Rais Magufuli: Msichague wanasiasa wanaohubiri chuki, vurugu zikitokea wao watakimbia kwenda kuishi kwingine

Rais Magufuli: Msichague wanasiasa wanaohubiri chuki, vurugu zikitokea wao watakimbia kwenda kuishi kwingine

Watanzania wenzangu nawaomba tuwapige na kuwakataa watu wanaotaka kuvuruga amani yetu. Amani tuliyo nayo ni muhimu sana katika maendeleo ya Tanzania, kuna watu wenye nia ovu huku wakijificha kwenye mwavuli wa chama chao wakidai wanatafuta haki; haki gani mnayoitafuta?

Watanzania tunachotaka nimaendeleo na tayari tumempata Rais mwenye uchungu wakuleta maendeleo. Katika awamu ya kwanza ya miaka mitano ya Raisi Magufuli amefanya mengi mfano vituo vya afya kila kata, hospitali za wilaya, hospitali za kanda zimejengwa, umeme karibia vijiji vyote Tanzania vina umeme, miundo mbinu ya reli na barabara kila kona ya nchi yetu inajegwa, mikopo kwa wanafunza wa elimu ya juu imetolewa kwa kiasi kikubwa.

Nidhamu kazini kwa wafanyakazi, mishahara mwaka huu imeongezwa, ametimiza ndoto ya baba wataifa kuhamia Dodoma, Magufuli kaweza kuthibiti majizi ya Rasilimali zetu.

Nawaombeni Watanzani tuwakatae kwa nguvu zote hawa watu na hichi chama kinachotumiwa na mabeberu kuharibu Amani ya nchi yetu. Tumchague JPM kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
Tundu Lisu hafai kabisa sijui walimlmpaje fomu huyo mjinga mjinga vile
 
Maendeleo yamefanyika kwakiasi kikubwa sana ww unasema amani imevurugika tulia kijana
Maendeleo yapo mengi sana tatizo baadhi ya watu wanaishi kwa hofu,yaliyotokea Hai ni maendeleo au uvunjifu wa amani?
 
Watanzania wenzangu nawaomba tuwapige na kuwakataa watu wanaotaka kuvuruga amani yetu. Amani tuliyo nayo ni muhimu sana katika maendeleo ya Tanzania, kuna watu wenye nia ovu huku wakijificha kwenye mwavuli wa chama chao wakidai wanatafuta haki; haki gani mnayoitafuta?

Watanzania tunachotaka nimaendeleo na tayari tumempata Rais mwenye uchungu wakuleta maendeleo. Katika awamu ya kwanza ya miaka mitano ya Raisi Magufuli amefanya mengi mfano vituo vya afya kila kata, hospitali za wilaya, hospitali za kanda zimejengwa, umeme karibia vijiji vyote Tanzania vina umeme, miundo mbinu ya reli na barabara kila kona ya nchi yetu inajegwa, mikopo kwa wanafunza wa elimu ya juu imetolewa kwa kiasi kikubwa.

Nidhamu kazini kwa wafanyakazi, mishahara mwaka huu imeongezwa, ametimiza ndoto ya baba wataifa kuhamia Dodoma, Magufuli kaweza kuthibiti majizi ya Rasilimali zetu.

Nawaombeni Watanzani tuwakatae kwa nguvu zote hawa watu na hichi chama kinachotumiwa na mabeberu kuharibu Amani ya nchi yetu. Tumchague JPM kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
Ni kweli na wengine ni viongozi wa serikali kabisa wanakiuka haki za msingi watasababisha uvunjifu wa amani.watu kama hao inabidi kuwapinga
 
Aache unafiki atende haki , tume ya uchaguzi ,wakurugenzi , watendaji wa kata , usalama wa taifa , polisi uchaguzi uwe huru ,wa wazi na wa haki ,bila hivyo mwaka sambula mabese inatuhusu.
 
Na yeye si anakwao huko uhutuni ,hato kimbilia huko kikinuka ? Mbona alivyopata uongozi alienda na kundi la mang'ombe kutambikia.
 


RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kutochagua wanasiasa wanaohubiri chuki na kutoa maneno ya vitisho.

Kiongozi huyo wa nchi ametoa kauli hiyo leo Ijumaa tarehe 14 Agosti 2020, katika maadhimisho ya miaka 13 ya moto kwenye Mkutano Mkuu wa Kanisa la Assembly of God (TAG) jijini Dodoma.


Katika kusisitiza hilo, Rais Magufuli amesema “wanafanya hivyo kwa vile hawana sera za kuwaambia wananchi, lakini wanajua vurugu zikitokea wao wanapakwenda kuishi.”

Rais Magufuli amesema, Serikali anayoiongoza itahakikisha kwamba uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 28 Oktoba 2020, unakuwa huru na haki.

Pia amewataka viongozi wa dini kuhakikisha wanaliombea Taifa ambalo ni miongoni mwa nchi zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Pamoja na kuzungumzia masuala mbalimbali, Rais Magufuli amegusia suala la uchaguzi mkuu akisema, “uchaguzi ni zoezi muhimu katika kupata viongozi kwa njia ya kidemokrasia.”

Amewasihi viongozi wote wa dini nchini kutumia nafasi walizonazo kuhimiza waminini kushiriki katika uchaguzi huo utakaofanyika siku ambayo si ya kusali kwa wamumini wa dizi zote “siku hiyo itakuwa ya mapumziko.”

“Hatuna budi kumwomba Mwenyezi Mungu atupatie viongozi wenye maono, wachapa kazi na wazalendo kwa Taifa letu, tusiangukie mikononi mwa viongozi wabadhirifu, wabinafasi au vibaraka,” amesema Rais Magufuli.

Amesema, kazi ya viongozi kama hao huwa ni kubomoa badala ya kujenga, kung’oa badala ya kupanda na kutawanya badala ya kukusanya “hivyo Mwenyezi Mungu atujalie hekima ili tufanye maamuzi yaliyo sahihi.”

Rais Magufuli amesema, katika baadhi ya nchi, wakati mwingine zoezi la uchaguzi imekuwa chanzo cha kuzuka kwa vurugu na fujo.

“Niwaombe viongozi wa dini kuliombea na kuliweka Taifa letu katika mikono ya Mungu ili tumalize salama uchaguzi na kubaki na amani, umoja na mshikamano kama taifa.”

“Kwangu mimi naliona Taifa la Tanzania muhimu zaidi kuliko mifarakano ya mambo mengine. Napenda kuwathibitishia kama Serikali nilivyoahidi hapo nyuma, tumejipanga kuhakikisha uchaguzi mkuu unakuwa huru na haki,” amesema na kuongeza:

“Sisi kama Watanzania tusimame kama Taifa moja, vyama visitugawe na dini zisitugawe na makabila yasitugawe, sisi tuishi. Nina imani viongozi wa dini wakisimama sisi tutavuka salama,” amesema Rais Magufuli.
Ina maana Nape, Ndugai, Kibajaji, Kessy, na wengine wa CCM?
 
Asitupangie....kwanza yeye ndo anaongoza kwa kuleta chuki nchini kwetu.
 


RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kutochagua wanasiasa wanaohubiri chuki na kutoa maneno ya vitisho.

Kiongozi huyo wa nchi ametoa kauli hiyo leo Ijumaa tarehe 14 Agosti 2020, katika maadhimisho ya miaka 13 ya moto kwenye Mkutano Mkuu wa Kanisa la Assembly of God (TAG) jijini Dodoma.


Katika kusisitiza hilo, Rais Magufuli amesema “wanafanya hivyo kwa vile hawana sera za kuwaambia wananchi, lakini wanajua vurugu zikitokea wao wanapakwenda kuishi.”

Rais Magufuli amesema, Serikali anayoiongoza itahakikisha kwamba uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 28 Oktoba 2020, unakuwa huru na haki.

Pia amewataka viongozi wa dini kuhakikisha wanaliombea Taifa ambalo ni miongoni mwa nchi zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Pamoja na kuzungumzia masuala mbalimbali, Rais Magufuli amegusia suala la uchaguzi mkuu akisema, “uchaguzi ni zoezi muhimu katika kupata viongozi kwa njia ya kidemokrasia.”

Amewasihi viongozi wote wa dini nchini kutumia nafasi walizonazo kuhimiza waminini kushiriki katika uchaguzi huo utakaofanyika siku ambayo si ya kusali kwa wamumini wa dizi zote “siku hiyo itakuwa ya mapumziko.”

“Hatuna budi kumwomba Mwenyezi Mungu atupatie viongozi wenye maono, wachapa kazi na wazalendo kwa Taifa letu, tusiangukie mikononi mwa viongozi wabadhirifu, wabinafasi au vibaraka,” amesema Rais Magufuli.

Amesema, kazi ya viongozi kama hao huwa ni kubomoa badala ya kujenga, kung’oa badala ya kupanda na kutawanya badala ya kukusanya “hivyo Mwenyezi Mungu atujalie hekima ili tufanye maamuzi yaliyo sahihi.”

Rais Magufuli amesema, katika baadhi ya nchi, wakati mwingine zoezi la uchaguzi imekuwa chanzo cha kuzuka kwa vurugu na fujo.

“Niwaombe viongozi wa dini kuliombea na kuliweka Taifa letu katika mikono ya Mungu ili tumalize salama uchaguzi na kubaki na amani, umoja na mshikamano kama taifa.”

“Kwangu mimi naliona Taifa la Tanzania muhimu zaidi kuliko mifarakano ya mambo mengine. Napenda kuwathibitishia kama Serikali nilivyoahidi hapo nyuma, tumejipanga kuhakikisha uchaguzi mkuu unakuwa huru na haki,” amesema na kuongeza:

“Sisi kama Watanzania tusimame kama Taifa moja, vyama visitugawe na dini zisitugawe na makabila yasitugawe, sisi tuishi. Nina imani viongozi wa dini wakisimama sisi tutavuka salama,” amesema Rais Magufuli.
Tatizo la Magufuli ni mnafiki na mzandiki,anayo yasema sio anayo yatenda.Kwa mujibu wa imani yangu mnafiki ni mtu mbaya kuliko muuaji.Magufuli anasahau kila baya alilokuwa analifanya kwa kuwaona wananchi wote ni mbugira.Hapana mtu kama huyu sio kabisaaa
 
Huyu akipita kunawatu wataumia sana,hapo alipo anachuki isiyo ya Kawaida.Wapinzani watapata wakati mgumu sana jipangeni kisychology
 


RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kutochagua wanasiasa wanaohubiri chuki na kutoa maneno ya vitisho.

Kiongozi huyo wa nchi ametoa kauli hiyo leo Ijumaa tarehe 14 Agosti 2020, katika maadhimisho ya miaka 13 ya moto kwenye Mkutano Mkuu wa Kanisa la Assembly of God (TAG) jijini Dodoma.


Katika kusisitiza hilo, Rais Magufuli amesema “wanafanya hivyo kwa vile hawana sera za kuwaambia wananchi, lakini wanajua vurugu zikitokea wao wanapakwenda kuishi.”

Rais Magufuli amesema, Serikali anayoiongoza itahakikisha kwamba uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 28 Oktoba 2020, unakuwa huru na haki.

Pia amewataka viongozi wa dini kuhakikisha wanaliombea Taifa ambalo ni miongoni mwa nchi zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Pamoja na kuzungumzia masuala mbalimbali, Rais Magufuli amegusia suala la uchaguzi mkuu akisema, “uchaguzi ni zoezi muhimu katika kupata viongozi kwa njia ya kidemokrasia.”

Amewasihi viongozi wote wa dini nchini kutumia nafasi walizonazo kuhimiza waminini kushiriki katika uchaguzi huo utakaofanyika siku ambayo si ya kusali kwa wamumini wa dizi zote “siku hiyo itakuwa ya mapumziko.”

“Hatuna budi kumwomba Mwenyezi Mungu atupatie viongozi wenye maono, wachapa kazi na wazalendo kwa Taifa letu, tusiangukie mikononi mwa viongozi wabadhirifu, wabinafasi au vibaraka,” amesema Rais Magufuli.

Amesema, kazi ya viongozi kama hao huwa ni kubomoa badala ya kujenga, kung’oa badala ya kupanda na kutawanya badala ya kukusanya “hivyo Mwenyezi Mungu atujalie hekima ili tufanye maamuzi yaliyo sahihi.”

Rais Magufuli amesema, katika baadhi ya nchi, wakati mwingine zoezi la uchaguzi imekuwa chanzo cha kuzuka kwa vurugu na fujo.

“Niwaombe viongozi wa dini kuliombea na kuliweka Taifa letu katika mikono ya Mungu ili tumalize salama uchaguzi na kubaki na amani, umoja na mshikamano kama taifa.”

“Kwangu mimi naliona Taifa la Tanzania muhimu zaidi kuliko mifarakano ya mambo mengine. Napenda kuwathibitishia kama Serikali nilivyoahidi hapo nyuma, tumejipanga kuhakikisha uchaguzi mkuu unakuwa huru na haki,” amesema na kuongeza:

“Sisi kama Watanzania tusimame kama Taifa moja, vyama visitugawe na dini zisitugawe na makabila yasitugawe, sisi tuishi. Nina imani viongozi wa dini wakisimama sisi tutavuka salama,” amesema Rais Magufuli.

Jpm Ni Rais anayejua misingi ya uongozi, anawaasa vijana ambao huwekwa Kama chambo hali ya kuwa wanaowatuma wanakuwa kwenye viyoyozi wakila mema ya ulimwengu.
 
Ni kweli kabisa, watu kama Nape, Mwigulu, Bashite yaani kwa kifupi CCM sio wa kuwachagua. Wanahubiri chuki na ubaguzi muda wote.
Magu anasitahili kutunukiwa either degree ya kusahau ama ya kujitoa ufahamu, yaani just in a month amekwisha sahau ubaguzi, vitisho, double standards na chuki alizozieneza miongoni mwa watanzania for five good years kiasi Cha kupiga U- turn sasa. Kwa kweli he is so abnormal and unique
Naomba wapinzani watumie kauli zake zote za chuki kummaliza yeye mwenyewe.
Wawakumbushe wapigakura majukwaani.
 
Kama ile tweet ya Magufuli kukemea shambulio la Lisu haiku survive hata kwa siku saba ikapotelea kusikojulikana.
Unategemea akemee jambo kama hilo ?
Kamwe hawezi maana wasiojulikana wanamzuia kufanya mambo mengi sn hadi wanamzuia kusaini pesa ya matibabu ya Tundu Lissu
 
Mimi wala sioni huruma kushambuliwa kwa wapinzani maana wanataka. Haiwezekani daily mnashambuliwa nyinyi tu halafu mnaishia kulamimika kwa polisi ambao mna uhakika hawatapata kitu.

Kwanini hamjipangi wakati mnashambuliwa mukamkata kichwa japo mmoja Kati ya hao majambazi wanaowavamia. Nadhani heshima ingerudi.
Sawa sawa mkuu.... Hizi ndo akili za walevi na wala Unga wa lumumba
 
Back
Top Bottom