Kutisha watu sio suruhisho dawa hapa ni kutafuta Kwann usalama wa Taifa unahusishwa na maswala hayo ya utekaji?
Zitt Kabw na Wanasiasa wa Upinzani TZ kwa utafiti Wangu nilioufanya wanaishi kwa siasa za Matukio/Kiki ili waonekane kwenye jamii kama nao Wapo, Wanaweza kuvitukana vyombo vya dola bila kuchukuliwa hatua yoyote ile ya kisheria kutokana na kujua TIS siyo Chama cha Siasa na ni chombo nyeti ambacho hakina muda wa kujadili masuala ya uongo na uchonganishi.
Kwa tabia hii ya ovyo Waliitumia baadhi ya viongozi wa upinzani kutaka kuwaondoa Duniani rivals wao kwenye Vyama na waliposhindwa hadith eti ni vyombo vya dola. Hii inapatikana TZ pekee Mwanasiasa badala ya kuongea sera anatafuta Kiki za kutafuta Huruma za kura kutoka kwa wapiga kura.
For that extent, naunga hoja ya Rais kila atakaye ituhumu TIS aombwe kutoa ushahidi na akishindwa kuthibitisha achukuliwe hatua kali kisheria. Kwani asili ya Wakong na Warund hawa akina Zitt Kabw kwao bila kuongea uongo wanaumwa kabisa ndiyo maana hata Madiwani wa ACT Waza katika Manispaa ya Kigoma ujiji wamemgundua kuwa ni
Kanjanja na wameapa hata awashawishi vipi usoni watamkubali ila mioyoni nooo. Eti anawapiga biti anawavua uanachama Wakati akiwa anajua ACT Wazalend ni kachama kachanga ambako hakajai hata kwenye kucha ya Chadema.
Alifanikiwa kuwanunua akina Omar Gind, Kachech,
Kalyang 😆😆😆😆😆😆😆😆 ety wanajiita Chama asisi wa mienendo ya Mwalimu wakati kutwa wanalilia kugawana Rushwa, kuibia Manispaa Mapato, kuuza maeneo ya wazi, kumiliki makampuni ya ukandarasi Mfano iliyojenga Shule ya Msingi Kigoma ni ya Zitt Kabw, kuwatishia wakuu wa Idara haswa MT ili awape posho bubu, kushinda Manispaa kutwa kama Watumishi wa Manispaa kuombaomba virushwa na hela za kula na kusababisha kero kwa Watumishi.