Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Nina uhakika wabunge wa CCM watarudi bungeni, lakini ambao hawatarejea tunashukuru kwa mchango wao

Watumie wananchi, wasifanye wenyewe. Ndio maana ya uongozi. Mbowe tena usiseme. Ndiye mwoga kuliko wote. Mimi nadhani kuwa Chadema ingeongozwa na Lissu, Heche ama Lema, kungekuwa na mabadiliko ya kweli. Mbowe amekubali kuwa kiongozi wa upinzani bungeni na anaona hiyo inamtosha.
 
Misingi ya haki dunia nzima ni kwamba ni lazima idaiwe. Hata kama ni darasani mwalimu akiwaona mko soft soft anawaburuza. Huu ndio wakati wa kuweka mgombea shupavu mwenye kauli na matendo imara. Ni aibu sana kuendelea kusakamwa na matukio ya kutotendewa haki halafu watu wanaojitambua wakaendelea kukaa kimya
 
Comment safi kabisa. Natamani mgombea urais awe Lissu na muongoza kampeni awe John Heche uwe mwendo wa nyundo tu. CCM Wakipiga nyundo inajibiwa haraka na kwa uhakika na team ya CHADEMA. Hakuna kuremba
 
Lakini ukumbuke utamaduni wao haujabadilika wa kumwacha aliyeko madarkani kumalizia vipindi vyake vyote viwili
Shetani hajawahi kumshinda Mungu , mimi binafsi kwa maono yangu Magufuli kipindi chake cha Urais kitakwisha baada ya miaka mitano
 
absolutely
Mh, nina wasiwasi sana. Dictators haveno mercy! Nimeishi wakati wa Idd Amin, , najua ninachokiongea! Unless external force imlazimishe kutenda haki, yeye mwenyewe hawezi!
 
Ameen! I get you but "Lucky" may be on his side!
 
Mpaka sasa tunaingia kwenye uchaguzi ilhali sheria inayohusu muundo na uendeshaji wa tume ya uchaguzi bado haijabadilishwa. Wateule wa tume na makamishna wake watabaki kuwa uteuzi wa rais. Kuna tume huru hapo?
 
Duuh . . . comment yako imenifadhaisha na kunisikitisha sana kuhusu kule tunakoenda kama taifa. Nimewaza mbali sana
 
Nani amekuambia kazi ya chama cha upinzani ni kuimba nyimbo na mapambio ya chama tawala?
Kuna kuimba mapambio na kusema ukweli. Lazima utofautishe. Mradi wa JNHPP ukikamilika utakuwa na manufaa makubwa sana kwa taifa letu. Lakini Chadema walipinga sana usifanyike. Sasa hao unadhani watarudi Bungeni?
 
Mimi nafikiria exactly kama wewe. Na kushinda haya mapambano ni rahisi sana mkuu! Tena ni rahisi sana!
 
Yesu kashindwa kumponya mama yake,kaomba tumsaidie kuomba yesu huyu wa sgr ni kwikwi
 
Ulitaka wafanye nini?

Amandla.....
 
Kwanza teuzi za ndani zitakua za kidikteta.. kama hujalambalamba sahahu kurudi bungeni.

Unaweza kuta bunge zima likawa wasukuma watupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…