Rais Magufuli, nakuomba umteue Pascal Mayalla kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali

Rais Magufuli, nakuomba umteue Pascal Mayalla kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali

Wazo zuri ila mmemharibia sana Paskali. Alikuwa kwenye list of fame sasa mmemtoa hivi hivi
 
Lafudhi ya mayalla hailingani na press za kiserikali hivyo jina lake lilishapendekezwa likakataliwa
 
Halafu mtaanza kusema jamaa mkabila kajaza watu wa kabila lake tu kila idara!

Natania tu!
 
Walichokifanya 2015 kibaya mno.Nilikwenda Kilimanjaro kuangalia Magufuli anakubalika au la nikaenda kanisa moja la KKKT nikakuta kibao karibu na kanisa kimeandikwa Pombe hapa haitakiwi Ni marufuku kwenye kanisa .Nikauliza Nini maana yake? Nikaambiwa John Pombe Magufuli marufuku kupewa kura.Jina pombe lilitumika kampeni kumnyima kura makanisani Kama secret code.Lowasa alichoifanyia CCM siyo no no no no
Kwa uongo tu, umebarikiwa!
 
Hivi kile kipindi cha TBC cha "Huyu ndiye John Pombe Magufuli" kimeshapata mtangazaji wa kudumu?
 
Bora umemkumbusha pia Umesahau kumwelezea kuwa Mayalla ni msukuma ambayo ni Sifa namba moja siku hizi huku sifa ya pili ikiwa ni kuitikia fikra za mwenyeketi wa chama
 
Hahahaha unajua paskali ni mtu anaye balance Mambo akiteuliwa huko mtakosa mchango wake
 
Back
Top Bottom