Government moves on paper!
Teknolojia isitufanye tuingie mtegoni.
Ipo faida kuitumia Teknolojia ila hasara zake ndio hizi, Leaked Informations ambazo Mbaya wako anatumia kukuangamiza.
Kwa hili nampongeza Mh Rais kuwakumbusha Viongozi wetu matumizi sahihi ya Teknolojia bila kuathiri utendaji wa shughuli za kiserikali.