Rais Magufuli na WhatsApp...

WELL SAID mkuu, wengine humu wanatafuta pa kuanzia story za kick wakati Mh rais kaliweka wazi hilo.
Hakuukemea mtandao wa WhatsApp bali kawakemea watendaji wa serikali yake dhidi ya utendaji wao wa majukumu kupitia mitandao jambo ambalo sio sahihi kwa unyeti wa masuala ya kiserikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…