za usomi.Watanzania wenzangu nawaomba tuwapige na kuwakataa watu wanaotaka kuvuruga amani yetu. Amani tuliyo nayo ni muhimu sana katika maendeleo ya Tanzania, kuna watu wenye nia ovu huku wakijificha kwenye mwavuli wa chama chao wakidai wanatafuta haki; haki gani mnayoitafuta?
Watanzania tunachotaka nimaendeleo na tayari tumempata Rais mwenye uchungu wakuleta maendeleo. Katika awamu ya kwanza ya miaka mitano ya Raisi Magufuli amefanya mengi mfano vituo vya afya kila kata, hospitali za wilaya, hospitali za kanda zimejengwa, umeme karibia vijiji vyote Tanzania vina umeme, miundo mbinu ya reli na barabara kila kona ya nchi yetu inajegwa, mikopo kwa wanafunza wa elimu ya juu imetolewa kwa kiasi kikubwa.
Nidhamu kazini kwa wafanyakazi, mishahara mwaka huu imeongezwa, ametimiza ndoto ya baba wataifa kuhamia Dodoma, Magufuli kaweza kuthibiti majizi ya Rasilimali zetu.
Nawaombeni Watanzani tuwakatae kwa nguvu zote hawa watu na hichi chama kinachotumiwa na mabeberu kuharibu Amani ya nchi yetu. Tumchague JPM kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
Haki ipi ulinyimwa weweWewe una hoja gani ya kununua ndege zisizo kaguliwa na kujenga SGR wakati unamfukuza kazi CAG akienda kuchungulia kinachoendelea uko?
Huu upumbavu wambieni wapumbavu wenzenu watu wanataka Uhuru uwazi na Haki katika nchi yao.
Ana uchungu na nchi yakeKishajichokea huyo yesu fake. Urais ni MATESO MAKUBWA sana, Kwanini anang’ang’ania? [emoji15][emoji15][emoji15]
Ana uchungu na nchi yake
Haya sawa! kutekwa na kulawitiwa kwa watz wasiounga Juhudi vipi?Furaha ya Watanzania nikua na afya njema nakupata elimu bure ndio maana Raisi wetu mzalendo akaamua kujenga vituo vingi vya afya nakuhakikisha kuna dawa zakutosha hii ndio furaha muhimu kuliko zote ,Acheni kutumika vibaya
Sina hakika kama una akili timamuWatanzania wenzangu nawaomba tuwapige na kuwakataa watu wanaotaka kuvuruga amani yetu. Amani tuliyo nayo ni muhimu sana katika maendeleo ya Tanzania, kuna watu wenye nia ovu huku wakijificha kwenye mwavuli wa chama chao wakidai wanatafuta haki; haki gani mnayoitafuta?
Watanzania tunachotaka nimaendeleo na tayari tumempata Rais mwenye uchungu wakuleta maendeleo. Katika awamu ya kwanza ya miaka mitano ya Raisi Magufuli amefanya mengi mfano vituo vya afya kila kata, hospitali za wilaya, hospitali za kanda zimejengwa, umeme karibia vijiji vyote Tanzania vina umeme, miundo mbinu ya reli na barabara kila kona ya nchi yetu inajegwa, mikopo kwa wanafunza wa elimu ya juu imetolewa kwa kiasi kikubwa.
Nidhamu kazini kwa wafanyakazi, mishahara mwaka huu imeongezwa, ametimiza ndoto ya baba wataifa kuhamia Dodoma, Magufuli kaweza kuthibiti majizi ya Rasilimali zetu.
Nawaombeni Watanzani tuwakatae kwa nguvu zote hawa watu na hichi chama kinachotumiwa na mabeberu kuharibu Amani ya nchi yetu. Tumchague JPM kwa kipindi kingine cha miaka mitano.