Rais Magufuli: Msichague wanasiasa wanaohubiri chuki, vurugu zikitokea wao watakimbia kwenda kuishi kwingine

Rais Magufuli: Msichague wanasiasa wanaohubiri chuki, vurugu zikitokea wao watakimbia kwenda kuishi kwingine

Kumbe ukiwa mchaga lazima uwe chadema ? Ccm mbele kwa mbele mwaka huyu lazima turudishe majimbo yote kwa maendeleo aliyofanya Jpm, tunaanza na same mashariki tunamalizia Hai
Wewe endelea kujifungia mwenye korido za lumumba narudia Tena hakuna mchaga mpumbavu Kama wewe
 
Kishajichokea huyo yesu fake. Urais ni MATESO MAKUBWA sana, Kwanini anang’ang’ania? 😳😳😳



Mbona mm hakuna sehemu niliyomtaja lisu , lisu ninani kwani ? Sisi tupo na Jpm.
 
Kwanini kaka
Ziko wapi 1.5 trilion Yu wapi Ben saanane, Alfonce Mawazo, Azory, Korosho zetu vipi.

Kwa nini shangazi na mama zetu wapigwe kwa kudai jasho la Korosho zao.
Matusi kutoka kwa viongozi wakiongozwa na kiongozi mkuu hadi wakuu wa wilaya, mara vilaza, Mara sikuleta tetemeko etc etc.
Ubaguzi nao sijasahau, Mwanza wanaruhisiwa kujenga hadi mdomoni mwa chemchem, lkn kwingineko Tanganyika hii noo big NO..
to hell ccm...to hell na iungue Moto wa ibilisi.
 
Ziko wapi 1.5 trilion Yu wapi Ben saanane, Alfonce Mawazo, Azory, Korosho zetu vipi.

Kwa nini shangazi na mama zetu wapigwe kwa kudai jasho la Korosho zao.
Matusi kutoka kwa viongozi wakiongozwa na kiongozi mkuu hadi wakuu wa wilaya, mara vilaza, Mara sikuleta tetemeko etc etc.
Ubaguzi nao sijasahau, Mwanza wanaruhisiwa kujenga hadi mdomoni mwa chemchem, lkn kwingineko Tanganyika hii noo big NO..
to hell ccm...to hell na iungue Moto wa ibilisi.
Acheni uzushi wenu tumsapoti Jpm Hamna namna
 
Naona mmechanganyikiwa, kwanini hatoi ushirikiano na police ?
Mlipo mlisha sumu mwana ccm mwenzenu Mangula dereva wake hakuwepo? Na je walio mlisha sumu mmesha wakamata? Au mnasubiria afe halafu afufuke aje kutoa ushirikiano na polisi? Ninyi mataga ni maaaamaaeee kweli kweli.
 
Mimi ni mchaga pure mchaga ukimlipa na kunwambia fanya chochote kwa muda Fulani atafanya na usidhangae wale vijana wakaipigua kura chadema pale walikuwa kazini baada ya kulipwa na sabaya.
Hahahaha kwahiyo tukisema mlilipwa na lowasa Ni sahihi , hapo umethibitisha kwamba mnataka kuuza nchi kwa mabeberu ili mpate chenu
 
Watanzania wenzangu nawaomba tuwapige na kuwakataa watu wanaotaka kuvuruga amani yetu. Amani tuliyo nayo ni muhimu sana katika maendeleo ya Tanzania, kuna watu wenye nia ovu huku wakijificha kwenye mwavuli wa chama chao wakidai wanatafuta haki; haki gani mnayoitafuta?

Watanzania tunachotaka nimaendeleo na tayari tumempata Rais mwenye uchungu wakuleta maendeleo. Katika awamu ya kwanza ya miaka mitano ya Raisi Magufuli amefanya mengi mfano vituo vya afya kila kata, hospitali za wilaya, hospitali za kanda zimejengwa, umeme karibia vijiji vyote Tanzania vina umeme, miundo mbinu ya reli na barabara kila kona ya nchi yetu inajegwa, mikopo kwa wanafunza wa elimu ya juu imetolewa kwa kiasi kikubwa.

Nidhamu kazini kwa wafanyakazi, mishahara mwaka huu imeongezwa, ametimiza ndoto ya baba wataifa kuhamia Dodoma, Magufuli kaweza kuthibiti majizi ya Rasilimali zetu.

Nawaombeni Watanzani tuwakatae kwa nguvu zote hawa watu na hichi chama kinachotumiwa na mabeberu kuharibu Amani ya nchi yetu. Tumchague JPM kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
wanao haribu amani yetu ni ccm na genge lao kwa kushirikiana na policcm,tume ya kuteuwa inayo jiita tume ya uchaguzi. mwakahuu Magufuli na genge lake linalo jiita ccm wajiandaa kupandishwa kizimbani watueleze Azory Gwanda, Bene sanane wako wapi. pia watuambie wasio julikana wanatumwa na nani. mimi na washauri wanaccm msikubali kutumiwa na genge la Magufuli linalo jiita ccm mpya. hiyo ccm mpya sio ile ccm aliyoanzishwa na nyerere. hii ccm mpya ni ya kina makonda sabaya, Happy , bashiru , polepole na Magufuli mwenyewe wengine wote mnatumiwa bila kujuwa na mtakuja kujuta siku za usomi.
 
Wewe una hoja gani ya kununua ndege zisizo kaguliwa na kujenga SGR wakati unamfukuza kazi CAG akienda kuchungulia kinachoendelea uko?


Huu upumbavu wambieni wapumbavu wenzenu watu wanataka Uhuru uwazi na Haki katika nchi yao.
Haki ipi ulinyimwa wewe
 
Furaha ya Watanzania nikua na afya njema nakupata elimu bure ndio maana Raisi wetu mzalendo akaamua kujenga vituo vingi vya afya nakuhakikisha kuna dawa zakutosha hii ndio furaha muhimu kuliko zote ,Acheni kutumika vibaya
Haya sawa! kutekwa na kulawitiwa kwa watz wasiounga Juhudi vipi?
 
Watanzania wenzangu nawaomba tuwapige na kuwakataa watu wanaotaka kuvuruga amani yetu. Amani tuliyo nayo ni muhimu sana katika maendeleo ya Tanzania, kuna watu wenye nia ovu huku wakijificha kwenye mwavuli wa chama chao wakidai wanatafuta haki; haki gani mnayoitafuta?

Watanzania tunachotaka nimaendeleo na tayari tumempata Rais mwenye uchungu wakuleta maendeleo. Katika awamu ya kwanza ya miaka mitano ya Raisi Magufuli amefanya mengi mfano vituo vya afya kila kata, hospitali za wilaya, hospitali za kanda zimejengwa, umeme karibia vijiji vyote Tanzania vina umeme, miundo mbinu ya reli na barabara kila kona ya nchi yetu inajegwa, mikopo kwa wanafunza wa elimu ya juu imetolewa kwa kiasi kikubwa.

Nidhamu kazini kwa wafanyakazi, mishahara mwaka huu imeongezwa, ametimiza ndoto ya baba wataifa kuhamia Dodoma, Magufuli kaweza kuthibiti majizi ya Rasilimali zetu.

Nawaombeni Watanzani tuwakatae kwa nguvu zote hawa watu na hichi chama kinachotumiwa na mabeberu kuharibu Amani ya nchi yetu. Tumchague JPM kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
Sina hakika kama una akili timamu
 
Back
Top Bottom