Rais Magufuli na WhatsApp...

Rais Magufuli na WhatsApp...

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Siku ya leo katika Hotuba ya Mhe. Rais hii teknolojia (anavyoiita) ya WhatsApp amelitaja sana jina hili zaidi ya mara 6 akituhumu kuwa inavujisha sana Siri za Serikali.

Jambo la kufikiria kidogo nyuma ya pazia ni nini kinaendelea au tutegemee nini hapo mbeleni ambacho hatukijui bado kipo jikoni kikiiva?

Muda utaongea. Tuwe tayari kwa lolote
 
Government moves on paper!
Teknolojia isitufanye tuingie mtegoni.
Ipo faida kuitumia Teknolojia ila hasara zake ndio hizi, Leaked Informations ambazo Mbaya wako anatumia kukuangamiza.
Kwa hili nampongeza Mh Rais kuwakumbusha Viongozi wetu matumizi sahihi ya Teknolojia bila kuathiri utendaji wa shughuli za kiserikali.
 
Siku ya leo katika hotuba ya mh. Rais hii teknolojia (anavyoiita) ya whatsapp amelitaja sana jina hili zaidi ya mara 6 akituhumu kuwa inavujisha sana siri za serikali.

Jambo la kufikiria kidogo nyuma ya pazia ni nini kinaendelea au tutegemee nini hapo mbeleni ambacho hatukijui bado kipo jikoni kikiiva?

Muda utaongea. Tuwe tayari kwa lolote
Baada ya twitter kupigwa ban sasa anaangukia watsup, uzuri wote MATAGA na BAVICHA wataumia, wote wata danlodi VPN
 
Das anafanya kikao kwa WhatsApp, hiyo inaafya kweli??🤔🤔
 
Sijawahi kuwa na interest yoyote na Whatsaap hata akiifuta sina shida nayo
 
Mbona WhatsApp pamepooza sasa,

Sema magrp ya kazini ndo wanachongoa sana wasituharibie.
 
Kawaida ofisi zenye wazee stl wana believe in analogy nenda TTCL wale wazee hawatak kusikiia sjui email walishazoea fax..xoo ofs nying za umma wachanganye dam huwe kuikwepaaa technology dunia ya Leo
 
Back
Top Bottom