Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si twende tukaikamate tena kesho Mwanza...Mimi mwenyewe nawadai serikali hawanilipi wanalipa kwa mafungu kama ville na mimi nimetoa huduma kwa mafungu. Kama unadaiwa lipa kama unadai lipwa kila mtu asimamie sehemu yake kwa haki na uaminifu.
Dawa ya deni ni kulipaRais Magufuli akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi leo amesema Ndege yetu iliyokuwa imeshikiliwa Canada imeachiwa huru na itatangazwa siku itakapopokelewa. Pia Rais Magufuli amesema safari hii ndege hii itapokelewa Mwanza (tarehe itatangazwa).
“Ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiliwa, wananchi watatangaziwa tarehe ya kuwasili ili wakaipokea na tutaipokelea hapa Mwanza.” Alisema
Itakumbukwa Mamlaka nchini Canada zilikamata ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400. Kutokana na shauri la kesi iliyofunguliwa na mkulima mstaafu raia wa Namibia Hermanus Steyn
ZAIDI SOMA:
Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi Kabudi amesema ndege ya Tanzania Bombardier Q400 iliyokuwa iwasili nchini hivi karibuni imekamatwa nchini Canada na kesi ipo Mahakamani NDEGE NYINGINE YA TANZANIA YAKAMATWA CANADA - Waziri wa Mambo ya Nje na...www.jamiiforums.com
Thubuutuuuuuu mtamuweza wapi?Safari hii tunataka kusikia yule mzungu amefunguliwa costs.....
ya kukamata ndege zetu hovyo hovyo...
Kakudanganya nani kuwa imewachiwa bila malipo?Tunamshukuru Magufuli kwa kuiachia ndege ili irudi haraka bila kulipa hata Senti tano
Wakati mwingine huwa nakaa kimya au nasoma mabandiko ya wale wasiopenda kusikia baya likitokea nyimbani kwao.
Masaa kadhaa yaliyopita nilipita ukurasa huu na kushuhudia kitu kikiondoka Canada kuja jijini Mwanza.
Sasa kila mtu anaweza kusema lake kama ilivyokuwa kwa Train ya Dar toI Moshi mara ooh watakaopanda sijui masikini, mara ooh hawajielewi au haitapata wateja, hakika sioni zile thread za wale jamaa zangu tena.
Hebu kuna wakati unapaswa kukaa kimya kidogo kujifunza ndipo tuchuje ngano na magugu.
Alamsiki.
Wanapinga tu...Wakati mwingine huwa nakaa kimya au nasoma mabandiko ya wale wasiopenda kusikia baya likitokea nyimbani kwao.
Masaa kadhaa yaliyopita nilipita ukurasa huu na kushuhudia kitu kikiondoka Canada kuja jijini Mwanza.
Sasa kila mtu anaweza kusema lake kama ilivyokuwa kwa Train ya Dar toI Moshi mara ooh watakaopanda sijui masikini, mara ooh hawajielewi au haitapata wateja, hakika sioni zile thread za wale jamaa zangu tena.
Hebu kuna wakati unapaswa kukaa kimya kidogo kujifunza ndipo tuchuje ngano na magugu.
Alamsiki.
Akina Kamau wanapata hasara mfululizo tangu 2011 wanatushangaa tunamwaga unga wa watoto kununua madege.Natamani ndani ya miaka 5 ijayo zifike ndege 50.Tuone Nyodo za kina Kamau
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, tumelipa au tumeshinda kesi?
Fedha zako!!!. Unaweza hata ukazitaja katika Tsh? Au ndo kubwabwaja tu hela zako, una hela za kununua au kukomboa ndege ya serikali wewe Kama kutwa nzima ndo unashinda mtandaoni kwa ofa za Mbs kupost ujinga. Kafanye kazi huko ili ulipe na Kodi.Kwa sababu ni fedha zangu. Utaahira wako wa kukubali kila kitu yaani ukipelekwa kushoto haya, kulia haya, huo baki nao mwenyewe!
Sent using Jamii Forums mobile app